Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

🚨 JUST IN: "Anonymous Jo" Pro-Palestinian Group Temporarily Hacks IDF Website

•⁠ ⁠Anonymous Jo infiltrated the Israeli army website, leaving a message warning of further attacks.

•⁠ ⁠The hacking group accuses IDF of "arrogance and injustice" towards the people in Gaza and vows retaliation through various means.

•⁠ ⁠Calls for the "liberation of Palestine" are included in the message.

•⁠ ⁠The origin of Anonymous Jo is suggested to be Jordanian.

Source: Sky News
 
Habari za kwamba gaza kuna mafuriko kutokana na mvua kubwa unazo?
Na ndio nachokiona.

Ninamuuliza hivi habari za israel kukamwa kwenye tope kazitoa wapi?

Mbona nipo aljazeera hapa sioni hizo taarifa, mbona habari za mvua na mamia ya wakazi kuwa displaced wanazitoa, yeye hizo habari za israel kukwama kwa tope kazitoa wapi? Si umeona point yangu?
 
Netanyahu and Gallant beg Hamas after heavy losses among the ranks of the occupation army

‎“Urgent | Channel 13: Gallant and Netanyahu believe that they should wait for any indication from Hamas that it is interested in an exchange deal, which did not happen.”

‎Their attitude says: “Please respond to us, Hamas. We kiss your hands, Hamas.”

‎As for the commander of the Golani Brigade, which lost many of its officers and soldiers, he says: “We have been fighting the deadly Shujaiya Brigade for a week and a half, and last night we received a painful blow.” Always read beyond the words and phrases to know the extent of the pain they are living in.
 

Attachments

  • IMG_8105.jpeg
    IMG_8105.jpeg
    36.6 KB · Views: 1
Kwell Mungu fundi bahati mbaya wanamgambo wa Israel wengi mashoga sasa kama hapa Hamas lazima ale kichwa kinachofurahisha Hamas wanawapora Silaha wakiishawauwa.
Mkuu hiki kifaru kipo wapi?
Hizi taarifa unazipata wapi?
 
Haraka | Jeshi la Israel: Wanajeshi 8, wengi wao maafisa, waliuawa jana usiku katika mapigano yanayoendelea kaskazini mwa Ukanda wa Gaza...kana kwamba upinzani unawawinda tu na kuwaua maafisa wa jeshi linalokalia kwa mabavu? Lakini inachukuliwa katika muundo wa majeshi kwamba kila afisa wa ngazi za chini na za kati anafuatwa na askari 12 hadi 25, hivyo nini hatima ya askari?
 

Attachments

  • IMG_8106.jpeg
    IMG_8106.jpeg
    48.7 KB · Views: 1
Yeye huko hataki kujua yeye na picha tu😂
Sio picha tu hata habari ya israel kukwama kwa tope ni ya uongo
Reliable source zipo aljazeera na haifichi kitu.

Nashindwa kuelewa aljazeera isipate hizo taarifa ila wewe unazipata?
 
Wewe unaona lakini ni kipofu.sasa unaona mafuriko ya maji na unajua mji mzima umejaa magofu yaliyobomolewa sasa unaulizaje tope linatoka wapi?
Nionyeshe taarifa ya israel kukwama kwenye tope mbona kijana anayebeba mtoto akiwa amekufa anamtoa kwenye maji mbona wanaonyesha?

Onyesha ni wapi habari zinasema jeshi la israel limekwama kwenye tope?
Wewe upo hapa habari unaletewa unahakikisha vipi israel imekwama?
 
Hizo hasira tulia dawa iingie hiyo picha ya kijifariji ivulilieni hamna namna.
Hukukosea Kujizombisha, maana unayoyaandika hapo ni uzombi mtupu. Sasa mimi nikasirishwe na nini hapo?
Wewe unadhani mimi ni wa kuwa moved na propaganda za kizombi kama hizo unazozileta humu
Maghayo njoo uchukue hili puto ulipeleke mloganzila likatunzwe kwenye matumbo ya wanaopunguza miili.
 
Na ndio nachokiona.

Ninamuuliza hivi habari za israel kukamwa kwenye tope kazitoa wapi?

Mbona nipo aljazeera hapa sioni hizo taarifa, mbona habari za mvua na mamia ya wakazi kuwa displaced wanazitoa, yeye hizo habari za israel kukwama kwa tope kazitoa wapi? Si umeona point yangu?
Subiri hamas wanaendelea na operation taarifa ya idadi ya vifo na magari yaliyoharibiwa itatolewa baadae.
 
Wanalia hovyo huko, nimecheka Waisrael ya Chanika hata mvua kunyesha Gaza wanataka
Source🤣
Mkuu,
Mimi habari zako huwa nazipenda ila nashangaaa ni kwanini unaanza kuwa muongo
 
Back
Top Bottom