Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Mimi nadhani waswahili wengi hapa ndo tuna miss point. Mimi included!

Ok..Ulaya maisha magumu, kazi za box, baridi kali..nk. Lakini bongo maisha yakoje? mtu ameajiliwa anapata mshahara wa laki mbili, read again laki mbili! Hata dola mia haifiki! Professor wa University of Dar es salaam, aliyefundisha zaidi ya miaka 30..hapeleki nyumbani mshahara wa million tano! read again....five million! Pension system ndo hivyo..haieleweki... Kila mwenye ajira serikalini more than 80% wanategemea kuishi kwa ujanja ujanja na virushwa vidogo vidogo....mshahara haukutani na hauwezi kukidhi hata basic needs za mwanadamu! Serikali hata ingepeleka tons and tons za madawa hospitali..hao hao wahusika ndo wanapita mlango wa nyuma kuyauza hayo madawa. Wananchi wengi bongo wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kabisa....uhai hauna thamani tena! Wananchi Tunahusudu siasa za majungu na ujinga kuliko hata wanasiasa wenyewe...

Halafu leo unamshangaa Prof. Kabudi mwanasheria Nguli kafundisha mlimani miaka nenda rudi..anateuliwa uwaziri anamshukuru Rais kumtoa JALALANI? Sasa kama University of Dar ni Jalalani huko halmashauri za Songea na Kigoma si ni chooni kabisa?

Leo unapata wapi courage ya kudharau mtu anayebeba box kwenye winter na kulipwa dola 20 au 30 kwa lisaa (conservative estimates?). Unapata wapi courage ya kudharau watu kwamba wanaosha vyoo au kusafisha barabarani? Kwani kazi maana yake ni nini? Unakuta huyu huyu anayebeba mabox kwenye warehouse...anaishi maisha mazuri yenye kuthamini utu na kusaidia ndugu zake hapa Tanzania! Leo unasema wewe ni engineer bongo..wakati hata calvert za barabara zetu wanajenga fundi mchundo kutoka china? Daktari wa bongo akienda Ulaya hataweza kupractice..itabidi aanze upya..na bado huyo anapata guts za kudharau watu wanaosafisha vyoo ulaya?

Watanzania tuamke! Ndo maana hatuishi kugombana na serikali kwa hivi viajira ambayo hata huwezi kujitunza bila kuiba pesa za wavuja jasho wenzako.....achilia mbali kutunza familia!

Yes, Ulaya au US maisha siyo marahisi. Na wala hakuna sehemu maisha yalipo marahisi. Lakini ukiishi kwa discipline ukapambana..lazima utatoboa. Tatizo wengi wetu akili za umasikini zinatutesa sana. Bado tunaamini kwamba kazi ya maana ni ya kuajiriwa ofisini..hata kama unafanya kazi kwa muhindi unalipwa 150k!

Ushauri wangu..vijana amkeni mpambane. ukipata mchongo wa kwenda popote wewe nenda kafie mbele. Hata ukipata kazi ya ulinzi Syria au Yemeni kwa makampuni ya wamarekani ya ulinzi..nenda..usiogope kufa kwa mabomu. Inawezakana bongo usife kwa mabomu lakini ukafa kwa kugongwa na bajaji ambayo haina bima au kipindupindu!

Tuache negativities watanzania! Tupeane moyo wa kustruggle. Siyo kila anayeenda ulaya atapitia airport na passport na kusindikizwa na familia. au ni msomi anaenda kufanya masters kwa scholarship za wahisani....wengine ni watoto wa masikini. ..Mchongo wa Ulaya inabidi upambane mwenyewe bila baba fisadi wa kukutafutia scholarship za ujanja ujanja!

Imani yangu kubwa...watanzania songeni mbele mkatafute maisha. Hata akina Karl Peters, Livingstone, Columbus na wengine wengi... walitoboa wakaacha comfort zone zao wakaja huku kwetu "kuvumbua" dunia nyingine. Ni kupitia wao nchi zao zilitawala mataifa mengine na kuwa na dola kubwa kiuchumi! Tusiogope kufagia barafu au kusafisha vyoo huko Ulaya. Wengi wametoboa kupitia hizi njia na kazi za fedheha (kama wasomi wetu wa bongo wanavyoziita)

Masanja
Daaah mkuu umemaliza kila kitu
 
Nina mwanangu anasambaza magazeti Uingereza ana maisha hapa bongo kukushinda wewe na ukoo wako wote.

Mwaka huu amenunua Nyumba Dar milion 150.


Acha kutisha watu mkuu maisha ni kokote.

Kuna watu wanaenda Iraq, Somalia , kongo kwenye Vita ije kuwa ulaya kwenye nchi zenye amani ?


Acheni watu wasake maisha.
Hahahaa....! Dah...
 
witnessj unamuonaje huyu alichoandika?
Mkuu mimi nitoe tu mfano halisia ..mwenzangu take home anayochukua na elimu aliyonayo ni mbingu na ardhi!
Mtu umesomea sayansi lakini mshahara unaolipwa ni matusi!
Wanajipaga moyo kusema serikalini kuna security..sijui security za aje .labda hawafi?
Sina nia mbaya...lakini had unaona specialist Dk anakuja kukuomba umkopeshe hela za riba mm bado haiclick! Tuseme ukweli..kama unalipwa kuanzia 300k hadi 1.5m pm bado ww usivimbe!naogopa kusema sana Mungu asije nishusha chini!
Hahahahaha hela za riba hahaha oyaaa
 
Hahahaa....! Dah...
Wanasema ukienda ulaya maisha magumu ila ukienda katika balozi za ulaya watu tele kupeleka maombi ya mwenda na Hakuna raia kutoka kwenye hizo nchi kurudi Tanzania.

Nilichojifunza " Watanzania ni viumbe selfish sana"

Pambana mwenyewe mkuu , Nina majamaa kibao nawajua wako ulaya. Wana maisha kutushinda sisi mbali saaaana kwa kufanya kazi za kawaida kabisaaaa. Issue kubwa ni nidhamu ya pesa.

Kama ingekuwa sio privacy ningekuwekea hapa vitu ambavyo amevifanya Huyo rafiki yetu bongo wakati ni msambaza magazeti tu na vikazi vingine vya ambavyo kwa bongo vinaonekana ni vya kijinga.


Kuna rafiki yetu mwingine alienda kusoma Algeria akazamia France mji wa Marseille ,Daaah hivi ninavyokwambia ameshajenga (Real estates) bongo na anapangisha watu ( Sio uswazi )... Kazi anayofanya ni kuokota Vipisi vya sigara kwenye club Kama nne hivi. Issue ni yeye kuaMka saaa kumi na moja kila siku na kusafisha vishungi vya sigara. Anasema ni zoezi lisilozidi masaa mawili.
 
Wanasema ukienda ulaya maisha magumu ila ukienda katika balozi za ulaya watu tele kupeleka maombi ya mwenda na Hakuna raia kutoka kwenye hizo nchi kurudi Tanzania.

Nilichojifunza " Watanzania ni viumbe selfish sana"

Pambana mwenyewe mkuu , Nina majamaa kibao nawajua wako ulaya. Wana maisha kutushinda sisi mbali saaaana kwa kufanya kazi za kawaida kabisaaaa. Issue kubwa ni nidhamu ya pesa.

Kama ingekuwa sio privacy ningekuwekea hapa vitu ambavyo amevifanya Huyo rafiki yetu bongo wakati ni msambaza magazeti tu na vikazi vingine vya ambavyo kwa bongo vinaonekana ni vya kijinga.


Kuna rafiki yetu mwingine alienda kusoma Algeria akazamia France mji wa Marseille ,Daaah hivi ninavyokwambia ameshajenga (Real estates) bongo na anapangisha watu ( Sio uswazi )... Kazi anayofanya ni kuokota Vipisi vya sigara kwenye club Kama nne hivi. Issue ni yeye kuaMka saaa kumi na moja kila siku na kusafisha vishungi vya sigara. Anasema ni zoezi lisilozidi masaa mawili.
Sasa mimi wangari nashindwa nini kuokota huo uchafu jamani!!hahaaa....ila bas tu ngoja nikomae.
 
Ukute sasa per diem mwenyewe yupo sisi kwa sisi hapo Manzese, Kigogo mwembe Jando, kwa binti Kahenga Luanga au Buza Kwa Lulenge.
It might be broo Basi tu kwavile tuko optimistic ndio maana tunamwamini lkn ukweli ni kwamba mtu humu anaweza kukudanganya vibaya Sana na hata kukuibia ikiwezekana. Nimejaribu kufatilia thread za nyuma za huyu Jamaa anaonekana anamaanisha.
 
Ahsante kwa taarifa... Popote ukikomaa vizuri mambo hua mazuri...
 
Naomba namba yako ya what's up kaka
Moja ya vitu ambavyo sikuwahi kukubaliana navyo ni ile dhana ya kusema eti maisha ya Europe ni ya upweke. Upweke unautengeneza mwenyewe tu, ila ukweli ni kuwa maisha ya Ulaya ni mazuri Sana hasa Norway.

Bongo bado Sana, tusiongopeane na kujipa moyo. Anayeweza kuja aje ashuhudie. Na inapaswa kuwa challenge kwa serikali yetu kujitahidi walau nusu tu ya maisha ya huku. Inawezekana.

Huku public facilities zipo kwa kiwango Cha juu sana, Ni wewe tu kuamua kuenjoy au laa. Wengi huwa hawajui wafanye nini wakifika huku na hivyo kuishia kuona maisha ni magumu, Ila kwa ambao ni hustlers Kama Mimi aisee huku Ni penyewe kabisa.

Kingine ambacho nimekiona Cha tofauti ni huku tulipo hakuna mwizi Wala kibaka. Sasa nikimmbuka kule home nabaki nachoka tu. Usiku inafuga mbwa wakali Ila bado wanajema wanazama ndani na kuiba. Ieleweke, bado naipenda Sana nchi yangu na Sina maana na kuipondea Ila nazungumzia uhalisia naoona kwa macho yangu na si kusimuliwa.

Mimi napenda Sana soccer hivyo Mara mojamoja napopata nafasi huwa nasogea viwanja vya jirani ili kuweza kufanya mazoezi na huwa napata sana positive feedback kutoka kwa naofanya nao, bahati mbaya umri tu umeenda Ila bila hivyo ningetest zali langu huku [emoji1787][emoji1787].

Tuache dhana potofu, Mara zote nimesisitiza watu kuwa positive kwenye maisha, hii itasaidia kukufanya uwe na focus, Ila kila kitu ukichukulia kwa negative basi na matokeo huwa negative.

Chini ni picha za ground napofanya mazoezi.

 
Moja ya vitu ambavyo sikuwahi kukubaliana navyo ni ile dhana ya kusema eti maisha ya Europe ni ya upweke. Upweke unautengeneza mwenyewe tu, ila ukweli ni kuwa maisha ya Ulaya ni mazuri Sana hasa Norway.

Bongo bado Sana, tusiongopeane na kujipa moyo. Anayeweza kuja aje ashuhudie. Na inapaswa kuwa challenge kwa serikali yetu kujitahidi walau nusu tu ya maisha ya huku. Inawezekana.

Huku public facilities zipo kwa kiwango Cha juu sana, Ni wewe tu kuamua kuenjoy au laa. Wengi huwa hawajui wafanye nini wakifika huku na hivyo kuishia kuona maisha ni magumu, Ila kwa ambao ni hustlers Kama Mimi aisee huku Ni penyewe kabisa.

Kingine ambacho nimekiona Cha tofauti ni huku tulipo hakuna mwizi Wala kibaka. Sasa nikimmbuka kule home nabaki nachoka tu. Usiku inafuga mbwa wakali Ila bado wanajema wanazama ndani na kuiba. Ieleweke, bado naipenda Sana nchi yangu na Sina maana na kuipondea Ila nazungumzia uhalisia naoona kwa macho yangu na si kusimuliwa.

Mimi napenda Sana soccer hivyo Mara mojamoja napopata nafasi huwa nasogea viwanja vya jirani ili kuweza kufanya mazoezi na huwa napata sana positive feedback kutoka kwa naofanya nao, bahati mbaya umri tu umeenda Ila bila hivyo ningetest zali langu huku [emoji1787][emoji1787].

Tuache dhana potofu, Mara zote nimesisitiza watu kuwa positive kwenye maisha, hii itasaidia kukufanya uwe na focus, Ila kila kitu ukichukulia kwa negative basi na matokeo huwa negative.

Chini ni picha za ground napofanya mazoezi.

Nahitaji Sana kuchonga na wewe by professional level em tuma namba iyo
 
Mimi nadhani waswahili wengi hapa ndo tuna miss point. Mimi included!

Ok..Ulaya maisha magumu, kazi za box, baridi kali..nk. Lakini bongo maisha yakoje? mtu ameajiliwa anapata mshahara wa laki mbili, read again laki mbili! Hata dola mia haifiki! Professor wa University of Dar es salaam, aliyefundisha zaidi ya miaka 30..hapeleki nyumbani mshahara wa million tano! read again....five million! Pension system ndo hivyo..haieleweki... Kila mwenye ajira serikalini more than 80% wanategemea kuishi kwa ujanja ujanja na virushwa vidogo vidogo....mshahara haukutani na hauwezi kukidhi hata basic needs za mwanadamu! Serikali hata ingepeleka tons and tons za madawa hospitali..hao hao wahusika ndo wanapita mlango wa nyuma kuyauza hayo madawa. Wananchi wengi bongo wanakufa kwa magonjwa yanayotibika kabisa....uhai hauna thamani tena! Wananchi Tunahusudu siasa za majungu na ujinga kuliko hata wanasiasa wenyewe...

Halafu leo unamshangaa Prof. Kabudi mwanasheria Nguli kafundisha mlimani miaka nenda rudi..anateuliwa uwaziri anamshukuru Rais kumtoa JALALANI? Sasa kama University of Dar ni Jalalani huko halmashauri za Songea na Kigoma si ni chooni kabisa?

Leo unapata wapi courage ya kudharau mtu anayebeba box kwenye winter na kulipwa dola 20 au 30 kwa lisaa (conservative estimates?). Unapata wapi courage ya kudharau watu kwamba wanaosha vyoo au kusafisha barabarani? Kwani kazi maana yake ni nini? Unakuta huyu huyu anayebeba mabox kwenye warehouse...anaishi maisha mazuri yenye kuthamini utu na kusaidia ndugu zake hapa Tanzania! Leo unasema wewe ni engineer bongo..wakati hata calvert za barabara zetu wanajenga fundi mchundo kutoka china? Daktari wa bongo akienda Ulaya hataweza kupractice..itabidi aanze upya..na bado huyo anapata guts za kudharau watu wanaosafisha vyoo ulaya?

Watanzania tuamke! Ndo maana hatuishi kugombana na serikali kwa hivi viajira ambayo hata huwezi kujitunza bila kuiba pesa za wavuja jasho wenzako.....achilia mbali kutunza familia!

Yes, Ulaya au US maisha siyo marahisi. Na wala hakuna sehemu maisha yalipo marahisi. Lakini ukiishi kwa discipline ukapambana..lazima utatoboa. Tatizo wengi wetu akili za umasikini zinatutesa sana. Bado tunaamini kwamba kazi ya maana ni ya kuajiriwa ofisini..hata kama unafanya kazi kwa muhindi unalipwa 150k!

Ushauri wangu..vijana amkeni mpambane. ukipata mchongo wa kwenda popote wewe nenda kafie mbele. Hata ukipata kazi ya ulinzi Syria au Yemeni kwa makampuni ya wamarekani ya ulinzi..nenda..usiogope kufa kwa mabomu. Inawezakana bongo usife kwa mabomu lakini ukafa kwa kugongwa na bajaji ambayo haina bima au kipindupindu!

Tuache negativities watanzania! Tupeane moyo wa kustruggle. Siyo kila anayeenda ulaya atapitia airport na passport na kusindikizwa na familia. au ni msomi anaenda kufanya masters kwa scholarship za wahisani....wengine ni watoto wa masikini. ..Mchongo wa Ulaya inabidi upambane mwenyewe bila baba fisadi wa kukutafutia scholarship za ujanja ujanja!

Imani yangu kubwa...watanzania songeni mbele mkatafute maisha. Hata akina Karl Peters, Livingstone, Columbus na wengine wengi... walitoboa wakaacha comfort zone zao wakaja huku kwetu "kuvumbua" dunia nyingine. Ni kupitia wao nchi zao zilitawala mataifa mengine na kuwa na dola kubwa kiuchumi! Tusiogope kufagia barafu au kusafisha vyoo huko Ulaya. Wengi wametoboa kupitia hizi njia na kazi za fedheha (kama wasomi wetu wa bongo wanavyoziita)

Masanja
Sipendi kabisa vijana wa kitanzania na kiafrika wakafie bahari ya mediteranean kwa kukanyagana kuzamia ulaya, mbona wao hawakanyagani kuja huku kwetu. Hii ni kuwajaza vijana fikra za kitumwa kana kwamba hawawezi kupambana kuboresha hali ya mambo kwenye nchi zao, hadi akawe mbeba mabox ya wazungu.....
 
Sipendi kabisa vijana wa kitanzania na kiafrika wakafie bahari ya mediteranean kwa kukanyagana kuzamia ulaya, mbona wao hawakanyagani kuja huku kwetu. Hii ni kuwajaza vijana fikra za kitumwa kana kwamba hawawezi kupambana kuboresha hali ya mambo kwenye nchi zao, hadi akawe mbeba mabox ya wazungu.....

Bongo kwenyewe wasomi mnakimbizana na vyeo vya U-DC na U-DED....besides siyo wote wanaofia baharini. Nimeshawaambia.. bongo unaweza usifie baharini lakini ukafa kwa ajali ya kugongwa na Toyo au bajaji isiyo na bima.....hahahah
 
Sipendi kabisa vijana wa kitanzania na kiafrika wakafie bahari ya mediteranean kwa kukanyagana kuzamia ulaya, mbona wao hawakanyagani kuja huku kwetu. Hii ni kuwajaza vijana fikra za kitumwa kana kwamba hawawezi kupambana kuboresha hali ya mambo kwenye nchi zao, hadi akawe mbeba mabox ya wazungu.....
We naye umeshiba humjui mwenye njaa...Waje wapambane huku kwa kipi sasa? Kilimo tu had uwe na hela ndefu ndo utatusuA...yaani mnavimba utumwa utumwa...tukubali tukatae nchi zetu hivi shida sana...mtu unatafuta leseni unataka kuuza vitu vya kawaida unaambiwa karibia 200k ! Acha watoke mkuu...kama hawana familia potelea pote...legezeni masharti watu wafanye bas watu tuexport hata dagaa basi🥵!
 
Bongo kwenyewe wasomi mnakimbizana na vyeo vya U-DC na U-DED....besides siyo wote wanaofia baharini. Nimeshawaambia.. bongo unaweza usifie baharini lakini ukafa kwa ajali ya kugongwa na Toyo au bajaji isiyo na bima.....hahahah
Yaani huyu jamaa bwana! Achana na ajali..bongo nyoso kila sehemu
 
Next month naenda Germany au Sweden nshatumiwa invitation letter nnayo mfuko wa shati.
Najiandaa kwenda ubalozini nikamdanganye balozi kwamba nna sifa stahiki zote za kwenda majuu na kurudi ila honestly sirudi ng'o. Nikifika naanza kusoma hata cherehani tu.
 
We naye umeshiba humjui mwenye njaa...Waje wapambane huku kwa kipi sasa? Kilimo tu had uwe na hela ndefu ndo utatusuA...yaani mnavimba utumwa utumwa...tukubali tukatae nchi zetu hivi shida sana...mtu unatafuta leseni unataka kuuza vitu vya kawaida unaambiwa karibia 200k ! Acha watoke mkuu...kama hawana familia potelea pote...legezeni masharti watu wafanye bas watu tuexport hata dagaa basi🥵!
Acha vijana watumikie nchi yao bhana, yaani vijana wanapishana na mzungu na mchina wanaokuja kusomba dhahabu......kijana anakimbilia box alipwe dola 20.....hii mbaya sana.
 
Back
Top Bottom