Naam, nakubalimkuu hayo ni maneno yakukata tamaa kuna wengne furaha yetu ni kutafuta pesa na kusaidia wengne , mimi mtu akishiba kupitia mimi nasikia raha mno , lazima tusizake usku na mchana kutimiza furaha zetu.
Ukielewa hili somo hutojenga chuki na mtuAliposema nitakuja kama mwivi,hakika anamekuja kama mwizi.....yaan saivi huwez jipangia au kujikadiria nitafika muda au umri Gani ....tunaishi tu....ukiishi muda mrefu ni jambo la kumshukuru Mwenyez Mungu...yaan saivi kifo ni muda wowote,popote na Kwa vyovyote.
Tumwombe Mungu atupe mwisho mwema maana wote na vyote vinapita....tusiumize wengine Kwa ajili ya Mali...tutaziacha...tuishi tukifanya kilakitu Kwa kiasi.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
AMINA, hili tunatakiwa tulifahamu kila iitwapo leo
Maisha in zawadi tu na kifo kinaweza kumkuta yeyote muda wowote, hata kama ana Afya nzuri kabisa.
Tusijisahau.
Shida ya bata ukila huku unawaza kufa ndiyo mwanzo wa kuanza kulia bar huku unatoa siri za kambi [emoji23][emoji23]
But all in all thanks wacha nikumbuke leo kuwa kifo kipo no matter what
😁😁 Kwamba nimetia maziwa ndimu .🤣🤣Umeniharibia huku😋
Nilivyoona nimechelewa kuoa,ilibidi ni_limit idadi ya watoto,nikazaa watatu.Wa mwisho ana miaka sita.kila nikiwaza kuwaacha kabla hawajaweza kujitegemea nachoka.Mungu atuhurumie tu na kutuongezea miaka walau watoto wakue.[emoji15]Am afraid aseh .. If I am to die Nikufe Hawa machalii wako na 20 yrs...
Baba alikufa nkiwa na miaka minne ... Ilikuwa kipindi cha mateso Sana ...
Alikuwa akisema watateseka Sana wanangu "kauli ya mama hii " as if he was seeing our future ... Na ni kweli Tumesuffer ...
I don't wanna die young [emoji22][emoji22]
Mpige msasa Kaka mkubwa aelewe 😂🤣🤣🤣🤣
Hakika🙏Nilivyoona nimechelewa kuoa,ilibidi ni_limit idadi ya watoto,nikazaa watatu.Wa mwisho ana miaka sita.kila nikiwaza kuwaacha kabla hawajaweza kujitegemea nachoka.Mungu atuhurumie tu na kutuongezea miaka walau watoto wakue.[emoji15]
Kenge yule ana roho ndogo atakuletea shida Mana wanatembea na kamba za kujinyongea sku hizi. Na anafia kwako akukomoeTulitosana palepale Mbona🤕😔