Huyo MK254 na huyu wana matatizo ya udin, huwezi furahia watu wanakufa wewe unasema ety ni wapigania uhuru!
Mfano sasahiv ndugu yangu tresor mandala nakuja kukuchokoza ninaua mke wako na mtoto wako mmoja nakimbia nae, halafu ninafahamu kabisa kwangu unapafahamu na kipindi nafanya hivyo mimi Mke wangu sijamwambia wala watoto wangu, halafu nikitoka hapo naenda kujificha
unaona jinsi gani nilivyo mpumbavu!
Sina tatizo majeshi yangeamua kupigana ona wale watoto wanaokufa mkuu, embu tazama mwenyewe aljazeera.