Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Nionyeshe taarifa ya israel kukwama kwenye tope mbona kijana anayebeba mtoto akiwa amekufa anamtoa kwenye maji mbona wanaonyesha?

Onyesha ni wapi habari zinasema jeshi la israel limekwama kwenye tope?
Wewe upo hapa habari unaletewa unahakikisha vipi israel imekwama?
Mkuu unaomgea sana haya link hiyo hapo niombe msamaha kwa kuniita muongo.

 
Nionyeshe taarifa ya israel kukwama kwenye tope mbona kijana anayebeba mtoto akiwa amekufa anamtoa kwenye maji mbona wanaonyesha?

Onyesha ni wapi habari zinasema jeshi la israel limekwama kwenye tope?
Wewe upo hapa habari unaletewa unahakikisha vipi israel imekwama?
Subiri utapata taarifa . Yule ninja wa hamas kuanzia mida ya jioni huwa anatoa taarifa.
 
Subiri utapata taarifa . Yule ninja wa hamas kuanzia mida ya jioni huwa anatoa taarifa.
Naona ujajibu nilichouliza.

Yaani ulikuwa unamsapoti mwenzako kwamba israel imekwama kwenye tope sasahiv unasema subiri jioni!

Mkuu nikuelewe na lipi?
Mbona unakua ndumila kuwili?
 
Mkuu unaomgea sana haya link hiyo hapo niombe msamaha kwa kuniita muongo.


Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Nafikiri unasahau ulichoandika.

Soma hii sentensi ulioandika halafu soma na hio ulipost
Nionyeshe katika habari hiyo wapi wanasema suluhu iliombwa na israel? Wapi wanasema wanahitaji kuondolewa?

Kwanini mkuu unafanya hivi wakati ulikua mtu wakuaminika?
Aljazeera ndio Ruhai Tazama kutoka taarifa maana west media propaganda kibao.

Mbona hizo hawajandika.
 


Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Si wewe uliyesema maneno hayo?

Tazama video, tazama hio habari ya aljazeera nionyeshe hayo maneno uliyosema hapo juu?
 
Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Si wewe uliyesema maneno hayo?

Tazama video, tazama hio habari ya aljazeera nionyeshe hayo maneno uliyosema hapo juu?
Haya endelea na habari zako kwanza siyo muungwana umeniita muongo zaidi ya mara 3 nimeletea data unajifanya kama ujaona ngoja niendelee kuwapa watu wa JF data
 
Haya endelea na habari zako kwanza siyo muungwana umeniita muongo zaidi ya mara 3 nimeletea data unajifanya kama ujaona ngoja niendelee kuwapa watu wa JF data
Unakichwa kigumu sana maada yako ilikuwa inasema hivi;

Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

sasa nikakuambia nionyeshe katika hizo habari wapi wanasema hayo maneno mbona naongea lugha nyepesi?
 
Mkuu Ritz kama umekosea si mbaya kuomba radhi! Habari za watu kuwa displaced, mvua aljazeera imeonyesha kila kitu.

Pointi yangu ilikuwa ni 👇

Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Nilitaka uonyeshe hizi taarifa umezipata wapi? Soma hiyo taarifa ya aljazeera nitafutie wapi wameandika hayo maneno mbona utaki kuelewa?
Kwanini sasahiv unaanza kuwa mpotofu? Kwanini unataka kuchafua sapota wa hamas waonekane ni waongo?
 
nadhan ni vyema taarifa hizi mka share na vyombo kama bbc, cnn, aljazeera ili kuonesha uhalisia wa vita, kwamba hii vita anayepigwa ni ISRAEL na sio hamas wala mpalestina, maana vyombo hivyo kutwa nzima vinailaumu ISRAEL kwa masdhambulizi makali kumbe uhalisia ni HAMAS ndio wanawanyoosha ISRAEL, ni vyema mafaniko haya ya HAMAS yakawekwa wazi ili dunia ijue ili tuache kuwaonea huruma hao wafuasi wa HAMAS (palestina)... na kwa ukweli huu, wanaopaswa kuomba CEASEFIRE ni ISRAEL maana wanamalizwa huko gaza, cha ajabu wanaoomba ceasefire ni wapalestina, arab league, na jamii za kiislam duniani.... hii inashangaza... nadhan waomba ceasefire watulie maana hii ndo fursa ya HAMAS kuimaliza ISRAEL kisha kupata wepesi wa kuivamia ISRAEL maana wanajeshi wanaisha shehe...
 
Leonardo Harold mkuu Nashangaa sana huyu jamaa kuwa muongo!
Bado namuambia anionyeshe wapi hizo taarifa anazipata wapi hasemi.

Yaani Leo nimemshangaa sana ni muongo vibaya
Baada ya kumbana kaamua kutwist topic ambayo ni tofauti na aliyoileta.

Hatutaki propaganda, israel inafanya maafa na netanyhau kasema lazima aendelee hata akikosa international support
Aljazeera haiachi kitu
 
Leonardo Harold mkuu Nashangaa sana huyu jamaa kuwa muongo!
Bado namuambia anionyeshe wapi hizo taarifa anazipata wapi hasemi.

Yaani Leo nimemshangaa sana ni muongo vibaya
Baada ya kumbana kaamua kutwist topic ambayo ni tofauti na aliyoileta.

Hatutaki propaganda, israel inafanya maafa na netanyhau kasema lazima aendelee hata akikosa international support
Aljazeera haiachi kitu
Kama habari zangu za uongo zipuuze wala hamna tatizo au ukiona post yangu piga kimya usijiumize bure na kupoteza muda wako kuandika.😂
 

Attachments

  • Screenshot_20231214-152106.jpg
    Screenshot_20231214-152106.jpg
    114 KB · Views: 1
Asee nimeshangaa sana nilijua wayahudi peke yao ndio waongo kumbe hata suppoters wa HAMAS ni waongo.
Hii habari imechafuliwa na picha ya ndugu yetu Ritz kusema ni ya jana wakati ndugu Alwaz aliiweka tangu jumatatu asubuhi.
Hali ya Israel si nzuri kwenye vita hii, tutabishana ila vita ni vita tu
 

Attachments

  • Screenshot_20231214-152339.jpg
    Screenshot_20231214-152339.jpg
    140.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom