Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Ukute sasa per diem mwenyewe yupo sisi kwa sisi hapo Manzese, Kigogo mwembe Jando, kwa binti Kahenga Luanga au Buza Kwa Lulenge.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
We jamaa mjinga kweli yaani umenichekesha sana na hiyo sisi kwa sisi maana ndio mtaa niliokuwa naishi kipindi nipo mdogo...
 
Huyu jamaa alianzaga kwenye ile id yake nyingine akiwa ukraine halafu akafika Norway. Alichoharibu akaposti picha za mtu yuko Helsinki finland akisema yuko Norway. Watu humu jamvini wakamshutukizia wakamsambulia nakumuambia hizo picha ni za Finland siyo Norway. Toka siku iyo kaingia mitini. Sasa hivi kaja vingine
Heee...kwahiyo anagoogle mipicha anatuma JF[emoji849][emoji849]

Imbecile

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa anadanganya au anasema kweli nn kwako kinakufanya life lisisonge..? Hahaa wanadamu
Mkuu anadanganya hivyo halafu anawapata vijana wako desperate wanafuata pm kumuomba awasaidie. Atawajibu yeye hawezi lakini ana jamaa yake yuko Dar ambaye ndio yeye. Atakuitisha Million 7 akusaidie michongo ya norway. Kashawapiga wawili na mmoja ni mdogo wangu. Nilimuonya dogo hakunisikia
 
Wazungu wana ubaguzi sana dhidi ya ngozi nyeusi, sema labda kama una hulka ya kujikombakomba.....vinginevyo utaboreka zaidi ukilinganisha kuishi na jamii ya weusi wenzako..
pointless hata hapa bongo tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.wenye nacho anambagua asiekua nacho na mwenye position flan anamdharau wa chini.bora uonekani mbwa ulaya ukitafuta maisha bora.kuliko kubaki tz ukiitwa mnyonge ukiwa kwenye ajira tembo mshahara sungura.
 
pointless hata hapa bongo tunabaguana wenyewe kwa wenyewe.wenye nacho anambagua asiekua nacho na mwenye position flan anamdharau wa chini.bora uonekani mbwa ulaya ukitafuta maisha bora.kuliko kubaki tz ukiitwa mnyonge ukiwa kwenye ajira tembo mshahara sungura.
Haya kawe mbwa ulaya...tatizo hawahitaji mbwa koko..
 
Sasa nikimmbuka kule home nabaki nachoka tu. Usiku inafuga mbwa wakali Ila bado wanajema wanazama ndani na kuiba
kuna ule wizi wa kulowa nguo kama samaki - boxer inapitia dirishani ha ha ha - Bongo balaa
 
Wewe kwa nini unadharau Tanzania wakati ulizaliwa hapa???

Home ni home tu asikudanyanye mtu!
 
Nakuhakikishia utarudi mbio labda kama unayoandika sio kweli.
Nadra sana kunikuta naandika uongo uongo mkuu... hainip ahueni yyt ile .kwani huko nje shida kubwa ni nn? Usinipe habari za upweke sijui kutengwa! Mm ndo maisha yangu yako hvyo ..nipe sababu zingine!
Kinachonisukuma kwenda huko wanalipwa vyema sana..sina kazi nayoishindwa sijui nione kjnyaa nop..sina hizo! Imagine ww unakzania walau kwa mwezi upate faida ya 3m.
Lakini wenzetu hako ni kamshahara ka masiku ..!imagine!
 
Mkuu anadanganya hivyo halafu anawapata vijana wako desperate wanafuata pm kumuomba awasaidie. Atawajibu yeye hawezi lakini ana jamaa yake yuko Dar ambaye ndio yeye. Atakuitisha Million 7 akusaidie michongo ya norway. Kashawapiga wawili na mmoja ni mdogo wangu. Nilimuonya dogo hakunisikia
Mna shida sehemu si bure! Kweli kbs mna shida! Mm sijawa desperate kias hicho nimpe mtu hela aisee never
 
Nadra sana kunikuta naandika uongo uongo mkuu... hainip ahueni yyt ile .kwani huko nje shida kubwa ni nn? Usinipe habari za upweke sijui kutengwa! Mm ndo maisha yangu yako hvyo ..nipe sababu zingine!
Kinachonisukuma kwenda huko wanalipwa vyema sana..sina kazi nayoishindwa sijui nione kjnyaa nop..sina hizo! Imagine ww unakzania walau kwa mwezi upate faida ya 3m.
Lakini wenzetu hako ni kamshahara ka masiku ..!imagine!
Acha kujidanganya, ukienda huko unakuwa mtumwa wa mfumo na ni vigumu kutoboa kwa ngozi nyeusi. Pesa unayopata inaishia kulipia nyumba na bili za maji, umeme, gesi, hapo inabidi upige vibarua kama mbwa na wakati mwingine kazi za usiku na baridi kali. Kupata kazi kwenye mfumo rasmi wa ajira ni ngumu labda uwe kichwa hasa.....wengi ambao mna wenge mnakuwa hamjawahi kufika, mmepashuhudia ulaya kwenye TV au kusimuliwa na watu kama mleta mada...
 
Wabongo sisi kupeana link au maujanja ya kukamata visa kuja kusaka fursa pamoja tuna kuwaga Zero sanaa
Juzi ktk pitapita zangu youtube nikakutana na Vlog mmoja tokea 🇰🇪 ktk ku scrow down ktk channel yake nikafumania video alikuwa ana toa maujanja ya kwenda Canada kirahisi bahat mbaya kwangu ile video ilikuwa ni ya miaka ya nyuma

Lkn nikaona ni subscribe chammel yake siku akimwaga mboga tena nitakuja ku share nanyi wazalendo wenzangu
 
Nadra sana kunikuta naandika uongo uongo mkuu... hainip ahueni yyt ile .kwani huko nje shida kubwa ni nn? Usinipe habari za upweke sijui kutengwa! Mm ndo maisha yangu yako hvyo ..nipe sababu zingine!
Kinachonisukuma kwenda huko wanalipwa vyema sana..sina kazi nayoishindwa sijui nione kjnyaa nop..sina hizo! Imagine ww unakzania walau kwa mwezi upate faida ya 3m.
Lakini wenzetu hako ni kamshahara ka masiku ..!imagine!
Hakuna shida yoyote mkuu tena hela ipo nje nje. Nenda tu, ila ninachosema ni hiki KAMA UNA UWEZO WA KUINGIZA PESA YA KUENDESHA MAISHA YAKO BILA MAWAZO NA UMRI UMESOGEA USIENDE. Ila kama maisha yako ya kuungaunga huna famili,umri bado chini ya 30yrs nenda kabahatishe.
 
Back
Top Bottom