Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Kuwa na kumbukumbu ni kitu cha msingi sana.....

Wapinzani hawakuwa wanapiga kelele before???

Hatimaye mliishia kuwatoa nje ya Bunge.....


Huyu Mungu wenu wa lumumba wakati mikataba inapitishwa Bungeni yy hakuwepo????????


Kwa hyo kuwa mzalendo had uwe Rais??????

Think big brother....
Hivi mpinzani akipigia kelele hoja au muswada fulani bungeni inakuwa ni lebo au hati miliki yake na hairuhusiwi Serilali iliyomadarakani kuichukua na kutekeleza hadi mje muingie madarakani(which will never happen kwa jinsi mnavotetea wezi)
Memebaki mapovu mnalamba footsteps za JPM na hamna agenda wala hamjitambui muelekeo wenu ni upi kwa sasa
 
Sina imani na chochote kinachoongozwa na mtu mwenye jazba na ukosefu wa hekima kama Magufuli.

Ni kitu rahisi sana kwa mtu kama huyu kuwekewa mtego akaingia, au yeye mwenyewe kujiweka katika mtego.

Sent from my Kimulimuli
 
Behind the scene tunaofanya kazi within the mining sector productions zinaendelea vizuri sana na makinikia yanasafirishwa kama hakuna kilichotokea vile.

Iko hivi despite the fact that ok makontena yako pale bandarini kwani ni mangapi?
So kifupi production hasn't stopped kazi inaendelea its business as usual rotation zetu za kazi 24/7 ziko pale pale jamaa bado wanazidi kuchukua mzigo.

Tatizo Baba Jesca hakuweka katazo kwamba hawa jamaa wasimame kufanya production so it didn't limit them. And mind you if there will be any changes it won't be that much. KARIBU.
Huu uongo mwingine. Tupe namba za hayo makontena yanayosafirisha makinika nyingine kutoka migodi unayofanyia kazi
 
Sina imani na chochote kinachoongozwa na mtu mwenye jazba na ukosefu wa hekima kama Magufuli.

Ni kitu rahisi sana kwa mtu kama huyu kuwekewa mtego akaingia, au yeye mwenyewe kujiweka katika mtego.

Sent from my Kimulimuli
Nadhani kwanza hujiamini wewe mwenyewe na ndio sababu unaandika hivi
 
Nadhani kwanza hujiamini wewe mwenyewe na ndio sababu unaandika upuuzi huu
Wewe ambaye hujaandika kwa nini nilichoandika ni upuuzi ndiye hujiamini hata kuweka hoja yako wazi kueleza kwa nini unasema mimi sijiamini.

Unaishia kudhani dhani mambo ya kuokiteza hewani tu.

Tuambie unachojua, kudhani unaweza kudhani uongo wowote tu.

Sent from my Kimulimuli
 
Uzi unakimbia Kwa kasi ya ajabu....Wazungu wanasema walikuwa wanatoa 36% ... Lkn huku kwetu wenye makengeza wanasema ni 4%..sawa.lkn hata hiyo 4% haipo.aisee hizi kijani hizi ni minyama iliyokubuhu Kwa upigaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uongo mwingine. Tupe namba za hayo makontena yanayosafirisha makinika nyingine kutoka migodi unayofanyia kazi
Narudia kusema within the mining sites productions zinaendelea sana tu. Kama hutojali kuwa mpole & do some simple lobbyings.
 
Umeamka unaota ndoto na tamaa yako na kuishia kuandika unachotamani kiwe kinatokea.. subiri wenzako mdamganyane. Jaribu tena lingine.. kumbuka makontena bado yapo paleeee..
Sio kudanganya umma
Walitoa ripoti ya kumfurahisha mfalme.
Hizi kamati zilidanganya umma ndo maana wanashindwa kuzipangua hoja za wathungu,walifanya uchunguzi kumfurahisha Mkulu

Waliotuibia ni watanzania wwnzetu Wala siyo wathungu.....

Kuwa mwafrika n tabu kweli kweli


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanzania aitokuwa nchi ya kwanza wala ya mwisho duniani inayohitaji mwekezaji mwenye mtaji mkubwa kwenye natural resources either mining or extraction of carbon fuel.

Hawa wenzetu washajua siku zote migogoro ipo njiani na wala si jambo la kushangaza kwao huu wa Tanzania sio wa kwanza na wala autokuwa wa mwisho duniani ni kawaida sana nchi husika baadae kuja na madai ya kupunjwa.

Sasa usidhanie wazungu ni watu wa kuchukua chances ambazo probability zake zinaweza kwenda kula kwao siku ukianza uzushi, hilo swala tusahau kabisa sheria yako inasemaje it doesnt matter that much kwanza utambuzi wa madini ni ya nchi husika is just a sentiment rather than in practice.

Kitu muhimu kwenye hii mikataba ni getting it right in the first place na kinachojadiliwa ni finance and investment appraisal ukikosea tu utalala na kidali kwa muda mrefu sana kwa sababu sheria za mkataba zinacheza na kanuni zingine kabisa either nchi ina bilateral agreement or not through not being in one is rare this days.

Kitu muhimu kwa wazungu kwenye hii mikataba kwa utambuzi wa uhujumu wao kwenye stabilization clause ni kwamba kubadili terms zozote za mkataba lazima kuwe na maridhiano ya pande mbili (intangibility clauses), kuna kipengele kinachozuia ku freeze assets zao kabla ya muda wa mkataba au fiscal changes, balancing clauses zinazuia sheria mpya kuingilia mkataba uliopo kwa uelewa serikari zinabadilika na mambo yanabadilika, gharama/fidia za kuvunja mkataba, na mwisho kabisa neutral body or place itakayo amua mgogoro.

Nafasi unayopewa ni kuweza ku negotiate kwa pamoja juu ya mapungufu ya mkataba uliopo kama umebaini unapunjwa na mnaendelea vipi lakini kuuvunja wakati una mkataba na umekubali mgogoro utatuliwa sijui 'London Court of International Arbitration’ ndani ya mkataba ni siasa za kitoto.

Sasa badala ya wao kujikita ni wapi kuna mapungufu ya mkataba na atufaidiki kama taifa wanaenda kuleta mambo ya ajabu kuendekeza emotions za raisi lets face it he is sensitive kwenye hili jambo lakini apati ushauri wa sahihi wa kulitatua. Kuingia tu kwenye contract renogitiation with a false premise and the wrong leader chances ni kwamba tutatoka bila ya kuwa tumepata tunachostahili kwenda mbele.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Tumeshawazoea kila mtu chanzo kinachoaminika acha uzushi wew

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hisia za kushindwa mbaya sana. Ndio maana umebaki hapo ulipo. Badilika.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma. Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana
Tabia moja wapo mbaya ya Shetani ni kukatisha tamaa.Eti "tetesi,"one of the many demonic words I hate and now accepted,lakini designed kukaisha tamaa.Kitu unakiita tetesi, halafu unatuletea ili iweje?Kwa nini usisubiri uka confirm kwanza.Very demonic. Yaani the Devil is never asleep.
 
Kuwashinda hawa jamaa sio kaz nyepes inahtaj watu wenye skills sio ushabk na kupga tu makof

Sent using Jamii Forums mobile app
Kibaya zaidi, uongozi wetu kwa kubwatuka ovyo na kufanya mambo kwa pupa unazidi kuwasaidia hao wawekezaji wa nje kujenga a strong case kwamba serikali inawaonea. Hata kama wanatuibia kweli.

Ni muhimu sana sio tu tucanye kitu sahihi, bali pia tufanye kitu sahihi kwa namna sahihi.

Tatizo Magufuli hata akitaka kufanya kitu sahihi, anakifanya vibaya mpaka kinapoteza usahihi.

Daktari anaweza kufanya operesheni ya kumtibu mgonjwa (kitu sahihi) lakin8 kama hajachukua tahadhari kuhakikisha kwamba operesheni haikati mshipa wa damu, akakata mshipa wa damu, mgonjwa akamwaga damu mpaka kufariki, zoezi zima la operesheni ya kutibu ugo jwa linakosa maana.

Sent from my Kimulimuli
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Mmeshindwa kujua wajumbe wa kamati ili muwahonge sasa mnazusha.
Hakuna chochote mtakachojua mpaka siku ya mwisho
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana majamaa yamedinda kwelikweli na yanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
dada yako alivyo kuja kuposwa, mlikuwa mnawatangazia majirani , kila hatua mazungumzo yalipokuwa yanafanyika au pale tarehe ya harusi na mengineyo ilipokubalika? na shughuli za sherehe kupangwa
 
Back
Top Bottom