babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 11,632
- 29,912
Sema baadhi ya sehemu sio kusema bongo.Kama kenya unga pakiti ya kg 2 ni ksh 130 sala na tsh 2600,
unga bongo ni tsh 1500 kwa kg,means kilo mbili ni tsh 3000,
maana yake unga kenya ni cheap kuliko tz
Kawaida kwa maskini vitu huwa bei nafuu.Tuliwaambia ksh 45 Kwa tz unapata ugali wenye mboga 5 mkabisha sasa chekini bei ilivyokubwa kenya
Kawaida kwa maskini vitu huwa bei nafuu.
Mchapa kazi ni yule anayejitegemea bila kumtegemea mwingine kwa chochote, mbaya zaidi kwa chakula sadly Kenya mpaka leo bado kuna vifo vitokanavyo na njaa (ishara kubwa ya uvivu wa kazi na kufikiri)Nchi ya Kenya ambayo ni jangwa kwa asilimia 89%, na ambayo haina madini yeyote ya kutajika, imekuwa ikiwasomesha namba kwa miaka yote hiyo. Sasa mchapakazi ni nani hapo?
Nani aliyetuma kundi la mawaziri kwenda kumuomba mwenzake?. Kuna soko kubwa sana la SADC na hatuwezi kulitosheleza, mlitumia mbinu ya kuturudishia dhahabu, hapo hapo mkachomekea kuja kuomba tuwauzie chakula, sasa kurudisha dhahabu na kuleta watu wa wizara ya KILIMO vinauhusiano gani kama sio kulia njaa?Tukiwaambia Watanzania wanategemea pesa zetu wanapiga kelele.
Sasa mbona mlileta kundi la mawaziri kubembeleza tuwauzie chakula?. Msumbiji, Malawi, Zimbabwe na DRC wanatutegemea, hukumbuki Waziri wenu wakati anaomba tuwauzie chakula alivyokua analalamika?Wakulima wenu wanasaka hela bana...wanapeleka mahindi yao kwenye mpunga wa maana wala sio kw maskini wenzao
Ninyi wakenya lazima mpo na matatizo ya akili sio bure. Hivi hukumbuki wakati mbaturudishia dhahabu na mkachomekea kuomba kununua mahindi, na mlisema mnaomba kuchanganya kwasababu huko Kenya mnahitaji mahindi kupikia Githeri, kwasababu Magufuli alikua amejawa furaha akakubali muuziwe mahindi?.Nilisikia wakisema humu kwamba hawatauza mahindi Kenya, watatuuzia unga wa mahindi. Nashangaa leo serikali ya 'pesa zetu za ndani' haina ubavu wa kununua mahindi yote ya wakulima kama walivofanya kwenye lile sakata la koroshow. Pesa ndio kila kitu bana na biashara ni nipe nikupe. Wakileta majungu itakula kwa wakulima wao, na bado Kenya itanunua mahindi ya nchi nyingine.
Maisha yenu ni magumu hadi mnakimbilia nchi za watu.
true story btw...You're bonkers if you think made in Tanzania flour will be appearing on any Kenyan supermarket shelves.
We will get the maize from Mexico and Brazil and make our own flour.
Mexico maize is even cheaper than Tanzanian maize.
Without Kenyan money where would you be?Bila ya chakula toka Tanzania nyie mgekufilia mbali!!!
Yes we can buy raw products but not flour.Tz Farmers should sell all their maize to kenya and make $$! Tz has suplus rice, Beans, fruits, meat, Wheat etc..
Hii mambo ya kula mahindi kama kuku ni mazoea ya mijitu ya kibera
They should be thanking kenya. Our companies are the largest source of FDI in the region and our money enables them to take their children to school, even though their education is wanting.Nchi ya Kenya ambayo ni jangwa kwa asilimia 89%, na ambayo haina madini yeyote ya kutajika, imekuwa ikiwasomesha namba kwa miaka yote hiyo. Sasa mchapakazi ni nani hapo?
Vitu viwili tofauti.
Dreams and words of idiots and the lazy mean nothing to the wise and knowledgeable.Ninyi wakenya lazima mpo na matatizo ya akili sio bure. Hivi hukumbuki wakati mbaturudishia dhahabu na mkachomekea kuomba kununua mahindi, na mlisema mnaomba kuchanganya kwasababu huko Kenya mnahitaji mahindi kupikia Githeri, kwasababu Magufuli alikua amejawa furaha akakubali muuziwe mahindi?.
Hata Zimbabwe na Malawi pia wamechukua mahindi kutokana na kiwango kikubwa cha mahindi kinachohitajika kwa haraka, sio rahisi Kusaga na kupeleka unga ndani ya muda mfupi, Mahindi ni Mengi sana kwa wakulima, lazima yachukuliwe haraka.
SADC countriesWithout Kenyan money where would you be?
HAHAHAHAHAHA, that was a good joke. When eac failed, where was sadc to lift up your economy? You people rely on kenya for your farm produce exports ie we buy low value farm produce from you while we farm high value products for export to america, europe and the middle east.SADC countries
Definately! Kenya can decide to buy all the maize from ti-zii and make all the ti-zedian farmers rïch and laugh all the way to the bank but my worry and concern ni kwa wananchi wa ti-zii, I mean, we all know watizedi ni wanyonge na mASkiNi wa kutupiliwa mbali.... Jesus Christ!! utawafanya waendelee kushindia kula mihogo ya kuchemsha na strong tea jinsi tunavyowaona wengi wao humu jukwaaniTz Farmers should sell all their maize to kenya and make $$! Tz has suplus rice, Beans, fruits, meat, Wheat etc..
Hii mambo ya kula mahindi kama kuku ni mazoea ya mijitu ya kibera
Bad for Tanzanian consumers who will now rely on their staple food of black tea and cassava.Good for Tanzanian farmers! After Zimbabwe now Tanzania is feeding hunger infested Kenya!
We can buy all the maize and export flour, corn starch, pop corns etc to these lazy idiots, if they will afford.Definately! Kenya can decide to buy all the maize from ti-zii and make all the ti-zedian farmers rïch and laugh all the way to the bank but my worry and concern ni kwa wananchi wa ti-zii, I mean, we all know watizedi ni wanyonge na mASkiNi wa kutupiliwa mbali.... Jesus Christ!! utawafanya waendelee kushindia kula mihogo ya kuchemsha na strong tea jinsi tunavyowaona wengi wao humu jukwaani