Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Wewe jamaa ni mtu wa ligi za kipuuzi. Yaani hapa ni sawa na mtu kusema Yesu kristo alikuala chakula na alikwenda choo, alafu unataka uonyeshwe wapi palipoandikwa Yesu alikwenda choo na unaweka ligi kuwa yesu hakwenda choo kwasababu hujaona hilo andiko
Mkuu mangichogo,
Nafikiri ungesoma hoja yangu, hakuna aliyerudi kunijibu.

Alichoandika ndugu Ritz na taarifa iliyotolewa ni vitu viwili tofauti

Wewe hoja yako ni ipi kuniita nina ligi za kipuuzi?
 
Mkuu mangichogo,
Nafikiri ungesoma hoja yangu, hakuna aliyerudi kunijibu.

Alichoandika ndugu Ritz na taarifa iliyotolewa ni vitu viwili tofauti

Wewe hoja yako ni ipi kuniita nina ligi za kipuuzi?
Mie nimekufuatilia mwanzo mwisho nimekuelewa vzr sana na umejenga hoja nzuri tu
 
Mie nimekufuatilia mwanzo mwisho nimekuelewa vzr sana na umejenga hoja nzuri tu
Mkuu nashukuru,

Hoja ya Ritz ilikuwa hivi👇


Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Makumi ya magari na mamia ya wanajeshi wa Kizayuni wamezingirwa ndani ya barabara za Gaza na hawawezi kurudi nyuma kutokana na mashambulizi ya


Nikamuuliza hizo taarifa umezipata wapi? Akatuma link ya aljazeera, naomba usome kilichoandikwa mule na maneno hayo ya kwake hapo juu uone uongo mtupu alionadika.
 
Mkuu nashukuru,

Hoja ya Ritz ilikuwa hivi👇


Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...

Makumi ya magari na mamia ya wanajeshi wa Kizayuni wamezingirwa ndani ya barabara za Gaza na hawawezi kurudi nyuma kutokana na mashambulizi ya


Nikamuuliza hizo taarifa umezipata wapi? Akatuma link ya aljazeera, naomba usome kilichoandikwa mule na maneno hayo ya kwake hapo juu uone uongo mtupu alionadika.
Sawa sawa , Mkuu unajua jamaa yeye ni Hamas full , ni kama yule Mk254 yeye ni idf full , yaani wanataka wanachosema wao ndio kiwe hivyo
 
God Bless Israel
1251942256.jpg
 
Sawa sawa , Mkuu unajua jamaa yeye ni Hamas full , ni kama yule Mk254 yeye ni idf full , yaani wanataka wanachosema wao ndio kiwe hivyo
Huyo MK254 na huyu wana matatizo ya udin, huwezi furahia watu wanakufa wewe unasema ety ni wapigania uhuru!

Mfano sasahiv ndugu yangu tresor mandala nakuja kukuchokoza ninaua mke wako na mtoto wako mmoja nakimbia nae, halafu ninafahamu kabisa kwangu unapafahamu na kipindi nafanya hivyo mimi Mke wangu sijamwambia wala watoto wangu, halafu nikitoka hapo naenda kujificha

unaona jinsi gani nilivyo mpumbavu!
Sina tatizo majeshi yangeamua kupigana ona wale watoto wanaokufa mkuu, embu tazama mwenyewe aljazeera.
 
🛑 The israeli army spokesperson:

116 IOF soldiers have been killed & 648 have been wounded during fighting in Gaza since the ground offensive.

Hizo namba zao za kisiasa hapo unazidisha mara 3.
 
Huyo MK254 na huyu wana matatizo ya udin, huwezi furahia watu wanakufa wewe unasema ety ni wapigania uhuru!

Mfano sasahiv ndugu yangu tresor mandala nakuja kukuchokoza ninaua mke wako na mtoto wako mmoja nakimbia nae, halafu ninafahamu kabisa kwangu unapafahamu na kipindi nafanya hivyo mimi Mke wangu sijamwambia wala watoto wangu, halafu nikitoka hapo naenda kujificha

unaona jinsi gani nilivyo mpumbavu!
Sina tatizo majeshi yangeamua kupigana ona wale watoto wanaokufa mkuu, embu tazama mwenyewe aljazeera.
Mie huwa nawasoma.kisha nabaki najiuliza hawa wanafaidika na nn na hii vita? Mwisho unasoma unapita tu ,maana kila mmoja anaamini anachokiamini
 
Hii ndiyo Gaza👇🏽
 

Attachments

  • IMG_7996.jpeg
    IMG_7996.jpeg
    43.1 KB · Views: 1
Hili ni Jeshi la Israeli,Brigedi ya Golani ambao walikuwa wanajiandaa kwenda kuvamia maeneo yaliyopo na wana mgambo wengi wa Hamas.

Kiongozi wao aliahidi ushindi mkubwa kabla ya kwenda kukutana na mizimu ya Hamas.

Kilichokuja kutokea baada ya kwenda kufanya mashambulizi ni vifo visivyo na idadi.

Huyo jamaa mwenyewe ameuawa pamoja na zaidi ya wanajeshi wengine wasiopungua 40.

Kama mnakumbuka jana, niliwawekea orodha ya baadhi ya wanajeshi wa Israeli ambao wameuawa, huyo jamaa pia alikuwepo.

Israeli hawana jeshi la maana, Jeshi lao wanapigana na watoto wachanga na wagonjwa.
 

Attachments

  • 028934b3-fb92-4cb0-a0f7-a20beeeea04e.mov
    6.2 MB
If you know you know, if not just learn
 

Attachments

  • Screenshot_20231214-201424~2.jpg
    Screenshot_20231214-201424~2.jpg
    83.8 KB · Views: 1
Israel | Soroka Medical Center

35 soldiers, including 8 wounded, arrived in the last 24 hours.

Since the beginning of the war, 2,148 wounded soldiers have arrived.

Note: this record is from only 1 hospital
 
Jeshi la Israel linalokalia kwa mabavu lilibuni picha hii, likidai kuwa limewateka nyara wapiganaji wa upinzani kutoka ndani ya Hospitali ya Kamal Edwan kaskazini mwa Gaza na kuwalazimisha "kuinua silaha zao na kujisalimisha".

Baada ya uchunguzi, daktari anayefunzwa, Nasr Imad Al-Madhoun, na muuguzi anayefanya kazi katika hospitali hiyo walitambuliwa.
😂😂
 

Attachments

  • IMG_8113.jpeg
    IMG_8113.jpeg
    83.6 KB · Views: 1
Askari wa Israel hawaamini kipigo wanachopata katika medani za vita vya ardhini uko Gaza.
 

Attachments

  • 76e23e45-38f3-4688-83b6-bf23c4765d17.mov
    6.4 MB
🛑 The israeli army spokesperson:

116 IOF soldiers have been killed & 648 have been wounded during fighting in Gaza since the ground offensive.

Hizo namba zao za kisiasa hapo unazidisha mara 3.
Na za Palestina utatuambia tunagawanya kwa 100!

231786727.jpg


God Bless Israel
 
Back
Top Bottom