Maisha yetu ni mafupi sana

Maisha yetu ni mafupi sana

mkuu hayo ni maneno yakukata tamaa kuna wengne furaha yetu ni kutafuta pesa na kusaidia wengne , mimi mtu akishiba kupitia mimi nasikia raha mno , lazima tusizake usku na mchana kutimiza furaha zetu.
Naam, nakubali
 
Aliposema nitakuja kama mwivi,hakika anamekuja kama mwizi.....yaan saivi huwez jipangia au kujikadiria nitafika muda au umri Gani ....tunaishi tu....ukiishi muda mrefu ni jambo la kumshukuru Mwenyez Mungu...yaan saivi kifo ni muda wowote,popote na Kwa vyovyote.
Tumwombe Mungu atupe mwisho mwema maana wote na vyote vinapita....tusiumize wengine Kwa ajili ya Mali...tutaziacha...tuishi tukifanya kilakitu Kwa kiasi.[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Ukielewa hili somo hutojenga chuki na mtu

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Am afraid aseh .. If I am to die Nikufe Hawa machalii wako na 20 yrs...

Baba alikufa nkiwa na miaka minne ... Ilikuwa kipindi cha mateso Sana ...


Alikuwa akisema watateseka Sana wanangu "kauli ya mama hii " as if he was seeing our future ... Na ni kweli Tumesuffer ...

I don't wanna die young [emoji22][emoji22]
Nilivyoona nimechelewa kuoa,ilibidi ni_limit idadi ya watoto,nikazaa watatu.Wa mwisho ana miaka sita.kila nikiwaza kuwaacha kabla hawajaweza kujitegemea nachoka.Mungu atuhurumie tu na kutuongezea miaka walau watoto wakue.[emoji15]
 
Nilivyoona nimechelewa kuoa,ilibidi ni_limit idadi ya watoto,nikazaa watatu.Wa mwisho ana miaka sita.kila nikiwaza kuwaacha kabla hawajaweza kujitegemea nachoka.Mungu atuhurumie tu na kutuongezea miaka walau watoto wakue.[emoji15]
Hakika🙏
 
Back
Top Bottom