Maisha yako ya Ndoa yamekuwaje baada ya kutofanikiwa kuoa/kuolewa na 'your dream man/woman?

Hakunaga dream wife wala dream husband..hizo ni crap illusions tuu people create in their mind..exists only in virtual imaginary world ...not in real world..yan unajiumbia ka mtu kako ambako hakapo kwenye dunia unayoishi..

Duniani tuna deal na real matters..watu halis sio hawa wa visualization...

Dream money is real... haya mengine nadhan ni ya kuachana nayo yajipambanie yenyewe
 
Namaanisha kila mtu anachake pale... Dada alikuwa katugeuza Kama wizara.. Hy ya maji yule ya usafiri na uchukuzi πŸ˜‚πŸ˜‚.
Alaaniwe umbwa yule
Kama ndio hivo wewe ulikua unashika kitengo gani maana cha mambo ya ndani kilikushindaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Kama ndio hivo wewe ulikua unashika kitengo gani maana cha mambo ya ndani kilikushindaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Me ndio sele mnyama nilieshika kitengo nyeti ...Michezo na Burudani ila Jabiri alishinda moyo wake πŸ˜‚πŸ˜‚ . Nashkuru nliupiga mwingi Sana πŸ˜‚
 
😁😁😁 Nimeangaliaa Hy pic yako nkafurah sana ... Yani nkiongeza herufi "G" teyari we ndo huyo mdada unaemsema.πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida ndio itaanzia hapo sasaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†si nimekwambia tafuta kabinti kashamba au… unataka uje kunifungulia thread huku nnπŸ˜†πŸ˜†
 
Me napendaga wasumbufu Mana moyo wangu bila ghasia sio moyo kabisa ..... Ongeza "G" hapo mwisho πŸ˜‚πŸ˜‚
Shida ndio itaanzia hapo sasaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†si nimekwambia tafuta kabinti kashamba au… unataka uje kunifungulia thread huku nnπŸ˜†πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…