Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Tetesi: Majadiliano ya Makinikia: Tanzania inapumulia mashine

Bora wewe unayesubiria, mimi nilishatengeneza barabara kabisa maana kuelekea nyumbani kulikuwa na bwawa kuwa la mto. Kilichonistua ni kumsikia fisiemu mmoja akinasibu Barick wamekubali kulipa ila itakuwa indirectly na kwa kuanzia zile billions za Bill Gates juzi kuwa ni sehemu ya hayo malipo!
Nimeishiwa nguvu na kukata tamaa ya noah.
[emoji37] [emoji37] ayaaa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amini usiamini, litapita kimyakimya kama yalivyowahi kupita mengine
 
Inaelekea mtoa mada yeye kila akimuona mwanaume anachakata na kuyalainisha. mafuta vizuri mikononi ili apake yeye huwa huwa ameshainama hata kama mwanaume huyo hafahamiani nae wala hana shughuli nae.
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.
Baada ya MIGA kushindikana mmerejea tena kwa staili hii! Hovyo kabisa.
 
mbona hela wanazopaswa kulipa zenyewe Tulishatangaziwa au zenyewe zimekuwa Moira Wa Yanga?
Kwahiyo ulitaka kuwe na mtangazaji pale awe anarusha majadiliano mubashara?Kwani hujui hizo zilibainishwa baada uchunguzi wa tume zilizoundwa na Rais kukamilika na kusomwa hadharani?Au kipindi hiko wewe haukua Tanzania,ulikua Kenya ukimsaidia Uhuru Kenyatta kwenye campaign zake za urais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukimya uliotanda juu ya maendeleo ya majadiliano ya makinikia yana mshindo Mkuu. Taarifa nilizopenyezewa na mtu ninayemwamini inasemekana jamaa wamekomaa kwelikweli na wanajua kupangua hoja. Inasemakana kuwa Hoja zetu zinazojikita kwenye tuhuma na siyo uhalisia zinasagwa na kuyeyushwa kama chuma.

Kana kwamba hiyo haitoshi hata maprofesa walioko kwenye kamati ya Makinikia kutoka Tanzania wameanza kuzilaumu kamati zilizoundwa kuchunguza Makinikia hayo kwani wanashindwa kupangua hoja za Mzungu katika majadiliano hayo ambayo yametawaliwa na rejea kutoka katika matokeo ya kamati mbili za Rais ambayo yalitiliwa shaka na wengi .

Ngoja tusubiri trilioni 300 na zaidi. Tanzania isipokuwa tajiri kwa pesa zote hizo tutakuwa tuna laana.

Wana JF,
Tokea mwanzo wa tuhuma hizi na sekeseke la Makinikia kila GT aliona au alijua ni usanii na maigizo yanafanyika!!!. Watu wenye akili timamu tulijua tu kuwa Tume zote 2 zilifanya maigizo kumfurahisi Sijonze!!! TL was quite right when he said both reports were rubbish!! Lakini Lumumba walimshutumu na kumwita kibaraka wa Wazungu na kahongwa pesa!!!.Sasa watakula MATAPISHI yao wenyeewe!!
Hivi wale Wabunge machizi wa CCM kina Livingstone Lusinde(Kibajaji) na Joseph Kasheku(Msukuma) watakuwemo kwenye orodha ya Kamati ya Kabundi? Kama watakuwemo watatumia lugha gani kutetea upuuzi wao waliokuwa wanaupigia debe Bungeni mpaka Mic zinalowa mate wako wapi? Ngoja tuone mwisho wake. Si ajabu Sijonze akwageuzia kibao na kuwaita VILAZA, WAPUMBAVU na MASHETANI!! Nyie subirini tu atakapofyatuka baada ya ripoti.......!!!!
 
Inasaidia nini kufanya siri, huku hizo hizo siri zimetufikisha kwenye mrabaha wa 3% ??!!



Cairo's
pambaneni na hali zenu waachieni wenye kazi zao wafanye kazi zao ,hata zikiwekwa wazi mna nini cha kuchangia?na je mtasikilizwa?ushilawadu tu unawasumbua.
 
Wana JF,
Tokea mwanzo wa tuhuma hizi na sekeseke la Makinikia kila GT aliona au alijua ni usanii na maigizo yanafanyika!!!. Watu wenye akili timamu tulijua tu kuwa Tume zote 2 zilifanya maigizo kumfurahisi Sijonze!!! TL was quite right when he said both reports were rubbish!! Lakini Lumumba walimshutumu na kumwita kibaraka wa Wazungu na kahongwa pesa!!!.Sasa watakula MATAPISHI yao wenyeewe!!
Hivi wale Wabunge machizi wa CCM kina Livingstone Lusinde(Kibajaji) na Joseph Kasheku(Msukuma) watakuwemo kwenye orodha ya Kamati ya Kabundi? Kama watakuwemo watatumia lugha gani kutetea upuuzi wao waliokuwa wanaupigia debe Bungeni mpaka Mic zinalowa mate wako wapi? Ngoja tuone mwisho wake. Si ajabu Sijonze akwageuzia kibao na kuwaita VILAZA, WAPUMBAVU na MASHETANI!! Nyie subirini tu atakapofyatuka baada ya ripoti.......!!!!
Inaonekana wewe ni Mtutsi unayeumia ukiona Tanzania inanufaika na Rasilimali zake. Post yako inaonesha umekosa uzalendo kiasi cha kusikitisha na ndio maana huoni mantiki ya Rais kupigania Rasilimali za Nchi.
 
No comments
Namwamini PR Kabudi
Wengine walifichwa siwajui kwenye hii kamati
But I hope we can gain something
 
Back
Top Bottom