Majasusi wabobezi 8 wa Kitanzania wakamatwa nchini Malawi

Siku hizi technology jinsi ilivyo unaweza zoom ilo eneo hata ukiwa umbali wa km 50 ukapekua kila kitu unachokitaka na ukaonfoka.....

Kwanza wangekuwa wamewakamata watu wetu kweli taarifa isingetoka na kuvuja kirahisi hivyo maana na wao wanaogopa reaction yetu pia.....

Hata Mimi sizani kama TISS wanaweza Fanya uzembe kiasi hicho .....

Hii habari itakuwa imetengenezwa....
 
Umemsahahu mwingereza na kaburu
 
Tatizo siyo kuchagua upande. Tatizo ni VIGEZO NA MASHARTI ya kila upande.

Wapo watakaokutaka uhalalishe ushoga ......
 
Kwan Tanzania kuna majasus?Wa nn labda mm naona wazamiaj wapigwe Tu nchi haina mvua munaongelea ujasus!?aliyeturoga alikufa
 
Msiwe na shaka hawa wantabia ya kutuchokoza. Muda ukifika serikali itatoa taarifa. Hawa wajinga wa MALAWI wanapenda kusumbua utulivu wa akili ZETU.
TANZANIA TUPO MAKINI NA NAAMINI HAKUNA UPUMBAFU WANAWEZA KUTUFANYIA HAWA VIUMBE. KUWENI NA AMANI NA MUENDELEE KUCHAPA KAZI. JIONI NJEMA
 
Nasikitika hii taarifa nimechelewa kuipata, lkn naamini bado sipo nje sana ya uzi.

Hii habari haijakaa sawa kabisa, na kama ni kweli basi ni jambo la kusikitisha sana.

Hii ishu inanikumbusha skendo ya 'Pizza hut' ambapo majasusi 12 wa CIA walikamatwa na makachero wa Iran and Hezbollah wakiwa Pizza Hut, Beirut ambapo walikua wanadukua taarifa kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.

Kilichofuata CIA, POTUS, Waziri wa ulinzi na usalama, Ashton pamoja na waziri wa mambo ya nje John Kerry wote waliwakana hao majasusi wa CIA. Alichokifanya Iran ni kuwa Execute (kunyongwa), tena pasipo huruma.

Vyombo vya usalama vifuatilie kwa ukaribu swala hili, serikali isijitie 'Hapa Kazi Tu' tutawapoteza hao wenzetu. Cha msingi meza ivutwe, iwekwe mauwa ya urembo, korosho na maji, mazungumzo ya kidiplomasia yafuate. Tuna hazina nzuri kama Dr. J. M Kikwete, Waziri mkuu mstaafu E. Lowassa. Peter wa Mutharika si adui yetu, ni mtu safi sana, anaweza kutuelewa. Let's get a way to settle this down kabla hatujawapoteza.
 
Ukiwa hujuwi jambo kaa kimya usipende kujiandikia tu. Jaribu kushirikisha ubongo tafadhali. Usiandike upuuzi wa ivo. Unafikiri wewe unawaza zaidi ya watanzania wengine.? Jaribu kujadili kwa umakini mtanzania mwenzangu
 
Mimi naomba katika uzi huu niwe tu mtazamaji Wakuu zangu.
we mnyarwanda kiongozi shukuru hata unaishi kwa amani hapa,mambo ya tz hayakuhusu unaona kuna mapungufu rudi kwenu,hayo mambo yatashughulikiwa kidiplomasia na si lazima ujue wala ujulishwe hayakuhusu
 
Sio rahisi hivyo makomambo kukamatwa kijinga ivo especially watanzania,hizo ni propaganda za Malawi,kanchi kenyewe kama Dar es salaam Kwa ukubwa
 
Nani Atakupa Ukweli Wewe?? Naona Akili Yako Haifikiri Sawa Sawa. Unadhani Kuna Mwehu Ambaye atakuja hapa na kukupa ukweli? Mambo mengine yaache kama yalivyo. Angalia yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…