Majanga ya Asili: Tukafanye utafiti kwa Wahadzabe na wanaofanana nao ili tufahamu jinsi wanavyotambua majanga haya kabla hayajatokea?

Wale mliohatibiwa na makanisa na misikiti yenu mtasema ni wachawi

Nina Imani na African traditions kuliko hizo mambo zenu za Wazungu.
 
Serikali imetuma Wataalamu wa miamba kuchunguza Kwa sababu Kwa mujibu wa RC Sendiga Bado hawana uhakika ni nini hasa kilisababisha majanga.

Bado Nina Imani na Mila za kiasi za Afrika kuliko hizo dini na sayansi zenu za Wazungu
 
Wanyama hasa ng'ombe wana detect janga kwa haraka sana naturally mara umuonapo analia huku anakimbia katika utaratibu wake usio wakawaida take care!, ng'ombe iliwahi kuniokoa na janga la radi. Wenzetu wahindi wakaona isiwe tabu, wakamfanya ni Mungu.
Sio Mungu just alama ya kuelekea Kwa Mungu wao.

Mambo kama haya tunatakiwa kufundishana.
 
Kuna sehemu Huwa nikipita shambani Kuna kamsitu Huwa nikifika tuu nasikia mlio Fulani wa ndege.

Huwa sielewi huyo ndege ana wa alart wenzie au ana ni alart Mimi au ikoje na Huwa simuoni.
 
Dah, nipe details zaidi mkuu kuhusu hiyo radi na uokozi wa ng'ombe. Naziheshimu mno radi na juzi zimetoka kupifa mji wetu huu si za kawaida hadi watu na familia zao wakakimbilia chini ya kitanda.
Nilikuwa napita zangu na njia, katika njia hiyo huwa na mifugo hasa ng'ombe wengi huwa wanajilia majani, ilikuwa ni siku iliyokuwa na mawinga kiasi lakini mvua ilikuwa haijaanza kunyesha, wingu likazidi kutanda, ghafla nikaona wale ngombe wakaanza kulia huku wanakuwa kama wamechanganyikiwa, mwanawane nikashtuka nikakimbilia pahala palikuwa na kajibanda ka mabati, mkuu hazikupita dakika 5,lilishuka furushi moto ukachoma manyasi kikafuata kishindo cha ngurumo!, ajabu mpaka nyasi zile ambazo ngombe walikuwepo ziliungua na kuwa nyeusi mpaka mchanga wa lile eneo, hii kitu isikieni tu.
 
Serikali haijatangaza Janga ,Huwa Kuna utaratibu
 
Indigenous & local knowledge ni silaha muhimu sana kwenye maisha!
Sema watu wa maghorofani hawajui umuhimu wake!
Kifupi ukiwa mwenyeji wa eneo fulani kuna vitu utavijua kwa kujiconnect na nature kuliko wageni!
 
Radi iliwahi nikosa wakati Niko mdogo shule ya msingi.Mvua ilikuwa inayesha na ngurumo za Radi kama kawaida.Nikawa natoka nakimbia kwenye mvua kwenda home pekupeku.

Ilipoga rasi mbele yangu yaani sehemu ilikuwa imejaa maji ya Kate ganishwa na pakawa pakavj hiyo niliona wakati nimeanguka nainuka,nashukuru Mungu niliponaje sijui ila ilikuwa noma sana.

Nyingine tukiwa bweni Songea huko Shule Ina miti mikubwa mirefu kama. Yote,jioni mvua inanyesha,ilipoga rasi na kuchana Bonge la mti huku kwenye mabweni watu walianguka kutoka kwenye vitand vya Juu ni noma sana.
 
Madhara ya kuharibu uoto wa asili!

Hajuna anayelinda na kuyatunza uoto wa asili

Ova
Sahihi viumbe vya asili vilikuwa waweza viangalia ukajua Nini ni Nini? Mfano ukiona baadhi ya ndege waliokuwa wakijaa kwenye pori Kwa wingi aina tofauti hawapo Tena wakati uoto upo unajua kabisa ukame unakuja iwekwe mikakati kama kutunza chakula kutouza hovyo nk lakini Sasa hivi uoto wa asili Haipo tumejaza miti ulaya na miti ya kigeni ambayo ndege pekee awezaye Jenga hata kipya sio ndege wa asili ni kunguru wa India waliozagaa Dar na Zanzibar

Turudishe uoto wa Asili ndege,wadudu wa asili,na wanyama wa asili watarudi

Huwezi panda mbuga miti ulaya ,Miti ya miashoki na miti ya miarobaini eti kampeni ya panda miti halafu utegemee ndege wa asili,wanyama wa asili na wadudu wa asili warudi ikiwemo mboga pori za asili na uyoga wa asili uoatao kwenye uoto wa asili nk urudi

Wataalamu wa vitalu vya miti waanzishe vitalu vya asili waachane na ujinga wa kutuunzia Miche ya miti isiyo ya asili eti tukapande

Serikali iwekeze kwenye kurudisha uoto wa asili Kila Kijiji Tanzania kama walivyo na miradi ya REA umeme vijijini wawekeze kwenye kurudisha uoto wa asili
 
Hatari sana radi isikie tu

Radi inachana mti mzima mzima

Zile voltage zake si masihara

Ova
 
PASCO Acha uhuni juzi umevuta ndege Kwa kamba bado hujajifunza?CCM wapo Kwa akili ya maslahi Yao sio raia
 
Pascal Mayalla
Wewe ni mwandishi mzuri sana, nakushauri uende uhazabeni ukafanye utafiti.
Ukitaka ufadhili useme mapema nitakuunga na wafadhili.
 
Unajua Wakazi wa Katesh Ndio hpo Wataturu na Wabarabaig unawasifia na Ndio wamekufa!
 
Mi nadhani tuwahoji wachungaji na manabii wetu kwanini hili hawakuliona likija wala kuhisi dalili. Si wanatupanga mitaani kuwa na uwezo hadi wa kufufua mama zao wakifa! Au nao ni ma misheni town tu na wapiga hela kama hustlers wengine mtaani?
 
Kila kabila hasa wakulima wana namna yao ya kuangalia nyita, mwezi na jua kwa ajili ya kutabiri hali ya majira ya mvua itakavyokuwa.

Kwa maeneo ya Singida na Manyara upande wa Katesh pia Mlima Hanang huwapa oahara na dalili ya mvua hasa radi zile za awali kabla mvua haziajaanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…