Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
- Thread starter
- #61
Na wewe utakuwa ni ustaadhi. Maana maustaadhi ni maamuma sana.Hamas Wana askari Malaki!?..we mlokole eeh!?..maana walokole akili hawana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe utakuwa ni ustaadhi. Maana maustaadhi ni maamuma sana.Hamas Wana askari Malaki!?..we mlokole eeh!?..maana walokole akili hawana
Hahahaaa! Ulitaka wapulize perfume? 😀. Kitendo HAMAS walichofanya tar. 7/10/2023 kwa Israel, sasa hakuna rangi wataacha kuona na liwe ni funzo kwa gaidi mwingine yeyote atakayethubutu kujaribu kufanya hivyo kwa Israel.Sasa mbona mnapuliza sumu mashimoni
Unazani wanabomoa wakiwa wapi km siyo humo ndani.Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
wawakamate wawapelek wap?Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Kwamba huoni baadhi ya mahandaki wamo ndani kwenye video. Hapo wanwamaliza wanayakagua na kuyalipuaWanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Hao wakishiba ubwabwa wanabaki kujambiana tu vibarazani akili zeroNa wewe utakuwa ni ustaadhi. Maana maustaadhi ni maamuma sana.
kati ya aliye shimoni na aliye kweny ardh yako nan muoga?Ahahaha wale jeshi la machoko waoga
Nakajua vizuri sana tangu 2014! Nishawahi mfwata nikampa vitasa!Unaweza kukuta ni kakijana kadogo kalichojichokea, kanzu imechakaa, kikofia kimeshonwa, amevaa suruali ya mtoto na yeboyebo zilizotoboka, ndio utajilaumu kumpa umuhimu😂😂😂
This time nikusindikize nina kofi lakeNakajua vizuri sana tangu 2014! Nishawahi mfwata nikampa vitasa!
Kajitu kenyewe mzee mpili mnene!This time nikusindikize nina kofi lake
Kwa kiu waliyo nayo wanaweza kuyanywa yote. Ila wakitumia njia hiyo itakuwa ni ya gharama mno. Bora wawa-Fumigate mchezo uishe.Sasa humo waweke mfumo wa maji bomba kubwaaaa toka ziwani yajae
Bado haujasemaHii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
Hii comment nimeipenda "Ngoja tumalize kazi, tukitoka utasema vizuri" 💪Bado haujasema
Ngoja tumalize kazi, tukitoka utasema vizuri
na hamas hawajakana?Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
NDio vizee vibishi sana hivyoKajitu kenyewe mzee mpili mnene!
Acha kashfa kjnAhahaha wale jeshi la machoko waoga