Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado unaloloma? nishakwambia tulia hapo.Iwapo unamuamini TB Joshua huwezi kuona hoja zangu.
We sijui unaongea nini,hao ndugu zako wananyukwa na kupotezwa mazima,hamna kuweka ushahidi.Kama Israel hawajashindwa mbona hawajapata hata teka moja na Hamas wanaendelea kuwanyuka IDF mmoja mmoja
Subiri tuone kama wamepita au ndio wamezama hapo kwenye matope.We sijui unaongea nini,hao ndugu zako wananyukwa na kupotezwa mazima,hamna kuweka ushahidi.
Na sasa ni Lebanon,badae Iran.
Watapigwa wote mpk wachakae.
Video ya kwanza kabisa Waziraili wakitoka kwao kwenda vitani.
Zile silaha na vita haikuwa kwaajili ya Ghaza tu.
Yaani ni kwamba Ghaza wamepita tu.
Kuna kichwa kikubwa kinatafutwa.
Hamas walishambulia na kujifanya vidume, vita imeanza wametupa sare zao ni mwendo wa baibui na madela.Shame on Hamas, damu ya wapalestina iwe juu yao na vizazi vyao, shetani hana rafiki, kama mtaendelea kuwashangilia hamas wapalestina wataendelea kuangamia, unavamia halafu unaenda kujificha kwa raia? Unafikiri siku nyingine hamas alishambulia tena Israel atawaacha? Katika mashambulizi ya October 7 hamas wameambulia nini? Nilivyosikia Netanyahu anatangaza vita nilijua lazima hali iwe mbaya sana kwa watu wa Gaza.
sasa Hamas wanaua idf wa wap kama gaza nzima ni silaha za IDF tuTakwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.
Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.
Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.
Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.
Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
hahahaaaaAkili yako haina akili,Unalia hapa wanavopigwa huko huku unasema ziraili kashindwa vita.
151 tayari jana na leo.
Kesho itakua 200+ wanaume wanarudi kupumzika.
Mtaonana tena ijumaa mkimaliza swala tu.
Safari hii mmeingia choo cha kike.
lzm si mlichokoza wenyewe?Hiyo kesi inasaidia kuweka sawa kumbukumbu kwamba alichofanya Israel ni uonevu na uvunjaji wa sheria za kimataifa.
Mara nyingi hii huleta ushujaa kwa nyoyo za binadamu kupambana na madhalimu hata wasipotekeleza hukumu kwa makosa yao
Huo ni ushindi gani wa kuua watu namna hiyo.
Yaani unaunga mkono watu wafe kwa njaa halafu unailalamikia ccm kwa maisha magumu.Si uone ni sawa tu.
unaandika km mwehu , unadai Idf wanafaya Genocide , hlf hapa hapa hawajashinda vita bali wao Idf wanapukutishwaKama Israel hawajashindwa mbona hawajapata hata teka moja na Hamas wanaendelea kuwanyuka IDF mmoja mmoja
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.
Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.
Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.
Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.
Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hi
Bro unashangaa watu kufa wakati adui yupo ndani na mlangoni . Unadhani Idf walienda kuhubiri dini huko gaza?Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.
Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.
Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.
Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.
Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
yo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
Akili yako haina akili,Unalia hapa wanavopigwa huko huku unasema ziraili kashindwa vita.
151 tayari jana na leo.
Kesho itakua 200+ wanaume wanarudi kupumzika.
Mtaonana tena ijumaa mkimaliza swala tu.
Safari hii mmeingia choo cha kike.
Alichokifanya Hamas October 7 sio uonevu ni ushujaa kuvamia Israeli na kuua wayahudi na kuteka raiaHiyo kesi inasaidia kuweka sawa kumbukumbu kwamba alichofanya Israel ni uonevu na uvunjaji wa sheria za kimataifa.
Mara nyingi hii huleta ushujaa kwa nyoyo za binadamu kupambana na madhalimu hata wasipotekeleza hukumu kwa makosa yao
Ndo sasa watulie kipigo kiko nusu tu wanalia nini?Alichokifanya Hamas October 7 sio uonevu ni ushujaa kuvamia Israeli na kuua wayahudi na kuteka raia
Mwisho upo mkuu, usiku ukikomaa karibu kupambazuka.Akili yako haina akili,Unalia hapa wanavopigwa huko huku unasema ziraili kashindwa vita.
151 tayari jana na leo.
Kesho itakua 200+ wanaume wanarudi kupumzika.
Mtaonana tena ijumaa mkimaliza swala tu.
Safari hii mmeingia choo cha kike.
Takwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.
Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.
Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.
Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.
Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ
Si mlikuwa mnasema Alwaaa akbari na mnashangilia, endeleeeni kushangilia yajayo yanafurahisha tunataka tuione Sudan na Somalia ya palestina. Maisha haya lazima utumie akili ktk kuishi. Msije mkamuona Marekani, wakati anajiepusha na mavita yasiyo na tija mnashangilia anaogopa kumbe anawapigia hesabu atafaidika na nn? Kwy vita na weweTakwimu za vifo Gaza ni kubwa mno kiasi kwamba inakadiriwa kati ya kila wapalestina 20 mmoja kati yao ameuliwa.
Suala la vifo zaidi ya 100 na baadhi ya siku mpaka 700 ni kitu cha kawaida.Kuna wajumbe wa UN wanasema hawajawahi kushuhudia uwiyano wa vifo namna hiyo katika vita vyovyote duniani.
Katikati ya hali hiyo ya kutisha wajumbe wa mashirika ya misaada katikati ya wiki hii walipokuwa wakijaribu kupeleka misaada kaskazini ya Gaza walishangaa kuzuiliwa na majeshi ya Israel kufikia maeneo hayo wakielezwa kuwa kuna magaidi ya Hamas.
Hata hivyo walichokiona njiani ni maiti za watu wakiwemo watoto wadogo.Wale waliowakuta hai njiani walikuwa ni watu waliodhoofika sana kwa njaa wakikimbilia magari yao ambayo hayakuwa na kitu wakiomba maji na chakula. Waliposhindwa kuwasaidia walishuduia baadhi yao wakidondoka na kufa.
Hayo ni matokeo ya kushindwa kwa Israel katika vita na kubaki kuua watu kwa silaha za moto na kwa ktumia njaa na kiu. Na hali hiyo ndiyo iliyoitia huruma nchi ya Afrika kusini na kuamua kuifungulia kesi Israel kwenye mahakama ya ICJ