Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Wasitafute sababu. Nasubiri Noah yangu ya kijani rangi ya chama. Ohhh.
 
Utapigwa na butwaa ukiambiwa kwenye timu ya wataalam wa Tanzania BULEMBO NDANI !
Wee acha kukasirisha watu kwenye issue za kimataifa, KKK hawezi kuwemo kwenye mambo ya kitaalam labda kama kampeleka binti yake mbunge vitiiiu maalaum maana hata yeye ni mbunge maalum kama binti yaake..
 
Angekuwa yule boss wa mafisadi tz ndiye rais wetu leo (Mungu aepushie mbali!) wala tusingejua chochote kuhusu makinikia....angegawana cha juu na genge lake wananchi tusingejua chochote!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watanzania tunapenda Udaku,Umbeya na Majungu.......Mara Commandoo mstaafu,mara ukimya,mara trillions.
 
Tulizoea enzi za mzee wa msoga kila kitu tunakipata baa hatuhitaji hata kusubiri taarifa ya habari huyu kila kitu chini ya handaki tumebaki kupiga ramli tu!
 
"Wakaleta delegetion yao ikiongozwa na commando wa SAS mstaafu tukabeza bila kujua kuwa majadiliano yanachosha na makomandoo, sio wale wa kwetu wa kupasua matofali kwa kichwa, wana uwezo mkubwa wa kusurvive kwenye majadiliano magumu kabisa,hata ya mateso,kwa muda mrefu huku wakiweza kufikiria sawasawa."
 
Ujinga ni kutojua jambo au maana ya jambo.
Upumbavu ni zaidi ya ujinga, yani haujui jambo au maana ya jambo na haujui kama hujui.

Kilatini wanasema 'Ignoransia bliss'
Yaani, ujinga unaleta raha. Hebu imagine uko club na unakata rumba halafu mahali fulani ndani ya club bomu limetegwa.
Kwasababu ya ujinga utaendelea kukata rumba kwa raha zako mpaka hapo bomu litakapolipuka.

Wakati gani ukimya unakuwa ni mbinu kwenye majadiliano?
Upande mmoja wa majadiliano unaweza kusema jambo kama kutishia hivi na wakakutegemea useme jambo kwa haraka ili kuona kama mtego wao umenasa.Basi hapa unaweza kuamua kuwa kimya kwa muda wa kutosha.Ukimya huu utavutia upande uliokupa vitisho kuongea zaidi na mahali fulani wakajikuta wamejipiga risasi kwenye kidole na wewe ukapata nafasi ya kujenga hoja.

Barrick wamefanya majadiliano ya kibiashara karne na karne.Wana international negotiators wenye uzoefu mzuri mno.
Wao walishaanza kuitumia mbinu ya ukimya mapema mno na hata ilipolazimu waongee walikuwa wakiwaambia wanahisa wao tulichokisema sisi basi!

Baada ya yule 'mwanaume' wa Barrick kuondoka ikulu, immediately Barrick wakaanza kuitumia mbinu ya ukimya,kile wanachosema wazungu ~stop.look.listen.think and wait.
Sisi tukaanza kuongea kila kilichokuja mdomoni kwetu bila kukichambua;
☞Mara Barrick wamesema watalipa.
☞Mara tumeibiwa sana.
☞Mara wakichelewa tutafunga migodi yao.
Maneno kibao!!!!
Tulipoona wapo kimya zaidi tukawapelekea ile bill ya ajabu kuwahi kutokea duniani~ madai ya trillion 428, budget ya shirika la anga la Marekani kwa miaka kumi!

Barrick ikaona ukimya wao umetosha na umezaa matunda ya kutosha.
Wakaleta delegetion yao ikiongozwa na commando wa SAS mstaafu tukabeza bila kujua kuwa majadiliano yanachosha na makomandoo, sio wale wa kwetu wa kupasua matofali kwa kichwa, wana uwezo mkubwa wa kusurvive kwenye majadiliano magumu kabisa,hata ya mateso,kwa muda mrefu huku wakiweza kufikiria sawasawa.

Sasa huu ushauri wa kuweka timu ya majadiliano siri au kutopeana mrejesho sijui umetoka kwa nani!
Nafasi ya kuutumia ukimya kama mbinu tulishaipoteza.

Jinsi tulivyo brag kabla ya majadiliano kuanza imetupa mzigo wa ziada, nao ni kuficha aibu ya serikali. Na international negotiators kama Barrick wanalijua hili. Pale waliposema win win situation hatukuwaelewa,tulifikiria zaidi fedha.Tulisahau kama Barrick kutusaidia kuficha aibu ya serikali kwetu pia ni win situation.

Usije ukashangaa kitu cha mwisho tutakachokipigania kwenye haya majadiliano ikawa kuwaomba Barrick watufichie aibu.

Nafuata K vant, ntarudi!
Congratulations,sijui kama unamsichana wa kazi nyumbani!ila fikiria hivi unaye,na mshahara wake ni sh 50000/=tu kwa mwezi. Usipomlipa kwa miezi 24 anakudai sh.ngapi?duniani hakuna bili ya ajabu zoea kutolimbikiza madeni utakuwa huru sana tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais alipokamata kontena mliponda, alipouñda kamati ya kwanza pia mliponda sana, na kamati ya pili ndiyo kabisaa!!!

Swali langu! Hivi nyie mmelelewa katika mazingira gani ya kulalamika lalanika na kuponda kila uchwao?

Nahisi itakuwa ni urithi kutoka kwa Babu zenu. Ila angalieni msije lalamikia hadi familia zenu kuwa mnashindwa kuzilea. Na wajanja wakawasaidia kulea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ujinga ni kutojua jambo au maana ya jambo.
Upumbavu ni zaidi ya ujinga, yani haujui jambo au maana ya jambo na haujui kama hujui.

Kilatini wanasema 'Ignoransia bliss'
Yaani, ujinga unaleta raha. Hebu imagine uko club na unakata rumba halafu mahali fulani ndani ya club bomu limetegwa.
Kwasababu ya ujinga utaendelea kukata rumba kwa raha zako mpaka hapo bomu litakapolipuka.

Wakati gani ukimya unakuwa ni mbinu kwenye majadiliano?
Upande mmoja wa majadiliano unaweza kusema jambo kama kutishia hivi na wakakutegemea useme jambo kwa haraka ili kuona kama mtego wao umenasa.Basi hapa unaweza kuamua kuwa kimya kwa muda wa kutosha.Ukimya huu utavutia upande uliokupa vitisho kuongea zaidi na mahali fulani wakajikuta wamejipiga risasi kwenye kidole na wewe ukapata nafasi ya kujenga hoja.

Barrick wamefanya majadiliano ya kibiashara karne na karne.Wana international negotiators wenye uzoefu mzuri mno.
Wao walishaanza kuitumia mbinu ya ukimya mapema mno na hata ilipolazimu waongee walikuwa wakiwaambia wanahisa wao tulichokisema sisi basi!

Baada ya yule 'mwanaume' wa Barrick kuondoka ikulu, immediately Barrick wakaanza kuitumia mbinu ya ukimya,kile wanachosema wazungu ~stop.look.listen.think and wait.
Sisi tukaanza kuongea kila kilichokuja mdomoni kwetu bila kukichambua;
☞Mara Barrick wamesema watalipa.
☞Mara tumeibiwa sana.
☞Mara wakichelewa tutafunga migodi yao.
Maneno kibao!!!!
Tulipoona wapo kimya zaidi tukawapelekea ile bill ya ajabu kuwahi kutokea duniani~ madai ya trillion 428, budget ya shirika la anga la Marekani kwa miaka kumi!

Barrick ikaona ukimya wao umetosha na umezaa matunda ya kutosha.
Wakaleta delegetion yao ikiongozwa na commando wa SAS mstaafu tukabeza bila kujua kuwa majadiliano yanachosha na makomandoo, sio wale wa kwetu wa kupasua matofali kwa kichwa, wana uwezo mkubwa wa kusurvive kwenye majadiliano magumu kabisa,hata ya mateso,kwa muda mrefu huku wakiweza kufikiria sawasawa.

Sasa huu ushauri wa kuweka timu ya majadiliano siri au kutopeana mrejesho sijui umetoka kwa nani!
Nafasi ya kuutumia ukimya kama mbinu tulishaipoteza.

Jinsi tulivyo brag kabla ya majadiliano kuanza imetupa mzigo wa ziada, nao ni kuficha aibu ya serikali. Na international negotiators kama Barrick wanalijua hili. Pale waliposema win win situation hatukuwaelewa,tulifikiria zaidi fedha.Tulisahau kama Barrick kutusaidia kuficha aibu ya serikali kwetu pia ni win situation.

Usije ukashangaa kitu cha mwisho tutakachokipigania kwenye haya majadiliano ikawa kuwaomba Barrick watufichie aibu.

Nafuata K vant, ntarudi!
Umekosa la kuongea?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais alipokamata kontena mliponda, alipouñda kamati ya kwanza pia mliponda sana, na kamati ya pili ndiyo kabisaa!!!

Swali langu! Hivi nyie mmelelewa katika mazingira gani ya kulalamika lalanika na kuponda kila uchwao?

Nahisi itakuwa ni urithi kutoka kwa Babu zenu. Ila angalieni msije lalamikia hadi familia zenu kuwa mnashindwa kuzilea. Na wajanja wakawasaidia kulea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tumelelewa ktk mazingila ya kutodanganywa kijinga na mjinga Sizonje
 
Wakilipa hata jiti nichuneni ngozi.

An ant on the move does more than a dozing ox.
 
Back
Top Bottom