Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Nnilipata kusimuliwa na mhanga wa kukaa mahabusu mwaka kwa tuhuma za mauaji. Alisema siyo watu wanapenda kufumliwa marinda, la hasha.

Kuna wababe wa jela, watakutesa hadi mwenyewe unajilengesha. Hasa wasimamizi wa misosi. Unapewa chakula kidogo halafu nacho unanyang'anywa na wababe.

Wakati mwingine, ukiwa umelala, kwa mtindo wa kubanana, jamaa analala karibu na wewe kwa lengo hilo. Kwa kuwa huruhusiwi kupiga kelele mkiwa mmelala, basi mzigo unapigwa kimyakimya.

Sina hakika na haya, laikini msimliaji na ambaye yalimkuta alinisimlia.
Yeye alipigwa Kwa njia ipi
 
Nyie wote waongo.

Mie nilikaa mahabusu pale Urafiki week mbili na situ 3 maisha yalikua kawaida tu.
 
Wewe ulikua gereza za town,et jela ni nyumbani unaumwa mavi wewe...

Jela ni jeraha na kama kufungwa wote tumefungwa na tumekaa jela tofauti..
kama ulibahatika ni wewe labda kama ulifungwa FOX RIVER AMERICA.
Na michezo yako ya kula skanka usiombe upite karibu na wale mbwa wa polisi lazima wakudakishe maana wanazijua harufu Walee.. balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na michezo yako ya kula skanka usiombe upite karibu na wale mbwa wa polisi lazima wakudakishe maana wanazijua harufu Walee.. balaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kule mzee unavukula skanka mwenzio anatoa shati anaupuliza ule moshi kwa spidi ya panga boi,mbwa haambui kitu
 
Alikudanganya..ole wake wakutwe watu wanakulana jela hapo ndio utajua kua hicho kitendo hakifai..watakungutwa hatari...wanaoliwa ni kwa sababu ya njaa njaa zao...
Wewe uko sahihi pia jamaa yup sahihi kwa asilimia zote ni hivi yaani mtu anakutengenzea mazingira magumu jela mpaka unaamua kukata shauri kumpa anachotaka, ni nyapara mpo shamba unashangaa mtu mda wote yupo mgongoni kwako anakushurutisha na bakora za kufa mtu ili ulime faster na askari hawaingilii hayo kwahiyo unaumia lakini shida ni kwamba nyapara anataka hiya sifuri utoe. All in all jela sio shule so usije mpeleka mwanao.
 
Wewe uko sahihi pia jamaa yup sahihi kwa asilimia zote ni hivi yaani mtu anakutengenzea mazingira magumu jela mpaka unaamua kukata shauri kumpa anachotaka, ni nyapara mpo shamba unashangaa mtu mda wote yupo mgongoni kwako anakushurutisha na bakora za kufa mtu ili ulime faster na askari hawaingilii hayo kwahiyo unaumia lakini shida ni kwamba nyapara anataka hiya sifuri utoe. All in all jela sio shule so usije mpeleka mwanao.
Nijifunze kitu hapo, ikitokea nimejiridhisha kuwa nyapara ananitesa kisa zero yangu, nikasema kwa askari, inakaaje hiyo?
 
Nijifunze kitu hapo, ikitokea nimejiridhisha kuwa nyapara ananitesa kisa zero yangu, nikasema kwa askari, inakaaje hiyo?
Kwanza kabisa ikithibitika hizo tuhuma dhidi yake ni za kweli basi taratibu za kinidhamu huchukuliwa kwanza kabisa atavuliwa mkanda ambao ndio unamtambulisha kuwa nyapara hivo hatokuwa kuwa nyapara tena atarudi kufanya kazi za kawaida kama mfungwa yeyote wa kawaida pili atapewa adhabu zilizo ainishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za kimagereza, adhabu hizo inaweza kuwa kupigwa rungu kwa mujibu wa sheria na baada ya hapo kukaa gorigota kwa kipindi cha wiki moja mpaka mbili huku akila chakula nusu ya kile ambacho huwa anatakiwa apatiwe siku za kawaida.
Na suala la rungu unaweza pangiwa dozi ya siku kadhaa kila unapoamka unapewa aki yako thus why jela nidhamu ni ya kiwango cha juu sana yaani utakuwa na nidhamu hata kwa kujilazimisha.
 
Mungu mwema usikiae maonbi yetu nakuomba utuepushe na hili jambo member wote wa jf ndugu jamaaa na marafiki tukumbushe kuenenda katika maadil mema na utuepushe na mitego ya maadui zetu itakayopelekea tukakwazika tungaikia huko Kwa hasira turehemu waja wako baba
 
Hakika, jela siyo kuzuri, afya ya akili inapotea...
 
Asikuongopee mtu jela/mahabusu mpaka leo watu wanabanduliwa
ukiwa mnyonge fastaa wanakufanya demu wao. na akishaanza mmoja wanaambizana msururu watakugombania sana kila mmoja atataka kuchovya

jela/mahabusu unavuliwa ubingwa pale tu unapoingia ,vijana watakuvamia kukusachi kama una chochote kitu wakupore ,watakusachi kila kona wakikosa watakuvua hata boksa wavae wao wakikuona bado mnyonge mnyonge wanakupelekea moto.

jela usiwe na tamaa na vitu vya watu
chakula jela ni mara moja tu kwa siku na tonge moja tu ukipenda vyakula vya watu wanakukaribisha ila usiku jiandae kuliwa utaliwa utaliwa tena utaliwa tena na tena
kuna dogo alikuwa anajifanya muhuni sana mtaani kapelekwa jela wamemla sana mpaka kahamishwa selo maana nyuma papo wazi sana .

Epuka kupelekwa jela epuka makosa ya kijinga jinga kupeleka jela jela hakufai
 
Back
Top Bottom