Majaliwa anastahili kuwa kiongozi mkubwa. Ana uwezo wa kukabiliana na matatizo ya wananchi

Majaliwa anastahili kuwa kiongozi mkubwa. Ana uwezo wa kukabiliana na matatizo ya wananchi

Ulikuwa na umri gani wakati wa Mzee John Samwel Malecela akiwa Waziri Mkuu?

hakuna PM aliepata kashkash kama huyu Mzee hadi Kambarage akafunga Safari kwenda kuchapisha kitabu Harare cha kumnanga John tena kwa jina

Baba wa Taifa alitunga kitabu cha kumsema PM kutokana na misimamo na ujasiri wake na haijapata kutokea na haitotokea tena

enzi hizo Waziri Mkuu na Makamu wa pili wa Rais Ndugu John Samwel Malecela

Makamu wa kwanza wa Rais Komandoo Salmin

Katibu Mkuu wa Chama Ndugu Horace Kolimba


Hahahah Nyerere alikuwa akifika Msasani anatamani kurudi Butiama akitua Butiama anatamani kurudi Msasani


siku hizi unaangaliaaaa unaishia kusema ' tikiti bovu lipo shambani kwako'

Malecela ndio PM na M/mwnykt bora wa zama zote kwa tafsiri yangu …nmemsikia Ndugai anasema aliitwa na Mzee Malecela akamwambia short and clear kajiuzulu nae anakwambia sawa … hata hakuuliza sababu akaenda kutii Mamlaka …
Malecela kwa kipi haswaa wakati Jimboni kwake pamechoka vile?

Jembe alikua Edward Moringe Sokoine ndio kwangu ni waziri mkuu aliyekua very strong kuwahi kutokea hii nchi.
 
Majaliwa anaweza kuwa Rais alieshika nyazifa za uwaziri mkuu baada ya Nyerere.
 
Malecela kwa kipi haswaa wakati Jimboni kwake pamechoka vile?

Jembe alikua Edward Moringe Sokoine ndio kwangu ni waziri mkuu aliyekua very strong kuwahi kutokea hii nchi.
Tukitaja Rais bora wa Tanzania ni Nyerere huwa tunaangalia kigezo cha aliyoyafanya Butiama?


Magufuli alikuwa ni Sokoine aliechangamka kwny kuchukia matajiri
 
Siamini sana katika siasa za nchi. Lakini, ikitokea naambiwa nimpigie Majaliwa kura awe kiongozi mkubwa, Yes nampigia.

Kuna namna kafanikiwa kunidanganya kwamba he is capable. Sasa sijui kaniingiza mkenge ama siku hizi nimekuwa mduanzi wanasiasa wana hack system yangu ya kuona reality in people.

Wadau mnasemaje?
Si ndo maana nape na makamba walikuwa wanamtaka ajiuzulu kwa kuwa aliibuliwa na jpm na pia alikuwa upande wake .wez walidhan bado wataendelea kubwanwa
 
Back
Top Bottom