Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

Tatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.

Yeye pesa zake zote ni za kwake hasa hasa kuwekeza kwenye Ulinzi sasa akili hiyo, yet you want African countries to support you how ?

Policy yao kwa maendeleo ya Africa ni weak mno, Mmarekani hapo ndipo kacheza pele - Bajeti pekee ya mwaka anayotoa kwa Africa continent balaa !!

Putin la kwako hilo ndugu, limalize.
Lakini mkuu ni huyu kama hujaingilia maslahi yake ya ndani hakuoangii. Ni huyu Urusi alitusaidia kumwondoa Idd Amin wakati huo Mabeberu walikuwa upande wa Uganda. Kwanini tusimwone Mrusi rafiki yetu. Lakini pia karibu Afrika nzima iko upande wa Urusi sema wanashindwa kuchagua upande waziwazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.

Yeye pesa zake zote ni za kwake hasa hasa kuwekeza kwenye Ulinzi sasa akili hiyo, yet you want African countries to support you how ?

Policy yao kwa maendeleo ya Africa ni weak mno, Mmarekani hapo ndipo kacheza pele - Bajeti pekee ya mwaka anayotoa kwa Africa continent balaa !!

Putin la kwako hilo ndugu, limalize.
Marekani kaekeza nn Africa zaidi ya kuwaibia na kuwaletea vyandarua
 
Vita ingekuwa nyepesi kwa UKRAINE basi sasa ivi wangekuwa wanagombea kuingia Moscow.ila cha ajabu pamoja na maneno yote haya bado URUSI anazidi kujiongezea tu maeneno.
Sijui Putin atatoka vipi kwenye hili shimo alilotumbukiza jeshi lake, maana majanga na aibu kila siku wanafyekwa hadi wakuu jeshini....


A second Russian general is reportedly dead after heavy fighting in Ukraine’s eastern Donbas region over the weekend.

Lt. Gen. Roman Berdnikov, formerly the commander of Russian troops in Syria, is believed to have died Sunday, possibly in the same battle that killed Russian Maj. Gen. Roman Kutuzov, Russian-language Telegram channel Volya Media reported.

The generals were in an armored column that was ambushed by Ukrainian forces, possibly on a bridge somewhere in the Donbas, according to the report. The exact details of the exchange are not yet known

 
Sijui Putin atatoka vipi kwenye hili shimo alilotumbukiza jeshi lake, maana majanga na aibu kila siku wanafyekwa hadi wakuu jeshini....


A second Russian general is reportedly dead after heavy fighting in Ukraine’s eastern Donbas region over the weekend.

Lt. Gen. Roman Berdnikov, formerly the commander of Russian troops in Syria, is believed to have died Sunday, possibly in the same battle that killed Russian Maj. Gen. Roman Kutuzov, Russian-language Telegram channel Volya Media reported.

The generals were in an armored column that was ambushed by Ukrainian forces, possibly on a bridge somewhere in the Donbas, according to the report. The exact details of the exchange are not yet known

Ni kawaida!
Bora afe Mjeshi mwenye kiapo kuliko raia.
 
zelensk anatembelea hadi vikosi vya mstar wa mbele na hakuna kitu wanafanya.
russia wanapigana kama kipofu. yaan wakiskia kichaka kinatikisika tu basi watapatupia mawe na makombora na hypersonik na craft gan sjui. kisha watasikilizia tena.

lakin Ukrain hawawezi kurusha kombora wasipo kua na uhakika wa target.
mkuu sometime uwege una andika vitu vyenye logic sasa.
 
Vita ingekuwa nyepesi kwa UKRAINE basi sasa ivi wangekuwa wanagombea kuingia Moscow.ila cha ajabu pamoja na maneno yote haya bado URUSI anazidi kujiongezea tu maeneno.

mohamed idrisa789 nikisha ona hilo jina nawaona wote mumeshakua na mtume mwingine anayeitwa Putin...
Ukraine ni kataifa kadogo sana ukilinganisha na supapawa mchongo Urusi, sasa mumehamia kuteka Kyev kwa siku tatu mnaongea kuhusu Ukraine kuiteka Moscow, raha sana.
 
Vita ingekuwa nyepesi kwa UKRAINE basi sasa ivi wangekuwa wanagombea kuingia Moscow.ila cha ajabu pamoja na maneno yote haya bado URUSI anazidi kujiongezea tu maeneno.
Ukraine wanajihami wamevamiwa lengo lao ni kulinda Nchi yao,waende Moscow kufanya nini sasa? Huyo aliyevamia ndiyo alipaswa kuwa Kiev kama kweli yeye ni mwanaume siyo kucheza kidari poo huko pembezoni.
 
Lakini mkuu ni huyu kama hujaingilia maslahi yake ya ndani hakuoangii. Ni huyu Urusi alitusaidia kumwondoa Idd Amin wakati huo Mabeberu walikuwa upande wa Uganda. Kwanini tusimwone Mrusi rafiki yetu. Lakini pia karibu Afrika nzima iko upande wa Urusi sema wanashindwa kuchagua upande waziwazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye vita vya Uganda Mrusi alifanya double dealings, aliuza ndege vita Uganda na kuzuuzia Tanzania makombora ya kuziangusha hizo ndege.
 
Haijaanza leo hata Wahehe walimuua kamanda wa Wajeruman Emily von Zelewiski pale Lugalo 1898
 
Ulitaka aache kuendeleza nchi lake aje ahangaike naninyi
Ninyi hangaikeni wenyewe namanchi yenu yakiwashinda hameni
Hajawekeza Afrika ila shida nyie ndio mlienda kuhangaika kwake kulia lia njaa zitawaua
RUSSIA hataki sapot yenu sababu hamna msaada wowote kwake
Nyie ngojeeni ARVs na mipira yakuzuia mimba mkadanganywa UKIMWI
Watu kama wewe halaf siku afrika ije iendelee thubutu labda mawazo yafe ama wenye mawazo kama yako wafe wote ndio muendelee naafrika yenu/yetu
RUSSIA sio ZIMBABWE

Sent using Jamii Forums mobile app
unaandika km vile sio muafrika ukiitwa jina la mnyama wa mitin unaita ubaguz , hujitambui
 
Lakini mkuu ni huyu kama hujaingilia maslahi yake ya ndani hakuoangii. Ni huyu Urusi alitusaidia kumwondoa Idd Amin wakati huo Mabeberu walikuwa upande wa Uganda. Kwanini tusimwone Mrusi rafiki yetu. Lakini pia karibu Afrika nzima iko upande wa Urusi sema wanashindwa kuchagua upande waziwazi

Sent using Jamii Forums mobile app
we jamaa unaandika pumba sana , Idd Amin alikuwa adui wa mabeberu kbs , na hilo lipo waz kbs , haliitaj masters , andika ukiwa na uhakika , Ghadaf ( kipenz cha Urusi ) ndo alikuwa ana sapoti upande wa Idd Amin
 
Vita ingekuwa nyepesi kwa UKRAINE basi sasa ivi wangekuwa wanagombea kuingia Moscow.ila cha ajabu pamoja na maneno yote haya bado URUSI anazidi kujiongezea tu maeneno.
update yourself , upo shallow sn
 
Back
Top Bottom