Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Basi ungeandika heading inayoashiria kuwa kinachojaribiwa ni infrastructures ambazo zinabeba hicho kinachotembea kwenye hizo infrastructures..!!Kinachofanyiwa majaribio ni njia ya reli, mifumo yake (umeme, mawasiliano n.k), namna ya uendeshaji 'operations' n.k
Huitaji kujaribu treni yenyewe, sababu treni yenyewe hujaribiwa na watengenezaji...
Nikuulize tu swali moja, wewe kabla ya kununua gari Japan au kwingineko, huwa unapewa ulijaribu?
cc Ngalikihinja
By the way, hicho kichwa kinachooneka kinazijaribu hizo infrastructures ndo chenyewe kitakachotumika wakati ukifika?