Hapa dar es salaam hakuna sehemu ambaya hakuna uswahilini hakuna.naalafu watu humu na drama sana wenyewe kukaa uswahilini ya kimara ubungo na mbezi wanaona wako ushuani[emoji16]
AiseeDah na nasikiaga ni wazur kweli hila hawatki show off ww mnunulie chips na miguu ya kuku bas
AiseeIshara zitakazokujulisha kwamba Sasa unaingia uswazi ni wingi wa vitoto halafu havijavaa shati juu,vinacheza michezo ya kupigana na kubebanabebana bila kusahau mademu kibao vibarazani macho yote yanakutizama kwa mshangao.....!
Dash kuishi uswazi yataka moyo wa ujasusi Sana Kama una pigo za kisomisomi
Ushahidi, mada iliyoongelea mtu, kushika miliini kumi ya pamoja, watu wengi walitoa ushuda wa kuto shika 10 M, ya pamoja.Humu wengi ni waigizaji wa maisha ya kifahari kumbe wote Uswazi Moja,mtoa mada wewe ni Mswazi komredi kindakindaki kama mimi tu usipakatae kwenu nakuzoom tu inavyojikana.
Huko kwenu Uzunguni, mtua akivaa suruali isyo ya kitambaa mnamuutaje.Mimi nilikuwa nikivaa suruali za vitambaa na mashati mikono mirefu. Siku moja moja napiga tai. Niliitwa majina mengi sana, baba mchungaji, mwinjilist nk. Nilikuwa naonekana tofauti kabisa katikati ya vijana wa uswazi. Nilichofaidi uswazi ni papuchi... nisingekuwa na aibu kuna familia ilikuwa nile mabinti na mama yao. Kwa mama nilijizuia sana... pia uswazi raha yake ni upatikanaji wa huduma ndogondogo. Msosi, vinywaji, vocha na mambo mengine madogo madogo hupatikana muda wowote.
Kwa hapa dar ukiondoa upanga, obey, masaki, posta, mikochen, mbezi beach, ununio, kinondoni,,,, je ni maeneo gan ambayo ni middle class ambapo ni pazuri kuishi?Ukiridhika na maisha ya uswahilini..you're done..unaukaribisha umasikini
Uswahilini iwe kama stepping stone kipindi cha kujitafuta ili mambo yakikaa fresh unahamia sehemu zilizotulia lakini kamwe usiridhike na kuishi uswazi
Bila kusahau "uswahilin kila uchochoro utaopita kuna harufu ya mavi balaa. Mfano manzese hata ukiwa kwny gari, ukifika maeneo yale utajua nko manzese mana hali ya hewa inabadilika kabisa.Mimi nilikuwa nikivaa suruali za vitambaa na mashati mikono mirefu. Siku moja moja napiga tai. Niliitwa majina mengi sana, baba mchungaji, mwinjilist nk. Nilikuwa naonekana tofauti kabisa katikati ya vijana wa uswazi. Nilichofaidi uswazi ni papuchi... nisingekuwa na aibu kuna familia ilikuwa nile mabinti na mama yao. Kwa mama nilijizuia sana... pia uswazi raha yake ni upatikanaji wa huduma ndogondogo. Msosi, vinywaji, vocha na mambo mengine madogo madogo hupatikana muda wowote.
Sijaelewa mantiki ya swali lako lakini ngoja nijibuKwa hapa dar ukiondoa upanga, obey, masaki, posta, mikochen, mbezi beach, ununio, kinondoni,,,, je ni maeneo gan ambayo ni middle class ambapo ni pazuri kuishi?
NB, :isiwe kimara, tegeta, & tabata.
Vingunguti mpaka veta kipawa kwa mguu natembea dakika ngapi?mi naishi vingunguti machinjioni jamani, raha za kule we acha tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli hujaelewa swali kakaSijaelewa mantiki ya swali lako lakini ngoja nijibu
Kuna sehemu nyingi tu kama Sinza,Mbezi,Goba,Kawe nk.
Fafanua[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kweli hujaelewa swali kaka
Ishara zitakazokujulisha kwamba Sasa unaingia uswazi ni wingi wa vitoto halafu havijavaa shati juu,vinacheza michezo ya kupigana na kubebanabebana bila kusahau mademu kibao vibarazani macho yote yanakutizama kwa mshangao.....!
Dash kuishi uswazi yataka moyo wa ujasusi Sana Kama una pigo za kisomisomi
Umeamua kututusi wakazi wa kwa aziz ally? Ungeongelea tabia za kiswahili bila kutaja mitaa sio wote huku tuna tabia hizoHabari za mchana,
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Na kunanuka umaskini mno. Akili za watu wa uswahilini sio za kusogea mbele. Wengi wetu tukipata hela tunahama uswazi. Ukiendelea kukaa unarudishwa nyuma kifikra.Bila kusahau "uswahilin kila uchochoro utaopita kuna harufu ya mavi balaa. Mfano manzese hata ukiwa kwny gari, ukifika maeneo yale utajua nko manzese mana hali ya hewa inabadilika kabisa.
Yupo kajaa tele na ha he hi ho hu zake.. π π πNilijua wamekuban
Kumbe bado unadunda na kelele zako