Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Huu mjadala uko tricky sana.ugumu ninao uona ni ule wa kushusha matumaini ambayo watanzania wanajua na dunia inajua kwamba kuna mabililni tuliyapoteza , hasa baada ya zile report 2 za wataalamu wetu wabobezi.sijui kama wataalamu wetu waliweka working papers zao vizuri.nadhani wangejua kama hatimaye kutakuja kuwa na majadiliano ya namna hii na wataalamu wa level hii nadhani working papers zao wangeziorganise vizuri.

Ikiwa majadiliano haya yatafikia kwamba Tanzania haidai kitu hali itakuwa mbaya sana hasa kuaminika kwa wataalam wetu.Maana itaonekana walitudanganya.Ndiyo maana nadhani ile logic ya kuficha majina ya wanakamati ispokuwa mwenyekiti.lakini nadhani tutaambulia kitu.lazima kuna masalia ya hisani tunaweza pata.Wale ni wafanyabiashara wakubwa na wamewekeza vya kutosha na kufanya maandalizi ya kitosha kwenye uanzishwaji wa hiyo kamati yao ya majadiliano.Naamini pia kamati yetu si ya watu wepesi,kwa hiyo tujipe moyo tutashinda
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Nachoweza kusema. Hapa hoja ya kisomi ni the will to fight and to make people know that we are ready to defend our rights ,the rights to our naturally given resources. That's what a focused mind should concentrate upon. Siasa inatufanya tusione positivity even kwenye processes Kwenye shock up technic kiasi kwamba baadaye wajanja watakuja kistaha kidogo. Mitandao inatufanya tusahau the gap kubwa tulilo nalo kiuchumi na Mataifa ya G20. Tunapopiga picha tunadhani TZ ni power nation. Sasa tunatumika kutaka kuvuruga focus ya JPM kwa siasa uchwara. Alafu tunajiona mashujaa. Akikohoa tu kelele mpaka marekani. Marekani wameua juzi Askari 66 kimakosa. Kimyaaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Wewe ndio hujui kuhoji jambo usilolifanyia utafiti. Ujinga Ni kudhani unajua wakati kumbe hujui. Kazi kutukana serikali tu. Ungependa majadiliano yafanyike kwenye live kwa TV? Subiri yakifika MIGA
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
ni trillion 480 hatupunguzi hata cent moja.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Masuala ya kitaifa hayahitaji siasa. Mtafuteni Tundu Lisu mapema.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Kwani uliambiwa hayo majidiliano yanatangazwa km mpira wa yanga na Simba?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Wasije wakasingizia kwamba wameshindwa kesi kumbe wamepiga mpunga mrefu, na ndivyo itakavyokuwa. nyie mtasikia tu utasikia ooh..!!?? tumetozwa na faini wakati walikubali kulipa mbele ya mheshimiwa rais, na ahadi ni deni.
 
Back
Top Bottom