Tuacheni hii tabia ya kupondaponda na kubezabeza kila kitu. Hicho kichwa kinatumia umeme na kinavuta mabehewa mengi kwa kasi ya ajabu. Intercity train (mikoani) Ujerumani na nchi za skendinevia hadi sasa hivi vinatumika. Hapo chini huo mtambo unatoka Oslo hadi Bergen Norway kitu kinavyokata mbuga acha tu.Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Hii Treni inakwenda kama mwendo wa jongoo loohh majangaa kweli. Wabongo mumeshapigwa za kichwa.. Poleni sana......Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Download
720
Lione lilivyo umejawa ukabila na chuki tuUko sahihi ila humu kuna team Machame ambayo inagangaika na topic zisizo tija
Mbona ni kama gari lako linakimbia kuliko hiyo train inaonekana ulikuwa unaisuniri ungeweza kuitupa mbali kabisaHii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Ndiyo maana leo umeme ulikatika sana au matumizi ya nishati yalielekezwa hukoHii treni sio salama kuwa mmoja kati ya wale wakwanza kupanda
Hiyo ni treni ama kifaru!!??Hii ndoo ilyofanyiwa majaribio mbona kama itakuja ya hivo tumepigwa pakubwa naona kama imepitwa na wakatiView attachment 2279510
Lugha rasmi ni Kiswahili na Kiingereza,wewe kwa nini unaandika Kigogo!!??Wacha utoto.. hiyo ni ya maharibio
Kwani hii ni ya majaribio??Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Kichwa ndiyo nini? Sema*engine"Majaribio yanayofanyika ni kwa ajili ya kucheck miundombinu kama imekaa sawa na ndio maana wanatumia hicho kichwa ambacho kimsingi ni cha mkandarasi japokuwa kimepitwa na wakati ila project itakavyokaa sawa na kukamilika na kujiridhisha kwamba miundombinu ipo poa kabla ya kukabidhi watafanya majaribio ya mwisho kwa kutumia vichwa na mabehewa husika kwani tayari risk mbalimbali zitakuwa zimeshaondoshwa based na majaribio ya hicho kichwa na serikali itakuwa imeshakamilisha tenda na manunuzi. (ilitolewa ufafanuzi kipindi flani nyuma wakati kimeingia hicho kichwa)
Vichwa vya wendawazimu ni vingi Kwa Hawa ukoo wa panya!!Majaribio yanayofanyika ni kwa ajili ya kucheck miundombinu kama imekaa sawa na ndio maana wanatumia hicho kichwa ambacho kimsingi ni cha mkandarasi japokuwa kimepitwa na wakati ila project itakavyokaa sawa na kukamilika na kujiridhisha kwamba miundombinu ipo poa kabla ya kukabidhi watafanya majaribio ya mwisho kwa kutumia vichwa na mabehewa husika kwani tayari risk mbalimbali zitakuwa zimeshaondoshwa based na majaribio ya hicho kichwa na serikali itakuwa imeshakamilisha tenda na manunuzi. (ilitolewa ufafanuzi kipindi flani nyuma wakati kimeingia hicho kichwa)
Kuna watu hata ufanye nini watasemaMlishaambiwa hicho ni kichwa cha majaribio...mbona wagumu kuelewa?
Tanzania ina wajinga wengi wajuaji. Wao kila kitu kubisha tuuuNani amekwambia hicho ni kichwa cha TRC?kila siku ufafanuzi unatolewa bado tuu amuelewi.Vichwa vya SGR vinatengenzwa Korea now.Hicho ni kwa ajili ya majaribio tuu daah.Nenda sabasaba ukapate ufafanuzi kwenye banda lao
Watz labda wanafikiria wataletewa Bullet Train kama za Japan na China, zinazotumia maglevHivyo viichwa siyo tu vya testing pia vinavuta mabehewa na inaenda kwa kasi ya ajabu. Iyo hapo chini ni norwayView attachment 2279546View attachment 2279547View attachment 2279548