Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Maisha yetu huendeshwa na Nyota?

Status
Not open for further replies.
Si umesema Muhammad ni mfano wa Musa, ndio ueleze kivipi!? ndio useme Muhammad na Musa tabia zao zinafanana kivipi!?

Nani alimpa utume Muhammad!? hivi Musa na yeye alikuwa ni ummy!?

Muhammad alitumwa kwa jamaa zake

Quran 26:214 Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Quran 41:44
Na lau tungeli ifanya Qur'ani kwa lugha ya kigeni wangeli sema: Kwanini Aya zake haziku pambanuliwa? Yawaje lugha ya kigeni na Mtume Mwaarabu? Sema: Hii Qur'ani ni uwongofu na poza kwa wenye kuamini. Na wasio amini umo uziwi katika masikio yao, nayo kwao imezibwa hawaioni. Hao wanaitwa nao wako pahala mbali.

Quran 34:44
Wala hatukuwapa Vitabu wavisome, wala hatukuwatumia Mwonyaji kabla yako wewe.

Quran 12:2
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.

Quran 46:12
Na kabla yake kilikuwapo Kitabu cha Musa, kuwa chenye uwongozi na rehema. Na hichi ni Kitabu cha kusadikisha na kilicho kuja kwa lugha ya Kiarabu, ili kiwaonye walio dhulumu, na kiwe ni bishara kwa watendao mema.

Quran 43:3 Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.

Quran 26:195 Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.


Wewe ndio haujui kabisa hebu kula hii kwanza

Yohana 4:42 Wakamwambia yule mwanamke, Sasa tunaamini, wala si kwa sababu ya maneno yako tu; maana sisi tumesikia wenyewe, tena twajua ya kuwa hakika huyu ndiye Mwokozi wa ulimwengu.

Halafu uniambie hapa chini, je kwenye hii aya Musa alitumwa kwa ulimwengu wote!?

Quran 7:144 (Mwenyezi Mungu) akasema: Ewe Musa! Mimi nimekuteuwa wende kwa watu na Ujumbe wangu na maneno yangu. Basi chukua niliyo kupa na uwe katika wanao shukuru.


Kwenye huo mstari ni kitu gani hujaelewa hapo!?


Karibu kwa Yesu, kijana maana habari za Roho hauna ujuzi nazo na Quran imekiri, upo sawa kabisa, Mungu ni Roho, nao wamwubudio imewapasa kumwabudu katika roho na kweli, kwa hiyo ile kuvua viatu kuwaza Mahurulaini unaweza ukawa unasubiri meli airport

Quran 17:85 Na wanakuuliza khabari za Roho. Sema: Roho ni katika mambo ya Mola wangu Mlezi. Nanyi hamkupewa katika ilimu ila kidogo tu.

wapi nyie Mmepewa Elimu ya roho?? Huyo mnaemwita Mungu?
 
Lbd unataka nikufafanulie nn? Soma AYA utapata Maana...Na unijbu swali la 2 wanao Muabudu mungu katika roho na kweli ni akina NANI.



Nijibu Swali weye sio uulize Swali jingine...!
 
wapi nyie Mmepewa Elimu ya roho?? Huyo mnaemwita Mungu?
Umefanya vema kuuliza kama mlivyoagizwa hapa chini mtuulize sisi wenye kitabu

Quran 10:94 Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.

Haya hapa chini anza kujifunza pole pole kwanza

2 Wakorintho 3:17 Basi 'Bwana' ndiye Roho; walakini alipo Roho wa Bwana, hapo ndipo penye uhuru.

Wagalatia 5:16 Basi nasema, Enendeni kwa Roho, wala hamtazitimiza kamwe tamaa za mwili.
 
mudy92 naomba majibu ya haya maswali mwenzio amekimbia..!

Swali ninalo kuuliza yako wapi Hayo MAGOMBO ORIGINAL AMBAYO HAYAKUBADILISHWA? NI NANI ALIEFANYA HIYO KAZI YA KUBADILISHI HAYO MAGOMBO NA NI MWAKA GANI? UNAWEZA UKAONESHA NI WAPI KTK BIBLIA YA SASA SEHEMU ILIYOBADILISHWA NA UTUONYESHE KUA ZAMANI KTK MAGOMBO HALISI ILIKUA INASEMAJE?

Hebu naomba ujibu haya maswali yote kabisa kwa faida ya Wakristo na Waislamu wote...!
 
Last edited by a moderator:
hakuna Swali hapo! Rudi ktk AYA



Kwenda zako na vistory vyenu vya kwenye kahawa...!
We unafikiri Roho na Kweli ndio uislamu au Koran au mtume wenu?

Ungeleta majibu ungeona mambo...!
 
We kwa akili zako huyo Bwana ni YESU sio? Ebu sikia yesu anasema
God raised up his servant...¡±(Acts 3:26).. Kumbe hata ww ukiwa mtumishi wa mungu ni sawa na yesu Kijana! Na pale Peter ali declared:¡°The God of Abraham, Isaac and Jacob, the God of our fathers, has glorified his servant Jesus.¡±(Acts 3:13). SASA ww kafiri unabwabwaja kumbe hata peter anakupinga

hakuwa lolote yesu ila
" your holy servant Jesus, whom you anointed.¡±(Acts 4:27).

Ebu tuone QURAN inasemaje kwa watu kama Ww.
Quran 4:171-172"O People of the Book!Commit no excesses in your religion:nor say Of Allah ought but the truth.Christ Jesus the son of Mary was (no more than) A Messenger of Allah, And His Word, which He bestowed on Mary, and the Spirit proceeding From Him: so believe In Allah and His Messengers.Say not "Trinity": desist: It will be better for you: For Allah is One God: Glory to Him: (Far Exalted is He) above Having a son. To Him (Allah) Belong all things in the heavens And on earth. And enough...

Sasa Mwehu kama ww unazusha tu.. Mpka Unakufuru Dah.

First thing first ....

Niambie huo mstari hapo kwenye Malaki 1:1-3 inamzungumzia nani na utoe ushahidi halafu tutakuja kwenye hayo madai yako mengine!
 
Kama ulikuwa hujui waislamu tunaamini mungu kateremsha vitabu ikiwemo injili , taurati na quraan, ila kwa sababu zenu binafsi mkaondoa na kubadilisha biblia aliyoleta mungu ili ikidhi mambo yenu ya kidunia kila siku mnaibadilisha biblia.
Mzungu hakika anawapotosha sana

Naomba u nioneshe Injili,Torati na Zaburi ambazo nyie mnaziamini kuwa zimetoka kwa Mungu ...!!
 
Sijui kina @Faizafoxy ndio watakuwa hao Mahurulaini!?, kina Faiza wenyewe sijui wameahidiwa kitu gani!? hahahahah mkuu ni shida...
Kwa kweli ipo kazi!!

Women are crooks and useless creatureAbuHuraira (Allah be pleased with him) reported Allah's Messenger (may peace be upon him) as saying: woman is like a rib. When you attempt to straighten it, you would break it. And if you leave her alone you would benefit by her, and crookedness will remain in her. A hadith like this is reported by another chain of narrators (Book #008, Hadith #3466)

Women are simply bad luck, bad omen:'Umar b. Muhammad b. Zaid reported that he heard his father narrating from Ibn 'Umar that Allah's Messenger (may peace be upon him) had said. If bad luck is a fact, then it is in the horse, the woman and the house. (Book #026, Hadith #5526)Narrated Sa'd ibn Malik: The Prophet (peace_be_upon_him) said: There is no hamah, no infection and no evil omen; if there is in anything an evil omen, it is a house, a horse, and a woman. (Book #29, Hadith #3911)
A woman is an unavoidable evil, and marrying a woman is like buying a slave:Narrated Abdullah ibn Amr ibn al-'As: The Prophet (peace_be_upon_him) said: If one of you marries a woman or buys a slave, he should say: "O Allah, I ask Thee for the good in her, and in the disposition Thou hast given her; I take refuge in Thee from the evil in her, and in the disposition Thou hast given her." When he buys a camel, he should take hold of the top of its hump and say the same kind of thing. (Book #11, Hadith #2155)
If you want to free a slave, free first the men, then the women:Narrated Aisha, Ummul Mu'minin: Al-Qasim said: Aisha intended to set free two slaves of her who were spouses. She, therefore, asked the Prophet (peace_be_upon_him) about this matter. He commanded to begin with the man before the woman. The narrator Nasr said: AbuAli al-Hanafi reported it to me on the authority of Ubaydullah. (Book #12, Hadith #2229)

Expressing emotions is forbidden:Narrated AbuSa'id al-Khudri: The Apostle of Allah (peace_be_upon_him) cursed the wailing woman and the woman who listens to her. (Book #20, Hadith #3122)

Using perfume is also forbidden in Islam:Narrated AbuMusa: The Prophet (peace_be_upon_him) said: If a woman uses perfume and passes the people so that they may get its odour, she is so-and-so, meaning severe remarks. (Book #33, Hadith #4161)

Justice a la Islam:Narrated Wa'il ibn Hujr: When a woman went out in the time of the Prophet (peace_be_upon_him) for prayer, a man attacked her and overpowered (raped) her. She shouted and he went off, and when a man came by, she said: That (man) did such and such to me. And when a company of the Emigrants came by, she said: That man did such and such to me. They went and seized the man whom they thought had had intercourse with her and brought him to her. She said: Yes, this is he. Then they brought him to the Apostle of Allah (peace_be_upon_him). When he (the Prophet) was about to pass sentence, the man who (actually) had assaulted her stood up and said: Apostle of Allah, I am the man who did it to her. He (the Prophet) said to her: Go away, for Allah has forgiven you. But he told the man some good words (AbuDawud said: meaning the man who was seized), and of the man who had had intercourse with her, he said: Go, you’re free. The Prophet (peace_be_upon_him) also said: He has repented to such an extent that if the people of Medina had repented similarly, it would have been accepted from them. (Book #38, Hadith #4366)

Arbitrariness:Narrated Abdullah ibn Umar: A woman was my wife and I loved her, but Umar hated her. He said to me: Divorce her, but I refused. Umar then went to the Prophet (peace_be_upon_him) and mentioned that to him. The Prophet (peace_be_upon_him) said: Divorce her. (Book #41, Hadith #5119)

Women are breeding machines:Narrated Ma'qil ibn Yasar: A man came to the Prophet (peace_be_upon_him) and said: I have found a woman of rank and beauty, but she does not give birth to children. Should I marry her? He said: No. He came again to him, but he prohibited him. He came to him third time, and he (the Prophet) said: Marry women who are loving and very prolific, for I shall outnumber the peoples by you. (Book #11, Hadith #2045)
 
Mkuu 2013 hiyo pepo inabagua sana, inapendelea wanaume tu...
 
Last edited by a moderator:
Nimekuomba ushahidi unaoonyesha Muhammad aliletewa chuo cha nabii Isaya asome, lakini umeshindwa unaanza kuniuliza hiyo scripture inahusu nini, we unasema inamuongelea Muhammad mimi nimekuomba ushahidi umeshindwa...
Wewe tupe point hapo Isaya alikuwa kamkusudia nani? Mbona unapiga kelele tu kama mlevi hajui anaelekea wapi.


We unadhani Jibril alimwambia Muhammad soma huku akiwa anacheka cheka!? Muhammad alikabwa huko pangoni Jabal Hira na li jitu hata halifahamu mpaka akapata homa, mpaka mpiga falaq akaja kumtoa hofu...
Leta ushahidi wa kielimu, na ulete dalili zako sio unasikia nyimbo za kanisani za uwongo, afu unatuletea hapa. Nani alimuona Gabriel kamkaba Mtume Muhammad. Ulikuwepo au nani alikuwepo mpaa akaona hayo? Mtume alikuwa peke yake hakuna aliyekuwepo hapo sa we hio hadith umeitoa wapi? na Ushahidi wako umeuhakikisha vipi?

Hayo ni maneno ya Waraqa, weka maneno ya Muhammad akisimulia kwamba alikutana na Jibril, Warqa ndiye aliyemwambia eti huyo ni Jibril lakini Muhammad hakuwa na uelewa wowote...
Si kweli wacha uwongo, Warqa kahadithiwa na Mtume Muhammad kamuona Gabriel, na Warqa ndio alimuliza bada ya hapo ni yule Gabriel kama aliye Muona Prophet Mussa? Sa vipi unazua uwongo. Eti Warqah ndio kamuambia yule Gabriel. Wakati Qur'an ilipo shushwa hakuwepo Warqah wala jinni pale, ni Mtume Muhammad na Gabriel tu, ndio walikuwepo.
 
Kaazi kweli kweli .....

Ushahidi gani ulioutoa kuwa malaika Gabriel ni Roho Mtakatifu?

Sijaona zaidi ya kutoa mistari ambayo wala hauzungumzii kile ambacho unadai,kama una ushahidi weka hapa tuuone!
Sa we kukufahamisha kote unasema nimetoa mistari, kwani mimi hapa nalipwa mshahara mpaka nikuandikie kitabu. Tatizo lako wewe umeisha ona huna cha kukwepa, na ushahidi nilio uweka kama unaona ni mistari, basi Nampa pole mzazi wako haswa mama yako, mana alizaa jiwe si biandamu, binadamu wanafahamu hata wakiandikiwa nusu mstari.
 
Mi naona kama wapo sawa tu

Huyu Adiosamigo unaweza kumuwekea maelezo ambayo yanafafanua jambo ambalo ameuliza,anakuja kuku quote halafu anauliza kitu kile kile

Tazama hapa chini ni maelezo ya mkuu 2013 ....

Haya hapa chini ni majibu ya Adiosamigo kwa hayo maelezo hapo juu ...

Kwanza unaweza kujiuliza,huyu mtu ana matatizo gani kwasababu hapo anaweka maandiko ya Paulo ambae wanamuita majina yoote ambayo ni mabaya na wanamlaumu kwa kubadili mafundisho ya Yesu,na hapo anatumia kama ushahidi wa hoja yake,sasa inakuwaje anatumia mafundisho ya uongo kuthibitisha mafundisho ambayo yeye anadai ya ya ukweli?

Achana na hilo,mkuu 2013 kwenye hoja yake am eweka ushahidi kutoka kwenye mafundisho ya Yesu kuwa unatakiwa mwanaume uoe mwanamke mmoja na ametoa maelezo kuhusiana na maelezo ya Musa,huyu jamaa anakuja na kuuliza jambo lile lile ambalo 2013 ametolea maelezo ...

Hawa watu ni binadamu wa ajabu sana .....!
dogo mbona nashangaa unanizulia uwongo, wapi maneno ya 2013 , yakawa sawa na maneno yangu. Pili kwani swali siku zote silinaulizwa kutokana na topic mnayo ongelea. Sa mbona unaleta za kuleta hapa. Mimi nakushangaa wewe kuwashanga wengine, wakati wewe ndio inafaa watu wakushangae. Maswali yako mara nyingi kama ya mvuta bangi unauliza kama kukebehi watu, wewe kama huna elimu yanini unataka kushidana na watu wenye elimu.
 
Last edited by a moderator:
Eiyer hivi Unafikiri ukiwa unaongozwa Na shetani ukisoma maandiko utaelewa kweli? Huyu Adiosamigo anaongozwa na shetani ndio maana anaona kauli ya Yesu akisa wazi "KWASABABU YA UGUMU WA MIOYO YENU MUSA ALIWARUHUSU" hii ikiwa na maana kwamba kutoa talaka haukua mpango wa Mungu tangu awali.... Ni UGUMU tu wa MIOYO ya wanadamu na tamaa zao... Lkn mtu hapa anasoma haelewi anarukia story za kwenye kahawa na vijiweni Mara Marko hakua na Yesu wala hakumuona Yesu.... Kwani Mohammad alimuona Yesu? Km hoja kwa mtume kua na Yesu ndio tumuamini, Kwani Muhammad alimuona au kua nae nabii gani au Yesu mpk tumuamini?

Hilo swali na Mimi ningependa alijibu inakuaje anatumia mafundisho ya uongo na nyalaka za mtume Pau ambaye hawampendi kweli na wanamuita shetanil kudai hayo madai yake anayoyaona kua ni kweli?
Hahaha nikisema nyie wendawazimu huwa mnabisha Yesu alimuona Mussa? Yesu mlimuamini vipi yeye ni Mungu, wakati Mussa Alisha ambiwa na Mungu binadamu hawezi kuniona mimi na akaishi? Sa Yesu wangapi walimuona? Afu Yesu si kaisha kufa sa nyie hamna Mungu? Mungu anaye kufa ujuwe hawezi kusikia wala kuona, sa nyie Mungu wenu ni nani kuna mtu anaabudu kitu kilicho kuwa hakisiki wala kuona. Hebu we jaribu kufa afu uone kama unaweza kumtunza mama yako, au baba yako au watoto zako. Afu wapi Yesu alisema atakufa kwa ajili ya wakristo na atabeba dhambi zao. Yani hata Yesu mnamzulia uwongo mtashindwa kumzulia uwongo Mtume Muhammad.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom