Maiti za watu kila sehemu Gaza. Wapo wanaokufa kwa silaha za Israel na wapo wanaokufa kwa njaa

Wewe ni adui mkubwa wa waislamu, hivyo usijifanye hujui ugomvi wao, ni bora ukae kimya mkuu
 
Wewe ni adui mkubwa wa waislamu, hivyo usijifanye hujui ugomvi wao, ni bora ukae kimya mkuu
 
Inauma sana kuona wapalestina wanakufa kiasi kile kwa sababu ya hamas. Yaani ukishavamia nchi halafu wakajua amejificha wapi lazima ufuatwe huko huko,
Vita hii haijaanza October tu, nini huelewi! Kabla ya October kulikua na amani yoyote! Walikua hawauliwi wapalestina! Just think be4 you talk!
 
Aliyeanza kuchokoza alaumiwe

Ila watanzania wengine bwana, ndio maana sukari imepanda bei, ajira hakuna, watu wanadhulumiana viwanja, wanauwana n.k.

Hii vita haijaanza leo wala jana muwe mnaelewa, miaka zaidi ya 70 wapalestina wanauliwa, na ndio wenye ardhi yao wananyasika hivyo, nyie mnaangalia only October! miaka yote hiyo ya mauwaji hamuangalii! Natamani siku moja wazungu waje huku wajichukulie kieneo halafu tuone wayahudi weusi mtachukua hatua gani!
 
Wapigwe mpaka maji waite Mma,
Mmeenda wenyewe kuwachokoza bila sababu ya msingi.
Wanawarudia mnalialia.
Si tunasubiri j3 idadi tu km imefika 70000 tunaendelea kutafuta 100000.
Mkumbuke waliua 1000×100 ni 100000.
Mzirail wa Buza hapa ndo nasema..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…