Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,486
- 51,156
Hapa dar es salaam hakuna sehemu ambaya hakuna uswahilini hakuna.naalafu watu humu na drama sana wenyewe kukaa uswahilini ya kimara ubungo na mbezi wanaona wako ushuani[emoji16]
Nionyeshe uswahilinj ya Upanga