Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Wewe na nani ilihali kila Mtu ana mdomo kujisemea?Mbona hata sisi tunachukia uvamizi wao dhidi ya Ukraine wakati sio wakenya. Nonsensical assertion.
Si mnasemaga habari za BBC ni propaganda za westernSawa kabisa mkuuView attachment 2253458
Sawa, tuendelee kuomba haya yote yapite na amani ipatikane.Nimefurahi kukuona pia. Hahaha hapana mimi sipendi kupigana napenda amani sana so hata wangenilipa achana na volunteering wala nisingetaka.
hii vita itatuonesha vichaa wengiWe Mungiki, jenerali kufa kuna ajabu gani? General kama alikuwa frontline kufa sio jambo la ajabu. Kingine mbona wanajeahi wa vyeo vingine wakifa kwenye hi operation mnaona ni jambo la kawaida?
Pambaneni na Alshabab kwa nza ndio mje kwene issue ya russia. Kuku maji wewe....
Urusi imevunja rekodi ya.magenerali.kufajenerali kufa kuna ajabu gani? General kama alikuwa frontline kufa sio jambo la ajabu.
Urusi imevunja rekodi ya.magenerali.kufa
Generali kufa vitani sio jambo la kawaida huwa wa mwisho kufa ukiona generali kagawa jua Askari.kibao wamekufa
Hata vita kuu zote za dunia magenerali hawakufa kwa kiwango cha sasa cha Urusi
Tatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.Ninyi Wakenya mnachuki gani na Urusi?
Na nyie mnazitoa wapi propaganda zenu "dictators cannot neutralize their things"Propaganda za West hizo.
Andunje hawezi kuwezi kuwa frontier,madikteta waoga sana!zelensk anatembelea hadi vikosi vya mstar wa mbele na hakuna kitu wanafanya.
russia wanapigana kama kipofu. yaan wakiskia kichaka kinatikisika tu basi watapatupia mawe na makombora na hypersonik na craft gan sjui. kisha watasikilizia tena.
lakin Ukrain hawawezi kurusha kombora wasipo kua na uhakika wa target.
Русские не выиграют эту войну, они проиграют ее Украине, поверьте мнеAndunje hawezi kuwezi kuwa frontier,madikteta waoga sana!
Hao akili alifukia chini, BBC wakiandika Ukraine kapigwa ama miji imechukuliwa hauwezi skia wanasema ni propaganda.Si mnasemaga habari za BBC ni propaganda za western
Amina. Yatapita tu yote haya.Sawa, tuendelee kuomba haya yote yapite na amani ipatikane.
Ulitaka aache kuendeleza nchi lake aje ahangaike naninyiTatizo la mrusi ni uchoyo - hakuwekeza Africa kabisa na ndiyo maana hata lugha yake hakuna taifa la Africa linaongea ama kutumia kufundishia.
Yeye pesa zake zote ni za kwake hasa hasa kuwekeza kwenye Ulinzi sasa akili hiyo, yet you want African countries to support you how ?
Policy yao kwa maendeleo ya Africa ni weak mno, Mmarekani hapo ndipo kacheza pele - Bajeti pekee ya mwaka anayotoa kwa Africa continent balaa !!
Putin la kwako hilo ndugu, limalize.
Ulidhani kwenye hii Oparation ninyumba zinapakwa rangi!!!Tukisema Mrusi ni mharibifu mnasema tunamchukia, sasa hii ni vita gani ya kisasa ? ina tofauti gani na vita ya kwanza ya dunia 1914 ?
View attachment 2254197
Nipo Bwana Utam . Nimeku-miss.
Mie pia dada ake umepotea mnooo!!!??Nipo Bwana Utam . Nimeku-miss.
AiseeSijui Putin atatoka vipi kwenye hili shimo alilotumbukiza jeshi lake, maana majanga na aibu kila siku wanafyekwa hadi wakuu jeshini....
A second Russian general is reportedly dead after heavy fighting in Ukraine’s eastern Donbas region over the weekend.
Lt. Gen. Roman Berdnikov, formerly the commander of Russian troops in Syria, is believed to have died Sunday, possibly in the same battle that killed Russian Maj. Gen. Roman Kutuzov, Russian-language Telegram channel Volya Media reported.
The generals were in an armored column that was ambushed by Ukrainian forces, possibly on a bridge somewhere in the Donbas, according to the report. The exact details of the exchange are not yet known
Arguing with the one asserting nonsense means you are nonsense too.Mbona hata sisi tunachukia uvamizi wao dhidi ya Ukraine wakati sio wakenya. Nonsensical assertion.