Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine


Hizo taarifa umezipata wapi wewe? kwa nini mnaropoka kwa vitu msivyovifamhamu? hadi hivi leo hakuna anayefahamu labda mkuu wa nchi pekee yake. Baadhi ya watu mnashangilia mambo ya wale wageni waliotuibia mali zetu kwa muda mrefu, ninyi mnawafagilia ! hii ni nchi yetu huwezi hata siku moja ukaenda kwa hao watu mnaowashabikia.
 
Lazima mtolewe kapa hakuna cha pesa wala nini
mtashangaa.....dua la kuku halimpati mwewe....kila baya mnaloombea halitokei...mtamyooka tu na kuelewa baadae maana vichwa vimejaa hewa.
 
Kwahiyo hao mnao waita wezi walijikaribisha hapa Tanzania?wacheni kujitoa ufahamu kisa ushabiki wa uchwara kwa ccm
 
Unaonaje ukiweka angalau Picha ili tuwe na taswira ya kinachoendelea kule kikaoni
 
mtashangaa.....dua la kuku halimpati mwewe....kila baya mnaloombea halitokei...mtamyooka tu na kuelewa baadae maana vichwa vimejaa hewa.
Lazima mtoke kapa na badala yake nyinyi ndiyo mtawalipa kwa kuwaita wezi wakati mliwakaribisha nyinyi wenyewe
 
Lazima mtoke kapa na badala yake nyinyi ndiyo mtawalipa kwa kuwaita wezi wakati mliwakaribisha nyinyi wenyewe
kwa hili pia mtaaibika msikimbie tu kwa kutuogopa na wala tusiwasikie mnalizungumzia
 
mirija ya taarifa ya kinachojiri imezibwa....watu huku nje wanaweweseka.....kwa kujigeuza watabiri...
kila lianzalo lazima limalizike....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…