Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Majeshi na Mainjinia wa Israel wakibomoa mahandaki na miundo mbinu ya Hamas. Jamaa wamo ndani ya Palestine

Just rumors tu, nuke wa head kwa sehem ndogo kama gaza ni overkill. madhara yake yana last life time
Sidhan kama wataruhusiwa
yes of course, na inaweza kusambaa hadi kwenye nchi yao. hawawezi kufanya hivyo, though Netanyau alisema kwamba, hawana mpango kupiga nukes kwasababu wanajali maisha ya raia. sasa hatujui kama raia wakiondoka wote bado atakuwa na huruma hizo.
 
ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
Kwa hali ilivyo hata palestina yenyewe ikae mkao wa tahadhari
 
Nyoka akiingia kwenye shimo ardhini ambalo njia ya kutokea au za kutokea unazijua unamfata shimoni wa nini kupoteza muda!?,unaziba mashimo tu kwa vitu vizito anabakia hukohuko bila hewa. Hakuna msiba, hakuna mazishi. Unakuwa umekata mzizi wa fitina. Maisha mengine yanaendelea.
Mwambie Kwanza Anaweza kukugonga Kichwa
 
ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
Yes nilisikia kamsimamisha huyo waziri!
 
Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
 
hii vita haitaisha hadi panya wote wa hamas wakamatwe na kuwa castrated. walichokoza wenyewe. na sasaivi raia wameshaondoka Gaza hivyo hakuna sababu hata ya cease fire kule kaskazini wala kupeleka msaada wala kurudisha umeme au kupeleka mafuta. hamas wataishiwa silaha, chakula, maji, mafuta ya majenereta na watajitokeza na kusalenda.ndio maana wameshaanza wapo tayari kuachia mateka 15 in exchange of cease fire ya siku mbili tu. imagine sasaivi hamas wanaomba poo ya walau siku mbili tu.na jeuri yote ile.
HAWATASIKILIZWA KAMWE.
 
Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
hamas wenyewe wamekiri kuteka raia. hii sio drama kwasababu iran amekuwa akikijenga icho kikundi kwa muda mrefu. hakuna drama hapo. ila kwa walichokifanya, ardhi hiyo imeshabebwa ama la haitakaliwa. wote wataenda kujikunyata kule kusini na sidhani kama watakuja kurudia tena kuchokoza israel.
 
HAWATASIKILIZWA KAMWE.
yaani badala ya kusema tuaachia mateka wote ili msitishe vita, wanasema wanaachia 15 kati ya 250. wanafikiri israel atawasikiliza? Netanyau alisema, kukubali kusitisha vita in exchange na mateka ni sawa na kusalenda kwa hamas jambo ambalo hawajajiandaa kulifanya. hilary clinton pia alishauri kwamba kila mwaka wakipigana huwa wanakuja na issue ya mateka, sasahivi ipigwe hadi mwisho manake umekuwa ndio mchezo wao.
 
yes of course, na inaweza kusambaa hadi kwenye nchi yao. hawawezi kufanya hivyo, though Netanyau alisema kwamba, hawana mpango kupiga nukes kwasababu wanajali maisha ya raia. sasa hatujui kama raia wakiondoka wote bado atakuwa na huruma hizo.
Mzee Huruma alishakufa tangu 07/10/2023. Mzee aliyebaki, na yupo fit ni mzee wa Kisago tu na huyo alikuwa ni adui wa mzee Huruma. Ole ni kwa HAMAS.
 
Back
Top Bottom