Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Sidhni kama hamas wajinga kiasi hicho kwamba hawana plan B
Walishapulizia sumu huko ndani ya mahandaki kubomoa wanazika kupoteza ushahidi

Maelfu ya Askari wa Hamas ambao wengi walitoka nchi mbalimbali za kiarabu sio Palestina wanazikwa ndani ya Tunnels wengine wakiwa hai IDF jeshi la Israel linabomoa na kuziba pamoja na kuwapulizia hewa ya sumu wafe huko wanaziba ili kama kuna wengine wana mask wafe kwa kukosa hewa na mi mask yao

Israel Mauaji iliyopeleka kwa Hamas hayajawahi tokea tokea Taifa la Israel liwepo

Maaskari wa Hamas waliofia huko.ndani .ya Tunnels kwa kupuliziwa sumu

Ni malaki

Jeshi la Israel linafukia ili harufu isitoke nje watu wasisikie harufu za maiti wa Hamas waliofia kwenye Tunnels
 
kwanza hapo ni kwasababu tu wanajua kuna mateka wao humo kwenye mashimo, isingekuwa hivyow angeshafanya kile marekani ilifanya mapango ya tolabora taliban, walipiga sumu mchezo ukaisha.wameachwa chini kuwa chakula cha mchwa.
Mwisho wa siku wameshindwa na Taleban wako live.
 
Walishapulizia sumu huko ndani ya mahandaki kubomoa wanazika kupoteza ushahidi

Maelfu ya Askari wa Hamas ambao wengi walitoka nchi mbalimbali za kiarabu sio Palestina wanazikwa ndani ya Tunnels wengine wakiwa hai IDF jeshi la Israel linabomoa na kuziba pamoja na kuwapulizia hewa ya sumu wafe huko wanaziba ili kama kuna wengine wana mask wafe kwa kukosa hewa na mi mask yao

Israel Mauaji iliyopeleka kwa Hamas hayajawahi tokea tokea Taifa la Israel liwepo

Maaskari wa Hamas waliofia huko.ndani .ya Tunnels kwa kupuliziwa sumu

Ni malaki

Jeshi la Israel linafukia ili harufu isitoke nje watu wasisikie harufu za maiti wa Hamas waliofia kwenye Tunnels
Hamas Wana askari Malaki!?..we mlokole eeh!?..maana walokole akili hawana
 
Condition mojawapo ya netanyahu ni Hamas waachie mateka wote ndiyo Vita visimame,ukiwa Kama msemaji wa netanyahu, conditions zimebadilika!?
Saizi hamasi wanataka israel isimamishe vita ndiyo wawape mateka,
 
Condition mojawapo ya netanyahu ni Hamas waachie mateka wote ndiyo Vita visimame,ukiwa Kama msemaji wa netanyahu, conditions zimebadilika!?
Mkuu; conditions za Netanyahu ni mbili tuu tena very simple: HAMAS 1.wawaachie mateka wote bila masharti na 2. HAMAS wote wajisalimishe na silaha zao. Full stop.
Tofauti na hapo "Simba wa Yuda" atawabariki wote na silaha zao kwa cheche za moto mkali.
 
Hii vita itakuja kujirudia miaka ijayo Mzee .. bado IPO mioyoni mwa watu
 
Ilisemekana mtandao wa mahandaki Gaza ni kama kilomita 300 hivi ambazo ni nyingi kuliko eneo la Gaza!

Tafsiri yake hayo mahandaki yamepinda pinda! Je, tuna uhakika hayo mahandaki mengine hayajatokezea maeneo mengine mbali na Gaza mfano Lebabon kwa Hezbolah ambapo hao askari wa Hamas wakiona wameelemewa wanakimbilia huko, au wote walikuwa wamejificha kwenye mahandaki?

Hivi wale mateka wapo wapi kwa sasa?
 
hamas wenyewe wamekiri kuteka raia. hii sio drama kwasababu iran amekuwa akikijenga icho kikundi kwa muda mrefu. hakuna drama hapo. ila kwa walichokifanya, ardhi hiyo imeshabebwa ama la haitakaliwa. wote wataenda kujikunyata kule kusini na sidhani kama watakuja kurudia tena kuchokoza israel.
Hao jamaa wanalishwa tu maneno hata haelewi anachoandika. Eti drama
 
Back
Top Bottom