Zionist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2017
- 1,866
- 2,996
Aseme " Injini ya kuvuta behewa" kwa sababu Injini zipo nyingi, hata piki piki inayo [emoji848][emoji848][emoji23]Kichwa ndiyo nini? Sema*engine"
Mambo mengine mnalazimisha bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aseme " Injini ya kuvuta behewa" kwa sababu Injini zipo nyingi, hata piki piki inayo [emoji848][emoji848][emoji23]Kichwa ndiyo nini? Sema*engine"
Mambo mengine mnalazimisha bure
Walisema wataweka vizuizi sehemu kubwa ya mradi pia kwenye sehemu zenye muingiliano wa magari na reli kutakuwa na kivuko cha juu ama chini na uzio pia. Waliofanikiwa kuona huo mradi wa Dar - Morogoro watueleze hali itakuaje.hivi elimu ya spidi ya treni ya umeme imeshatolewa? maana raia wa bush na ng'ombe wataisha ikianza!!
Kimara to Kariakoo huwa ni kama one to two minutes!!
Usiige kunya kwa tembo na kodi hulipi na hufanyi kazi.Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Mkuu, wadau wengi wakisikia treni ya umeme wanataka waione inatoka nduki wakati hapo wanafanya majaribio ya mfumo mzima ili kuweza kusikilizia wajue wapi warekebishe ili sasa wakijiridhisha ndo kitu kitoke nduki kwa speed ile inayotakiwa kulingana na miundombinu iliyopoUmeambiwa iko kwenye majaribio unataka iende kasi ili iweje iyo ni kama gari unaongeza speed ukitaka sasa dereva kaamua kutumia speed iyo
Ila bwana hakuna kitu kinanguvu kama maendeleoTreni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Ngoja luku iwe inakata njiani😅May be umeme mdogo🤣🤣
Uko sahihi ila humu kuna team Machame ambayo inagangaika na topic zisizo tija
hahahahaha,wanafungua uzi mwingine wa kuponda serikali na watendajiWatu wanataka treni original itakayo-operate sasa sijui kama mifumo haijakaa sawa ikadondoka au kukatokea hitilafu yoyote itakuaje
Kwahiyo ulitaka Treni ya majaribio iende kwa kasi kama Treni ambazo zimeshakua approved na safety standard na zimesha anza operation? Unajua maana ya majaribio?Treni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Kuna back up mkuu.Nini kitatokea endapo umeme utakatika kwenye hii treni hasa ikiwa katika speed ya mwewe
No hurry in africa,yetu ikiwa spidi hivo itaua walevi njianiTreni ya umeme kwa nchi za wenzetu mbona zinaenda kasi kwetu kuna nini ebu chekini hii ya wenzetu huko nga'mboView attachment 2279512
Weka majibu hapaSikujua kama JF home great thinkers ina host mambumbumbu kiasi hiki, ishakuwa sasa facebook hii, simu unayo bando unalo basi google taarifa hizo, google hata ujue majaribio huwaje acha kutusumbua
Kwa hiyo JF ifungwe? Embu niambie kitu gani kipo JF au utakiulizia huku JF na wakati huo huo hakipo huko 'GUGO".??Sikujua kama JF home great thinkers ina host mambumbumbu kiasi hiki, ishakuwa sasa facebook hii, simu unayo bando unalo basi google taarifa hizo, google hata ujue majaribio huwaje acha kutusumbua