Maisha ya uswahili kama hujayazoea unaweza pata shida

Nmekaa kaa kizushi mtaa wa Nigeria! Karibu na makaburini pale
umenikumbusha bro!
Kuna siku nilikuwuwa na dem hela ya gesti iliunganishwa jwa malipo ya demu hivyo tukaenda kwenye machaka ya makaburini!
Wakati nakula mzigo akaja msera akaa pembeni kidogo sana akaanza kuvuta bange!
Nikamwambia demu tuhame, akasema nikiinuka silali tena nasepa!
Nikaona isiwe tabu....
Yule msela Akaanza kuinuiza, bange nipe nguvu sitaki ujinga, firauni alikojoa pakaota mmea mtakatifu ukaitwa bange, anaesema bange haramu haramu yeye na mamake!......
Uswazi kwetu!
 
Umeongea ukweli mtupuu.. wengi humu hawajui maana ya uswazi.kuna kipindi niliishi kinondoni moscow. haya aliyoyasema mtoa mada hakuna..huko vijana ni wazembe wanapenda vitongaa.. na hakuna kuogopana..mambo ya kuibiana miaka hii hakuna huku unaweza tembea hata saa tisa na hukabwi.watu wamestarabika.nilishakaa na maofisa nyeti kabisa na familia zao zipo hapo mpaka kesho.watu wanaishi kwa upendo.imani za kishirikina zipo kwa wingi..vijana wao wengi wapo south africa au mabara ya ulaya mpaka kesho wanachukuana.
 
Kabla sijahamia Vingunguti, nilikuwa naishi Buguruni kamtaa ka sekulu pale karibu na Kimboka. Raha ya pale ilikuwa hivi, mboga ya maharage ni biashara ya mtu na anatuuzia bei poa tu, yaliyopikwa tayari. Sukari ishafungwa kwenye gazeti, na majani pia ya packed (nguvu blend) ni biashara ya mtu mwingine. Ndo nilipojua jinsi ya kusingizia mtoto kuwa hataki mchicha kisa kaona maharage kwa jirani na unapewa vizuri tu maana na wewe kesho utatoa. Tunajua kuhesabu sana kama huji kwenye misiba. pale kama una mtoko, unaazima viatu, unaazima T shirt, unanyoa kwa mkopo na jinsi unaazima. uswazi raha sana.
 
Mimi nilikaaga gomz huko mitaa fulan ya uswazi nilichokua naenjoy ni manzi tu halafu ni mafundi balaa kitandani

Ila nilikuaga na dem wangu wa buza anatoka buza anakuja geto huku daaah anajua mapenzi kinoma shida nilimuacha kwasababu ya mambo ya kiswahili swahili sana anayo

Ila namiss alivyokua anaifinyia kwa ndani *****[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Fix...
 
Kijichi ni ushuani kabisa brother, maana ni zone moja kuanzia mgeninani hadi mikwambe kigamboni. Zinafanana kuanzia barabara, mpangilio wa nyumba, maduka hadi wenyeji wenyewe

Kiufupi Ukifika mtaa wowote ule halafu ukakaribishwa na magenge ya dagaa mchele na nyanya halafu nyumba zake nyingi hazijapakwa rangi,
Hapo ni uswazi bila hata kuangalia watu 😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…