Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Waliosema hatoingia si wafuatiliaji wa ugomvi wa Israel na Palestine, Israel Mara kwa Mara huingia Gaza,ndiyo maana Hamas wakajenga mji chini
Hawa awamu hii hakuna kuonewa huruma.mateka wakitolewa ni kufukia wote hapo ndaniyaani badala ya kusema tuaachia mateka wote ili msitishe vita, wanasema wanaachia 15 kati ya 250. wanafikiri israel atawasikiliza? Netanyau alisema, kukubali kusitisha vita in exchange na mateka ni sawa na kusalenda kwa hamas jambo ambalo hawajajiandaa kulifanya. hilary clinton pia alishauri kwamba kila mwaka wakipigana huwa wanakuja na issue ya mateka, sasahivi ipigwe hadi mwisho manake umekuwa ndio mchezo wao.
Hili jibu ni noma sana.πππUlitaka wapulize perfume?
Kama Allah wamemficha kwenye mahandaki not Akbar anymore usichezee Waisrael Aibu kubwa kwa AllahAhahaha wale jeshi la machoko waoga
Unajua maana ya underground tunnels and bunkers wewe ?Jamaa wanaendelea na operation yao. Bila kelele. Naona kwa sasa wanaendelea na kubomoa miundo mbinu ambayo wanaiiita ya Kigaidi.
Hali ni Mbaya.... Wanajeshi wa Hamas hawaonekani eneo hili nimejaribu kuwaangalia bila mafanikio. But naomba sana hii vita iishe. Inatosha sasa.
Wapalestine wa Hamas wanauliwa bila kosa kabisa. Walikuwa Hamas wametulia tu naona wanajeshi wa Israel wakaamua kwenda kuanzisha vita. Why jamani, why?kwa nini? Israel atapigika sana. Subiri tu afike sehemu flani. Wametegewa mchezo.
View attachment 2808953
Kwa hiyo wale Watanzania wawili waliotekwa wakiwa Israel ni drama?Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
Mbona umekuja umeshikilia underwear na dera umejifunga kichwani? Tuliza mshono. Usitokwe povu. Haya mambo hayataki hasira. Just calm down. Mwana kulitaka mwana kulipata. Usipovuke sana utakosa mate mwilini. Nenda kanawe uvae kisha uje....Unajua maana ya underground tunnels and bunkers wewe ?
Hiyo mitaro ya machafu hao wazayuni wanayobomoa na kufukia ndio mnaita mahandaki ?
Mna akili timamu ninyi ?
Unajua underground metro ya Gaza iliyojengwa na Hamas ina urefu wa kina gani kwenda chini ya ardhi ?
Acheni ujinga wa kuwa mnameza kila takataka bila kufanya utafiti
Sasa umbali wa israel na gaza wakipga hyo nuclear mionzi yake siinafika mpk kwao kama wanamawazo hayo basi akili hawanaJust rumors tu, nuke wa head kwa sehem ndogo kama gaza ni overkill. madhara yake yana last life time
Sidhan kama wataruhusiwa
Angalia maisha yakoKama Tanzania na Afrika tungeelekeza macho yetu na akili zetu Kwa waafrika wenzetu wanao uliwa huko Sudani na Kongo Kwa urafi wa aridhi na uchu wa lasilimali za Afrika kunako fanywa na Waarabu na wazungu
Gaidi jike hilo, limezaa vigaidiFaiza fox [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2808975
Waswali ijumaa hawana akiliHamas hawatarudia ujinga tena
Kwani wamevamiwa au ni wao wenyeweSudan wafrika wanafanyiwa mambo ya ajabu sana,wana harakati huku kimya
Ova
Wewe ndiye uliyekuwa mkandarasi wa hayo mahandaki maana si kwa hilo povu.Unajua maana ya underground tunnels and bunkers wewe ?
Hiyo mitaro ya machafu hao wazayuni wanayobomoa na kufukia ndio mnaita mahandaki ?
Mna akili timamu ninyi ?
Unajua underground metro ya Gaza iliyojengwa na Hamas ina urefu wa kina gani kwenda chini ya ardhi ?
Acheni ujinga wa kuwa mnameza kila takataka bila kufanya utafiti
Nazungumzia askari babu,siyo raiaKwenye vita hiyo ni kawaida.
Ulisikia mahali popote Israel inalalamika kuwa Watu wao wanauawa?
Ukiua Myahudi basi elewa unadeni kubwa ambalo ili ulilipe dunia lazima ipige mayowe
Mkuu, ungeandika Hamas wame-copy na ku-paste maisha ya panya.πHamas wanaishi maisha ya panya
Very likely, israel anaweza tumia nukee, akili za muisrael zifanyavyo kazii allah tu ndie ajuayee, hawa jamaa wana solution za faster sanaaa. Na hasiti kwenyee kutekelezaa pre emptive strikee nchi yoyotee hapo mashariki kati ambayo ikajaribu kuingiza pua hapo, itajutaa kuchorwa Mipakaa!
Gaidi hatakiwi kukamatwa dawa yake kuwahishwa kwenda kula matukunyema 72Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Waogani wale waliojificha mashimoni kama nungunungu.Wanawatumia raia kama kinga wala hawana uchungu na watu waoAhahaha wale jeshi la machoko waoga