Badala ya kufurahi upige mtoto wa mtu utahama kijiji bila kupenda!🥱🥱 mimi nina hasira nitaja piga toto za watu
Wewe hauongelei uswazi unaongelea kijiji kwenu huko au uswazi ya vijijini sio dasalam .Uswazi kwetu!
Supu za mimba za ng'ombe!
Sembe la hamira mboga pandu na nyanya masalo, ukichoma ngulu unalaaniwa mtaa!
mzima
mlango wa chooni pazia la kipande cha junia au kiroba! Kona ya mti nyeusi kwa kukokona! Ukiingia utakutana na makimba mengine kama koni, makimba mengine gololi zilizo changanyika na damu na makamasi.....
Ukisha yaruka makimba ili unye salama urojo wa mavi usikurukie unafunika na gazeti....
Uswazi kwetu....!
Gafla[emoji117]ghaflaHabari za mchana,
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana kuna.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Badala ya kufurahi upige mtoto wa mtu utahama kijiji bila kupenda!
Sasa wale wanao wahi asubuhi nyumbani kwako kudai chai na andazi kama ww umewazaa!
Heri uwasongee sembe la hamira mboga chumvi+ndimu+plpl...kuepusha soo...
hiyo dar bro[emoji56][emoji56][emoji30][emoji30]Wewe hauongelei uswazi unaongelea kijiji kwenu huko au uswazi ya vijijini sio dasalam .
Utalogwa ikishindikana kila siku vibaka hawachezi mbali[emoji847][emoji23][emoji23] kwamba watanipga
Unaishi wapi kaka???Supendi uswazi kanisa, wamama kutwa nznma ni matusi tu. Wizi umekithiri. Uhuni mwngi.
Makelele ya mabanda ya kuchomea mzki na series. Uchafu wa mazngira yaan kila kitu ni grade ya mwsho kbsa.
Kaka mwachi karibu mbagala🤣🤣🤣🤣🤣😋Maji matituHabari za mchana,
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana kuna.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Wewe unatokea wapi kakaIla watu wa uswaz wana pesa na furaha kila wakati na ni wakarimu kati yao. Japo hilo lifestyle lao siliwezi
Naishi uswaz ila lifestyle la uswaz siliwezi. Watu wana furaha na ukarimu wanaishi kicommunalism. Mimi naishi kibepari, nimejifungia getini.Wewe unatokea wapi kaka
Kaka mwachi na wewe unatukataa watu wa mbagala charambe maji matitu🤣🤣🤣🤣🤣Mimi pia hicho ndicho kina nishida ase
Kaka mwachi karibu mbagala[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39]Maji matitu
Unaishi uswazi ipi kaka???Naishi uswaz ila lifestyle la uswaz siliwezi. Watu wana furaha na ukarimu wanaishi kicommunalism. Mimi naishi kibepari, nimejifungia getini.
Walikufanyaje kaka???Huko walicho nifanyia sitokuja kusahau
Unataka kuja kunitembelea? We jua naishi uswaz inatosha tu. Huku kila siku sherehe kama sio birthday ya mwajuma, basi ngoma ya asha na barabara ya mtaa inafungwaUnaishi uswazi ipi kaka???
😂😂😂😂 AisehMtu huyo huyo akaj home siku mbili akienda chooni amwagi maji alikuw kero
mbona kama unatuongelea sana bro..
Hiyo ilinikuta komakoma!!!!Mtaa mzima mimi tu nimevaa suruali ya kitambaa na moka🤣🤣Nilikuwa natafuta chumba maeneo ya morocco duh nikapelekwa huko ambapo chumba bei rahisi hila sasa pamekaa kichafu sana theni watu wamekaa vibalazani wote wanakushangaa wewe