Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Waliosaini mikataba mibovu ndiyo walipaswa kunyongwa kabisa!
 
Waificha ''Details'' Za Matokeo ya hizo kamati mbili kwa manufaa ya Nani?
 
Hivi kuna mtu alitarajia chochote kwenye huu uzushi wa mchanga ?

SHERIA MPYA YA MADINI HAIHUSU MIGODI INAYOENDELEA - KABUDI
 

Your argument is a fallacy. Kama hakuna Mungu, we came in this world with nothing, we will leave with nothing, then it follows kwamba the only time that counts is the time we are in this world.

Sasa muda huu mfupi ambao nipo hapa duniani unataka nimtolee sadaka Mungu ambaye hayupo, nipoteze muda wangu kwenda kanisani kumfuatilia Mungu ambaye hayupo na niishi kwa woga kumuogopa Mungu ambaye hayupo?


Mungu wenu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote angekuwepo maovu yasingekuwepo.Yasingewezekana.

Kwa sababu Mungu huyo angeumba ulimwengu ambao maovu hayawezekani kuwepo.

Ukweli kwamba maovu yapo unaonyesha kwamba Mungu huyo hayupo.

Wewe baba wa kibinadamu tu mwenye uwezo, ujuzi na upendo wenye mwisho, anahakikisha wanawe wanakula, wanavaa na wanaishi kwenye nyumba nzuri kadiri anavyoweza.

Huyu Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini kaumba ulimwengu ambao mabaya yanawezekana kufanyika kama alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezi kufanyika?

Unaposema ecosystems ziko superbly organized unashindwa kuelewa kwamba mwili wako tu hauna total efficiency.

Ndiyo maana unakunya. Kunya ni ku produce waste products. System inayo produce waste products haina total efficiency.

Sasa kwa nini Mungu mwenye uwezo wote aumbe system ambayo haina total efficiency?
 
Tatizo Ngosha anafanya vitu kama anaswaga ng'ombe chato
 
Basi mkuu, nakung'uta mavumbi damu yako sidaiwi,naona uko mbali sana.Time will tell kama yupo au hayupo,ila mbele yake kila goti litapigwa pamoja na la kwako na kukiri kwamba yeye ni Bwana.Kwa heri.
 
Basi mkuu, nakung'uta mqvumbi damu yako sidaiwi,naona uko mbali sana.Time will tell kama yuko au hayuko,ila mbele yake kila goti litapigwa pamoja na la kwako na kukiri kwamba yeye ni Bwana.Kwa heri.
You are contradicting yourself.

Mara time will tell kama yupo au hayupo.

Mara kila goti litapigwa.

Hata wewe mwenyewe hujui kama unaamini yupo au huamini!

Ungeamini usingekuwa na haja ya kusema time will tell kama yuko au hayuko.
 
Maafikiano yatafikiwa tu. Istoshe mazungumzo hayo ni majadiliano ya pande zote mbili kwa hiyo mleta tetesi usilete tetesi ya kuhusisha upande mmoja. Istoshe serikali inataka mapato mazuri ya madini kwa mustakbali mzuri ya nchi yetu....kwani mzungu nani..

Tuvumilie kupata habari kamili.
 
kama itakuwa kweli basi ni ushindi mkubwa kwa lissu lakini kama itabaki kama ilivyo kudhani dhani na udaku,basi upinzani tanzania utabaki kushangilia vyama tawala wakisalia madarakani!
 
Hivi unamjua mwizi wamadini yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…