Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Huwa najiuliza swali moja kwa baadhi ya watu. Kwa nini unafanya kitu ambacho unajua kitafell why? au ni kutaka kuprove how much you can fail?
 
hata kama tunatamani maisha mazuri lakini hatuweze kuyapata kwa kulazimisha tutajiingiza kwenye hasars kubwa,kwenye meli ya samaki tulishangilia ila gharama yake tuliiona.
 
Hapo ccm wataongea ujinga uliokithiri kuonyesha bwana wao hakuteleza na kila jambo lipo sawa !. Ukimwi haufichiki,usipo kohoa utakonda.usipokonda kichwani utachenguka.vinginevyo uharishe,unenepe,ilitu dalili mojawapo ionekane ndo ufe.sasa haya yote kwa ccm tumeshayaona.jibunge zima linaropoka bungeni,utadhani limebwia kangara !sasa hoja zinawakwama kooni.kizungu chenyewe cha marigameshini !. Hata kama haki mnayo,mtajielezaje ili kupata haki yenu ? Tulieni tu furushi lenu la mavi liwa elemee kama sio kuwanikia.mmezidi mno kukurupuka acha mdhalilike,hiyo ndo stahiki yenu nchi hii.Mungu utawalaye dunia,onyesha nguvu ya utawala wako dhidi ya ccm ili tu wajue wewe upo.wamejivika uungu hawa watu,kwa kufuru hiyo tu Mungu wangu,wasisalie uwafichapo Uso wako.kila nikiomba lazima nipate matokeo,hata hili najua matokeo yake nitayashuhudia,uinuliwe Mungu wangu,Amen.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais John Pombe Joseph Magufuli
Hajawahi Kushindwa Tutakipwa Pesa Muda Ni Rafiki
 
Ujinga ni kutojua jambo au maana ya jambo.
Kilatini wanasema 'Ignoransia bliss' Yaani, ujinga unaleta raha. Hebu imagine uko club na unakata rumba halafu mahali fulani ndani ya club bomu limetegwa. Kwasababu ya ujinga utaendelea kukata rumba kwa raha zako mpaka hapo bomu litakapolipuka.

Wakati gani ukimya unakuwa ni mbinu kwenye majadiliano?
Upande mmoja wa majadiliano unaweza kusema jambo kama kutishia hivi na wakakutegemea useme jambo kwa haraka ili kuona kama mtego wao umenasa.

Basi hapa unaweza kuamua kuwa kimya kwa muda wa kutosha. Ukimya huu utavutia upande uliokupa vitisho kuongea zaidi na mahali fulani wakajikuta wamejipiga risasi kwenye kidole na wewe ukapata nafasi ya kujenga hoja.

Barrick wamefanya majadiliano ya kibiashara karne na karne. Wana international negotiators wenye uzoefu mzuri mno. Wao walishaanza kuitumia mbinu ya ukimya mapema mno na hata ilipolazimu waongee walikuwa wakiwaambia wanahisa wao tulichokisema sisi basi!

Baada ya yule 'mwanaume' wa Barrick kuondoka ikulu, immediately Barrick wakaanza kuitumia mbinu ya ukimya,kile wanachosema wazungu

~stop.look.listen.think and wait.

Sisi tukaanza kuongea kila kilichokuja mdomoni kwetu bila kukichambua;
☞Mara Barrick wamesema watalipa.
☞Mara tumeibiwa sana.
☞Mara wakichelewa tutafunga migodi yao.
Maneno kibao!!!!

Tulipoona wapo kimya zaidi tukawapelekea ile bill ya ajabu kuwahi kutokea duniani~ madai ya trillion 428, budget ya shirika la anga la Marekani kwa miaka kumi!

Barrick ikaona ukimya wao umetosha na umezaa matunda ya kutosha.
Wakaleta delegetion yao ikiongozwa na commando wa SAS mstaafu tukabeza bila kujua kuwa majadiliano yanachosha na makomandoo, sio wale wa kwetu wa kupasua matofali kwa kichwa, wana uwezo mkubwa wa kusurvive kwenye majadiliano magumu kabisa,hata ya mateso,kwa muda mrefu huku wakiweza kufikiria sawasawa.

Sasa huu ushauri wa kuweka timu ya majadiliano siri au kutopeana mrejesho sijui umetoka kwa nani! Nafasi ya kuutumia ukimya kama mbinu tulishaipoteza.

Jinsi tulivyo brag kabla ya majadiliano kuanza imetupa mzigo wa ziada, nao ni kuficha aibu ya serikali. Na international negotiators kama Barrick wanalijua hili. Pale waliposema win win situation hatukuwaelewa, tulifikiria zaidi fedha. Tulisahau kama Barrick kutusaidia kuficha aibu ya serikali kwetu pia ni win situation.

Usije ukashangaa kitu cha mwisho tutakachokipigania kwenye haya majadiliano ikawa kuwaomba Barrick watufichie aibu.
 
tutapata majibu baada ya majadiliano. kuja kwao ACACIA kwenye meza ya mduara ni hesha kubwa kwetu kama taifa. na kuwa sisi siyo wa mchezomchezo kwenye Tanzania ya JPM
 
Baada ya yule 'mwanaume' wa Barrick kuondoka ikulu, immediately Barrick wakaanza kuitumia mbinu ya ukimya,kile wanachosema wazungu ~stop.look.listen.think and wait.
Sisi tukaanza kuongea kila kilichokuja mdomoni kwetu bila kukichambua;
☞Mara Barrick wamesema watalipa.
☞Mara tumeibiwa sana.
☞Mara wakichelewa tutafunga migodi yao.
Maneno kibao!!!!
Tulipoona wapo kimya zaidi tukawapelekea ile bill ya ajabu kuwahi kutokea duniani~ madai ya trillion 428, budget ya shirika la anga la Marekani kwa miaka kumi!


HAPO MIMI NLIBAKI KINYWA WAZI JAMAA
 
Baada ya yule 'mwanaume' wa Barrick kuondoka ikulu, immediately Barrick wakaanza kuitumia mbinu ya ukimya,kile wanachosema wazungu ~stop.look.listen.think and wait.
Sisi tukaanza kuongea kila kilichokuja mdomoni kwetu bila kukichambua;
☞Mara Barrick wamesema watalipa.
☞Mara tumeibiwa sana.
☞Mara wakichelewa tutafunga migodi yao.
Maneno kibao!!!!
Tulipoona wapo kimya zaidi tukawapelekea ile bill ya ajabu kuwahi kutokea duniani~ madai ya trillion 428, budget ya shirika la anga la Marekani kwa miaka kumi!


HAPO MIMI NLIBAKI KINYWA WAZI JAMAA
Ok hadithi yako ya leo inatufundisha nini?
 
Mungu anakuona mleta thread Acha kutupa presure noah yangu nyeusi ndiyo basi tena
Usiwe na shaka kiongozi... kitu kiko tayari kinasubiri kupandishwa melini...
upload_2017-8-13_18-31-40.jpeg
 
Back
Top Bottom