Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

We Mungiki, jenerali kufa kuna ajabu gani? General kama alikuwa frontline kufa sio jambo la ajabu. Kingine mbona wanajeahi wa vyeo vingine wakifa kwenye hi operation mnaona ni jambo la kawaida?

Pambaneni na Alshabab kwa nza ndio mje kwene issue ya russia. Kuku maji wewe....
hii vita itatuonesha vichaa wengi
 
jenerali kufa kuna ajabu gani? General kama alikuwa frontline kufa sio jambo la ajabu.
Urusi imevunja rekodi ya.magenerali.kufa

Generali kufa vitani sio jambo la kawaida huwa wa mwisho kufa ukiona generali kagawa jua Askari.kibao wamekufa

Hata vita kuu zote za dunia magenerali hawakufa kwa kiwango cha sasa cha Urusi
 
Urusi imevunja rekodi ya.magenerali.kufa

Generali kufa vitani sio jambo la kawaida huwa wa mwisho kufa ukiona generali kagawa jua Askari.kibao wamekufa

Hata vita kuu zote za dunia magenerali hawakufa kwa kiwango cha sasa cha Urusi

Na hii itasababisha majerali waliobaki waanze panic na kushindwa kupanga vita ipasavyo, wengine hata watahujumu mapambano
 
Ninyi Wakenya mnachuki gani na Urusi?
Tatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.

Yeye pesa zake zote ni za kwake hasa hasa kuwekeza kwenye Ulinzi sasa akili hiyo, yet you want African countries to support you how ?

Policy yao kwa maendeleo ya Africa ni weak mno, Mmarekani hapo ndipo kacheza pele - Bajeti pekee ya mwaka anayotoa kwa Africa continent balaa !!

Putin la kwako hilo ndugu, limalize.
 
zelensk anatembelea hadi vikosi vya mstar wa mbele na hakuna kitu wanafanya.
russia wanapigana kama kipofu. yaan wakiskia kichaka kinatikisika tu basi watapatupia mawe na makombora na hypersonik na craft gan sjui. kisha watasikilizia tena.

lakin Ukrain hawawezi kurusha kombora wasipo kua na uhakika wa target.
Andunje hawezi kuwezi kuwa frontier,madikteta waoga sana!
 
Andunje hawezi kuwezi kuwa frontier,madikteta waoga sana!
Русские не выиграют эту войну, они проиграют ее Украине, поверьте мне
 
Tukisema Mrusi ni mharibifu mnasema tunamchukia, sasa hii ni vita gani ya kisasa ? ina tofauti gani na vita ya kwanza ya dunia 1914 ?

1654680020590.png
 
Tatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.

Yeye pesa zake zote ni za kwake hasa hasa kuwekeza kwenye Ulinzi sasa akili hiyo, yet you want African countries to support you how ?

Policy yao kwa maendeleo ya Africa ni weak mno, Mmarekani hapo ndipo kacheza pele - Bajeti pekee ya mwaka anayotoa kwa Africa continent balaa !!

Putin la kwako hilo ndugu, limalize.
Ulitaka aache kuendeleza nchi lake aje ahangaike naninyi
Ninyi hangaikeni wenyewe namanchi yenu yakiwashinda hameni
Hajawekeza Afrika ila shida nyie ndio mlienda kuhangaika kwake kulia lia njaa zitawaua
RUSSIA hataki sapot yenu sababu hamna msaada wowote kwake
Nyie ngojeeni ARVs na mipira yakuzuia mimba mkadanganywa UKIMWI
Watu kama wewe halaf siku afrika ije iendelee thubutu labda mawazo yafe ama wenye mawazo kama yako wafe wote ndio muendelee naafrika yenu/yetu
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui Putin atatoka vipi kwenye hili shimo alilotumbukiza jeshi lake, maana majanga na aibu kila siku wanafyekwa hadi wakuu jeshini....


A second Russian general is reportedly dead after heavy fighting in Ukraine’s eastern Donbas region over the weekend.

Lt. Gen. Roman Berdnikov, formerly the commander of Russian troops in Syria, is believed to have died Sunday, possibly in the same battle that killed Russian Maj. Gen. Roman Kutuzov, Russian-language Telegram channel Volya Media reported.

The generals were in an armored column that was ambushed by Ukrainian forces, possibly on a bridge somewhere in the Donbas, according to the report. The exact details of the exchange are not yet known

Aisee
 
Mbona hata sisi tunachukia uvamizi wao dhidi ya Ukraine wakati sio wakenya. Nonsensical assertion.
Arguing with the one asserting nonsense means you are nonsense too.
By the way, wewe sio Mtanzania, ni wale wale wakenya mliombiwa ninyi ni wavulana wadogo mnatikisa mbuyu matokeo yake mmeishia kutikisa matako tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom