Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
NIlichojifunza kuhusu pesa ni kwamba ,ukiona pesa kwako inakupa raha, bas jua kabisa wewe bado huna pesa. Wenye pesa wala pesa haiwapi raha, inawatimizia tu mahitaji yote wanayotaka ila wala haiwapi raha kiviiiilePesa + marafiki unaoendana nao,pambana Kwa namna yoyote upate Raha, tunaishi mara moja Tu sasa wewe endelea kuhuzunika bila sababu wakati siku zako zinaisha!!
Mmmh!Upo na hela ya kutoshaa, hakikisha unapata sex nzuri lasivyo utapatwa na msongo wa mawazo, usikae bila kupata sex unaweza rukwa na akili kabisa.......
πππ Hili bado kabisa. Linahitaji muda na kabla ya kuoa ni muhimu niwe na furaha kwanza.Oa Kaka uache kulala pekee yako Kama mizigo kwenye buti
Mwenzako niliachwa mwaka 2011 Ila 2024 nikaoa tena nikaachwa baada ya mwezi Ila Mungu alivyo mwema Kuna dada anaitwa Sheillah Sheillah amethibitisha kuwa tayari kuweka sahihi mkataba Kati ya Mimi na yeye hivyo soon naacha kulala mwenyewe Kama maiti kwenye jenezaπππ Hili bado kabisa. Linahitaji muda na kabla ya kuoa ni muhimu niwe na furaha kwanza.
ππHongera sana mkuuM
Mwenzako niliachwa mwaka 2011 Ila 2024 nikaoa tena nikaachwa baada ya mwezi Ila Mungu alivyo mwema Kuna dada anaitwa Sheillah Sheillah amethibitisha kuwa tayari kuweka sahihi mkataba Kati ya Mimi na yeye hivyo soon naacha kulala mwenyewe Kama maiti kwenye jeneza
Kuwa makini usiachwe tenaM
Mwenzako niliachwa mwaka 2011 Ila 2024 nikaoa tena nikaachwa baada ya mwezi Ila Mungu alivyo mwema Kuna dada anaitwa Sheillah Sheillah amethibitisha kuwa tayari kuweka sahihi mkataba Kati ya Mimi na yeye hivyo soon naacha kulala mwenyewe Kama maiti kwenye jeneza
Ninachofurahia sijawahi kuogopa kuachwa Mimi Niko tayari muda wowote as long as wanawawake wanazaliwa kila siku nitaacha kuoa siku Manara akiacha kuoaKuwa makini usiachwe tena
πππ Nina imani Sheila amekuelewa. Ndoa yenu ikadumu mkuuNinachofurahia sijawahi kuogopa kuachwa Mimi Niko tayari muda wowote as long as wanawawake wanazaliwa kila siku nitaacha kuoa siku Manara akiacha kuoa
Hii kaliLife is purposeless which makes it even much boring.
Pesa itakupa furaha ya muda mfupi tu kwa sababu utaweza kukidhi mahitaji ya hapa na pale, lakini hiyo sio furaha ya kweli.
Hata uwe na magari na majumba huwezi kupata furaha ya kweli, utakuwa unajifariji tu huku ukiyaangalia matofali na kuta za nyumba na kujipiga kifua kuwa wewe ni mwamba lakini hakuna lolote.
Ukipata pesa hakikisha unakula kuku, kitimoto za kutosha kisha gida bia mbili za nguvu.
Maisha bila BIA yana faida gani?
Kula BIA.
Cc: mshamba_mwingine Poor Brain
Idumu kweli maana sisi walevi ni neema tu kumpata mtoto wa kike anayeweza vumilia shuruba na figisu zetuπππ Nina imani Sheila amekuelewa. Ndoa yenu ikadumu mkuu
Walevi mnapenda sana papuchiIdumu kweli maana sisi walevi ni neema tu kumpata mtoto wa kike anayeweza vumilia shuruba na figisu zetu
πππ Hatari sana. Sitawahi kugusa pombe wala sigala wala kuwa mlevi wa ngono. Maisha yanaweza kuwa zaidi ya hapo.Life is purposeless which makes it even much boring.
Pesa itakupa furaha ya muda mfupi tu kwa sababu utaweza kukidhi mahitaji ya hapa na pale, lakini hiyo sio furaha ya kweli.
Hata uwe na magari na majumba huwezi kupata furaha ya kweli, utakuwa unajifariji tu huku ukiyaangalia matofali na kuta za nyumba na kujipiga kifua kuwa wewe ni mwamba lakini hakuna lolote.
Ukipata pesa hakikisha unakula kuku, kitimoto za kutosha kisha gida bia mbili za nguvu.
Maisha bila BIA yana faida gani?
Kula BIA.
Cc: mshamba_mwingine Poor Brain
Anhaa BICHWA KOMWE ,ni kweli lakini umesikia habari ya mkuu Sheillah Sheillah kukubali niwe wa maisha yake huko?Walevi mnapenda sana papuchi
Ulishawahi kuishi maisha ya ufukara?NIlichojifunza kuhusu pesa ni kwamba ,ukiona pesa kwako inakupa raha, bas jua kabisa wewe bado huna pesa. Wenye pesa wala pesa haiwapi raha, inawatimizia tu mahitaji yote wanayotaka ila wala haiwapi raha kiviiiile
Tatizo linaanzia hapa.Mimi sio mlevi bosi. Wala hata huko baa sijawahi enda