Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
AI hiyo. Hata wale watoto wanaoonekana wamekufa, wengi ni AI.Mkuu Ritz,
Source ya habari?
ILA picha ni ya kutengeneza na ulishawahi iweka hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AI hiyo. Hata wale watoto wanaoonekana wamekufa, wengi ni AI.Mkuu Ritz,
Source ya habari?
ILA picha ni ya kutengeneza na ulishawahi iweka hapa.
Halafu ni muongo.AI hiyo. Hata wale watoto wanaoonekana wamekufa, wengi ni AI.
Halafu ni muongo.
Nashindwa kuelewa nini anapata
Nilitaka kuuliza kwanini unadanganya?Achana picha mada Jeshi la Israel linateketea wamenasha kwenye tope hiyo picha ni maja ya kichapo cha Gaza
Mkuu mimi naaamini al jazeera nipo hpa natazama msikiti wa jabalia ambao israel wameupiga mbona sioni mahala wanasema israel wamenasa hizi taarifa umezipata wapi?Yale majengo waliobomoa ndiyo wamenasa humo humo😂
Nimedanganya nini? Soma uzi wangu huenda ujasoma mimi sijasema hiyo picha ya jana nimeweka watu waone kichapo Gaza, uzi wangu unaeleza mvua za gaza zimeleta matope jeshi la Israel hawana pakwenda wanashambuliwa kwa kustukizwa.Nilitaka kuuliza kwanini unadanganya?
Nitaamini vipi maada yako wakati umedanganya umma hapa?
Kwanini unadanganya picha ni ya leo kumbe ni ya muda?
Nimedanganya nini? Soma uzi wangu huenda ujasoma mimi sijasema hiyo picha ya jana nimeweka watu waone kichapo Gaza, uzi wangu unaeleza mvua za gaza zimeleta matope jeshi la Israel hawana pakwenda wanashambuliwa kwa kustukizwa.
Hiyo picha ni muda au hupendi kuona hizo maiti za Wanajeshi wa Israel picha latest ni hizi hapa za juzi
View: https://x.com/aryjeay/status/1734819789028171885?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
onyesha wapi hiyo picha nimesema ya jana? Narudia tena soma uzi nilichoeleza pia hiyo picha wala sijajadili nimeleza mvua gaza tope hali ipo hivi hiyo picha ina muda tunapenda kuipost kama ushahidi wa vifo za Israel,Source uliyoweka inaonyesha picha ni dec13 sasa kwanini hiyo source inasema picha ni ya jana wkati tangu jumatatu ilishapostiwa.
Mkuu labda hatujaelewana nipo hapa natazama watu walivyofukiwa na vifusi hizo stori za israel hawana pakwenda unazitoa wapi mkuu mbona mimi sioni?
Naipenda al jazeera sababu haifichi kitu wewe stori za israel kunasa unazipata wapi?
onyesha wapi hiyo picha nimesema ya jana? Narudia tena soma uzi nilichoeleza pia hiyo picha wala sijajadili nimeleza mvua gaza tope hali ipo hivi hiyo picha ina muda tunapenda kuipost kama ushahidi wa vifo za Israel,
Hoja yangu majeshi Israel yamekwama Kwenye tope tujikite hapo.
View: https://x.com/kahlissee/status/1735000697215574096?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
😂😂😂 Doh!Mkuu Ritz,
Source ya habari?
ILA picha ni ya kutengeneza na
Mkuu umeamua kuweka mambo hadharani hadi aibu naona mimi utadhani ndiyo nimeileta hii picha.Halafu ni muongo.
Nashindwa kuelewa nini anapata
Kinachonishangaza ni hii taarifaUkweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha.
Aseee hio taarifa haipo😂😂😂 Doh!
Mkuu umeamua kuweka mambo hadharani hadi aibu naona mimi utadhani ndiyo nimeileta hii picha.