Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana


Wajinga wajinga wanapigwa kweli kwa hizi nyuzi za ughaibuni feki.

Na hizi nyuzi zenye mlengo wa 'koneksheni' to ughaibuni ni organised movement, siyo mtu mmoja. That means mleta mada hayupo pekeake hapa, kuna wenzake wanamback-up kiaina na wanachangia uzi huu.

-Kaveli-
 
Per Diem, mwaka jana ulifanikiwa kupata Tsh Million mbili mtaji wa kujiunga Q-net?



-Kaveli-
 

Madam Jimena , yule Mzee wa Norweeyi tayari keshaliza watu humu.

-Kaveli-
 
All I want is right here in africa,I love you Africa I love you yeah......by Steve Kekana
 

Mkuu binti kiziwi , tayari mtaalamu Per Diem ameshalamba perdiem ya Tsh 7 million kwa mjinga mmoja humu. 😂

Hawa wazee wa 'koneksheni' ughaibuni ipo siku tu watajaa kwenye '18' za wadananda na watatoa 'boko'. Tunawalia timing tu.

-Kaveli-
 

Duh! Noma.

Huyu tapeli wa 'Norweyi ya google' ni wa kumsaka na achezee kichapo cha mbwa mwizi... ukute lipo tu hapo Kijiwe Samli kiwalani linafuga ndevu ka brush.

Wabongo fix sana plus miyeyusho.

-Kaveli-
 
Madam Jimena , yule Mzee wa Norweeyi tayari keshaliza watu humu.

-Kaveli-
Tatizo watu wanapenda sana mteremko! Mtu badala afate njia halali ya kuomba visa ama permit ye anataka mtu mwingine tena asiemjua ndio amfanyie kazi hiyo,
Balozi zipo wazi ila mtu hata kwenda kuuliza tu vitu vinavyotakiwa ili aweze kusafiri kwenda nchi husika hamna,
Pia sio lazima mtu aende Embassy hata akipiga simu tu wanamsaidia kumjibu maswali yote, na njia hizi zote ni SALAMA na ni BURE!

Lakini badala yake mtu anataka akae nyumbani huku anafanyiwa mchongo tu☹
 
Je ulijua wanalipa kodi kiasi gani ili hayo maisha yawe ya raha?
TZ wakiambiwa kulipa kodi kila mmoja anafungua macho kama wameona ziraili!!!
 
Je ulijua wanalipa kodi kiasi gani ili hayo maisha yawe ya raha?
TZ wakiambiwa kulipa kodi kila mmoja anafungua macho kama wameona ziraili!!!
Tz ukilipa kodi inatumiwa kununua wapinzani !!! Silipagi aisee nawakwepa hawa Tra
 
We umewasaidia wangapi kufika hapo mpaka sasa?
 
Mm natafuta mshikaji mwenye akili za kijasusi kama zangu tuzamie chimbo lolote lile tunalo ona tunaweza kutoboa maisha. PM me
 
Mm natafuta mshikaji mwenye akili za kijasusi kama zangu tuzamie chimbo lolote lile tunalo ona tunaweza kutoboa maisha. PM me

Kwamba akili zako za kijasusi hazina uwezo pasipo kusaidiwa na akili zingine?

Wonders shall never cease!

-Kaveli-
 
Kwamba akili zako za kijasusi hazina uwezo pasipo kusaidiwa na akili zingine?

Wonders shall never cease!

-Kaveli-
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] zinauwezo mkubwa ila hiyo ni mbinu ya kukamilisha mishen yangu mkuu.
 
Kama una issue zako zinakuingizia hela kidogo na umri wako umesogea achana na hayo mawazo. You gonna end up frustrated. Been there done that.
Umri kusogea ni kuanzia miaka mingapi?
 
Unasema watu wawe positive wakati huo huo wewe uko negative....! Kwenye hii mada yako ulipaswa uzungumzie na uonyeshe uzuri wa ulaya. Lakini naona ww umechagua kuwa negative kwa kuzungumzia ubaya wa tz tu....!
 
Mkuu tupeane ramani jinsi ya kuingia huko binafsi nna ndoto za kuzamia moja Kati ya Scandinavian nations toka kitambo Mkuu nikiingia huko tu the rest is upon myself coz binafsi ni hastler super so naamini sitakwama Per Diem
Ukipata mwanga ni pm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…