- Thread starter
- #61
ni kioo cha jamii, mafanikio yake tutayatumia kama hamasa na kuanguka kwake pia kutatumika kama darasa! hivyo thread haijaja kama kumdhihaki, hapana!Kwahiyo mnamtangaza mwenzenu kuwa kachoka ?
Kwani kuna watu wa ngapi ambao wamechoka mithili ya Ali Choki & Co?
Kikubwa pumzi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app