Majanga ya Asili: Tukafanye utafiti kwa Wahadzabe na wanaofanana nao ili tufahamu jinsi wanavyotambua majanga haya kabla hayajatokea?

Ha ha ha!

Ukweli ni kwamba hakuna kitu cha Kiasili ambacho hakijawekwa Scientifically siku hizi!

Kila kitu kiko Studied na kuwa Scientific approved!

Of course-Kuna Primitive Science ambayo Economically Hailipi!

Kama kupanda fisi in liu to Human Blood...haina maana...bora fossil fuel.

Halafu siyo kweli kwamba Wazungu hawawezi kutabiri Earthquakes na Majanga mengineyo..

Hurricane Catrina waliweza kuiona few Hours kabla ya kutokea na America na Ujerumani waliokoa watu wake wengi sana!

Kwa vivo Lets go for Science na hapa ndo maana unaona Mataifa Makubwa yanarusha Satellite nyingi huko Angani.

Kila Satellite ina kazi yake...!
 
Kilimanjaro,monduli, meru,usambara,pare,udzungwa
Milima yote hii ni dormant
Kilichotoea hanang inaweza tokea
Pia kwa milima hii
Sasa sijui wataalam wetu wajipangaje
Kwa huko ya mbeleni?

Ova
 
Kilimanjaro,monduli, meru,usambara,pare,udzungwa
Milima yote hii ni dormant
Kilichotoea hanang inaweza tokea
Pia kwa milima hii
Sasa sijui wataalam wetu wajipangaje
Kwa huko ya mbeleni?

Ova
Usambara na Udzungwa siyo Volcani Mountanins. But kwa Kilimanjaro na Meru ni sawa kabisa.
 
Tatizo nyie wanadam mnajifanya wajuaji sana ,mnataka kupingana na nature

Ova
Halafu kuna watu 'wataalamu wa mipango ya makazi' wanazurura na vitembea kazi vya dude linaloitwa serikali, wanaruhusu na kufumbia macho uibukaji wa makazi ya kiholela kwenye sehemu zisizofaa ... iwe milimani au mabondeni ambapo mafuriko na landslides hupendelea sana kuibukia! Tahadhari ni gharama nafuu kuliko tiba kamili. Nchi yetu hiyo! 😡
 
Hata kijijini kwetu:
1. Kuna ndege wakionekana tunajua kabisa mwaka huu masika yatakuwa mwake mwake, murua, bam bam!
2. Kuna mimea(nyasi na majani) ikionekana tunajua kabisa mvua za kutosha zitakuwepo.
3. Kuna wanyama pori tukiona wakikatiza tunajua mwaka huu ukame utatukomesha. Mfano unashangaa tu nyumbu au swala au pundamilia wanapita kijijini wakihama, hofu yake ni balaa. Inakatisha tamaa.
4. Kuna wadudu kama vile vipepeo, kumbi kumbi, panzi, nzige wanakuwa na jumbe mbali mbali wanapokuwepo kwa wingi kijijini kwetu.
5. Madume kuacha Kupanda ng'ombe hata kama wanashiba vizuri, kuna ujumbe hasa wa baa la ukame, kuchelewa kwa mvua, magonjwa ya mlipuko kwa ng'ombe.
6. Afya ya mifugo kugoma, hata uwape nini, uchome sindano gani, ujue hapo hali ya hewa imegoma na imebadilika juu kwa juu.
 
Utakuwa Muikolojia....

Wasalimie huko TANAPA na National Herbarium TPRI
 
Wabarbaig wepi unawazungumzia, Pale Hanang ndio kwao na ndio hao wamekufa na kaya zaidi ya 28 hazijulikani zilipo, bila shaka wamefukiwa na matope. Hali ya Hanang ni mbaya kuliko viongozi wanavyoeleza. Vitongozi vitatu vimefukiwa. Nenda kaangalie kwenye ripoti ya sensa ya mwaka jana 2022, kaangalie kijiji cha Gendabi ina watu wangapi. Watu ambao wamefukiwa ni wengi sana.
 
Usambara nayo inasemekana
Ni dormant....
Huko nimepanda sana miti nikiwa na jamaa wa friends of usamabara
(Member)
Huo mlima nimeuzunguka karibia sehemu kubwa

Ova
Mlima Usambara ni upi?? hakuna Mlima Usambara. KUna Usambara ranges of Miuntains. Kuanzia Same hadi Korogwe to Mkinga (Maramba) yote ni Usambara. Kuna Usambara magharibi ambayo ni Milima ya Upande wa Same na Usambara Mashariki ambayo ni Lushoto, Korogwe, Muheza (Amani) hadi Mkinga, Tanga. Ni safu za Milima kama ilivyo milima ya Himala. Maarufu milima Mikunjo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…