The unpaid Seller
JF-Expert Member
- Oct 27, 2019
- 2,113
- 6,251
Mkuu wewe unaweza kuwa mwanangu au mkwe wanguukikuwa utaelewa tu mkuu, calm down.
Basi wewe ni Malaika asilimia mia mbili nduguPeace be with you all sons of Zion,
Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake
Na wewe ongeza ....
Kwahyo dunian hamna dhamb? HowBado mnafikiriaga duniani kuna dhambi!
never say neverPeace be with you all sons of Zion,
Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake
Na wewe ongeza ....
Mm km mm najuaga Dunia aina dhambi màana maandiko yanasema YESU aliondoka na dhambi zetu zote au mm ndio sijaelewa maandiko mkuu,,,maana tunayoambiwa Kwenye maandiko vyotee ndivyo tunavoishi na tulishasamehewaa pale msalabanii,,,ndio maana walioijua kweli wanatuburuzaa[emoji23]Bado mnafikiriaga duniani kuna dhambi!
Hujafa hujaumbikaPeace be with you all sons of Zion,
Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake
Na wewe ongeza ....