Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Hongera mkuu. Kweli huko ni kizuri sana. Ikiwa umeweka lengo maalumu utaweza kujifunza vitu vingi ambavyo vitakusaidia utakaporudi. Nyumbani ni nyumbani. Hao wenzetu kuna ambao waliumia sana kuweza kuletaabadiliko hayo. Nasi huku tunapambana usikae sana muda mrefu hujaja mabadiliko yetu yatakushtua.
 
Ulaya na Marekani kwa upande wangu napendea vitu vitatu tu:

1. Huduma bora za afya. Yaani mtu unaweza kupata shambulizi la kiharusi (stroke) dakika tano ambulance imeshafika ushapigwa MRI tatizo limeshafahamika wanakufungua ubongo mara moja. Na karibu kila hospitali ina uwezo wa kufanya haya maoperesheni magumu hata kama ni kwa dharula.

2. Kutokuwa na rushwa hizi za kijinga. Unahamia kwenye nyumba unapiga simu tu au unalog kwenye mitandao yao unalipa na kila kitu chapu chapu - maji, umeme, mtandao...kila kitu kishafanyika. Yaani unaweza kufanya karibu kila kitu mwenyewe tu tena haraka haraka ushapata huduma. Kinachonichoshaga bongo ni huu utaratibu wa rushwa na nepotism karibu kila sehemu utakayohitaji huduma. Kitu kidogo utazungushwa weee mpaka uchoke.

3. Elimu elimu elimu - hasa kwa sisi wenye watoto....

Mengine yote kwangu huwa simaindi sana kwa sababu huwa naona ni ya kawaida tu. Na nyumbani daima ni nyumbani bana ala!!!
 
Ulaya na Marekani kwa upande wangu napendea vitu vitatu tu:

1. Huduma bora za afya. Yaani mtu unaweza kupata shambulizi la kiharusi (stroke) dakika tano ambulance imeshafika ushapigwa MRI tatizo limeshafahamika wanakufungua ubongo mara moja. Na karibu kila hospitali ina uwezo wa kufanya haya maoperesheni magumu hata kama ni kwa dharula.

2. Kutokuwa na rushwa hizi za kijinga. Unahamia kwenye nyumba unapiga simu tu au unalog kwenye mitandao yao unalipa na kila kitu chapu chapu - maji, umeme, mtandao...kila kitu kishafanyika. Yaani unaweza kufanya karibu kila kitu mwenyewe tu tena haraka haraka ushapata huduma. Kinachonichoshaga bongo ni huu utaratibu wa rushwa na nepotism karibu kila sehemu utakayohitaji huduma. Kitu kidogo utazungushwa weee mpaka uchoke.

3. Elimu elimu elimu - hasa kwa sisi wenye watoto....

Mengine yote kwangu huwa simaindi sana kwa sababu huwa naona ni ya kawaida tu. Na nyumbani daima ni nyumbani bana ala!!!
Nimekwazika last line!khaa..
 
Hongera mkuu. Kweli huko ni kizuri sana. Ikiwa umeweka lengo maalumu utaweza kujifunza vitu vingi ambavyo vitakusaidia utakaporudi. Nyumbani ni nyumbani. Hao wenzetu kuna ambao waliumia sana kuweza kuletaabadiliko hayo. Nasi huku tunapambana usikae sana muda mrefu hujaja mabadiliko yetu yatakushtua.
Siri yao kuu ni kuwekeza sana kwenye elimu. Halafu wanafanya kazi sana hakuna longo longo na wanalipa kodi si mchezo. Na hawana huu ufisadi na rushwa kama hii ya kwetu huku. Kodi kweli unalipa na huduma unapata za hali ya juu kuanzia mashuleni, mahospitalini, mabarabara, miji n.k. Na una uhuru wa kuhoji karibu kila kitu.
 
Nimeona hapo umeongelea uzuri wa Norway wewe binafsi,hata mimi hapa bongo,binafsi sitamani kabisa kuja huko,maana kuna maeneo huku kutokana na interest zangu ni kuzuri balaa,maisha ni matamu sana,muhimu ni kuitafuta shillingi na kuwa positive kama ulivyosema,life is so good in here...
 
Hahaa kwamb eti nyumbani ni nyumbani[emoji55]!huo msemo nadhani ushapitwa na wakati...! Hahaaa ..unarudije Africa na mashida yote hay
Inategemea na mtu na mtu kwa sababu hatufanani. Kwangu mimi nyumbani ni nyumbani tu; na duniani huko huwa nakwenda tu kuosha macho na kurudi. Ni uamuzi tu nadhani; malengo ya mtu na anavyoyachukulia maisha [emoji1545][emoji1545]
 
Back
Top Bottom