Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Maishani kamwe siwezi kufanya mambo haya, wewe ni mambo yapi huwezi kufanya?

Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza ....
Basi wewe ni Malaika asilimia mia mbili ndugu
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza ....
never say never
 
Ukikuwa utaelewa nn maana halisi ya maishà .na maishà hayakupi unachotaka ila yakupa unacho staili ..,.NAJUA utanielewa Kwa ss ndugu ila rafiki wakwel n mudaa...
 
Bado mnafikiriaga duniani kuna dhambi!
Mm km mm najuaga Dunia aina dhambi màana maandiko yanasema YESU aliondoka na dhambi zetu zote au mm ndio sijaelewa maandiko mkuu,,,maana tunayoambiwa Kwenye maandiko vyotee ndivyo tunavoishi na tulishasamehewaa pale msalabanii,,,ndio maana walioijua kweli wanatuburuzaa[emoji23]
 
Peace be with you all sons of Zion,

Katika maisha kuna mambo piga ua galagaza siwezi kuyafanya sioni manufaa yoyote yapatikanayo kwayo:
1. Kwenda kwa waganga
2. Kushabikia mamipira
3. Kunywa pombe
4. Kumrudia mwanamke niliemuacha
5. Kumpunja mtu haki zake

Na wewe ongeza ....
Hujafa hujaumbika
 
Back
Top Bottom