Pemba empire
JF-Expert Member
- Apr 29, 2018
- 467
- 1,339
😀😀😀😃Hao wakishiba ubwabwa wanabaki kujambiana tu vibarazani akili zero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😃Hao wakishiba ubwabwa wanabaki kujambiana tu vibarazani akili zero
Kuna mateka wanasema🤷Shida yote ya nini, wanawafukia tu
Is it?Walishapulizia sumu huko ndani ya mahandaki kubomoa wanazika kupoteza ushahidi
Maelfu ya Askari wa Hamas ambao wengi walitoka nchi mbalimbali za kiarabu sio Palestina wanazikwa ndani ya Tunnels wengine wakiwa hai IDF jeshi la Israel linabomoa na kuziba pamoja na kuwapulizia hewa ya sumu wafe huko wanaziba ili kama kuna wengine wana mask wafe kwa kukosa hewa na mi mask yao
Israel Mauaji iliyopeleka kwa Hamas hayajawahi tokea tokea Taifa la Israel liwepo
Maaskari wa Hamas waliofia huko.ndani .ya Tunnels kwa kupuliziwa sumu
Ni malaki
Jeshi la Israel linafukia ili harufu isitoke nje watu wasisikie harufu za maiti wa Hamas waliofia kwenye Tunnels
pole umekata kauli Israel kawafuta woteFaiza fox 🤣🤣🤣🤣View attachment 2808975
Uwiii nimecheka 🤣🤣🤣🤣duhNakajua vizuri sana tangu 2014! Nishawahi mfwata nikampa vitasa!
Wana Uzi wao kule international forumBado haujasema
Ngoja tumalize kazi, tukitoka utasema vizuri
ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
Ulokole unahusiana nini hapa?Hamas Wana askari Malaki!?..we mlokole eeh!?..maana walokole akili hawana
Hawana hiyo fursa. Kila kitu kimedhubitiwa na Israel.na hamas hawajakana?
Hakuna kitu kama hicho mjomba. Muisrael hana sababu ya kuharibu nukes zake. Mbona kazi imeisha? Walioingia mahandakini imeshakuwa habari yao kwishney. Na sidhani kama kuna uwezekano wa Israel kuhangaika kuopoa maiti zao. Wamejizika wenyewe humo humo.Very likely, israel anaweza tumia nukee, akili za muisrael zifanyavyo kazii allah tu ndie ajuayee, hawa jamaa wana solution za faster sanaaa. Na hasiti kwenyee kutekelezaa pre emptive strikee nchi yoyotee hapo mashariki kati ambayo ikajaribu kuingiza pua hapo, itajutaa kuchorwa Mipakaa!
Nuke kwa nchi jirani!Hakuna kitu kama hicho mjomba. Muisrael hana sababu ya kuharibu nukes zake. Mbona kazi imeisha? Walioingia mahandakini imeshakuwa habari yao kwishney. Na sidhani kama kuna uwezekano wa Israel kuhangaika kuopoa maiti zao. Wamejizika wenyewe humo humo.
Washatukana Sana,hawana jipyaUlokole unahusiana nini hapa?
Wakuwatukana humu msianze kulalamika
Wanajifariji ili wasikose usingiziWana Uzi wao kule international forum
Kuwa Israel itachakazwa
OkayWashatukana Sana,hawana jipya
Mtu wao waliyemdhania ni kijogoo amepigika vibaya.Wanajifariji ili wasikose usingizi
Mi shimoni ndiyo kwangu,njoo unifuate,unikamate Kama panyakati ya aliye shimoni na aliye kweny ardh yako nan muoga?
HahahahaKwamba huoni baadhi ya mahandaki wamo ndani kwenye video. Hapo wanwamaliza wanayakagua na kuyalipua
Mateka watawapataje!?wawakamate wawapelek wap?
Muoga ni yule aliejificha kwenye maandaki au yule aliepo juu ardhini?Ahahaha wale jeshi la machoko waoga