Majeshi ya Israel yamekwama kweye tope Gaza hali tete

Ni
BREAKING:

⚡️ Israeli "Haaretz":

Tukio kubwa la maafisa tisa na askari kutoka Kikosi cha Golani na Kitengo cha Uokoaji 669 waliuawa katika kitongoji cha Shujaiya huko #Gaza linaonyesha kidogo ukweli wa vita katika Ukanda huo.
nilikuwa naamini stori zako ila sahiv huna tofauti na wayahudi kama unavyodaigi.
 
#BREAKING | The Martyr Omar Al-Qassem Forces - the military wing of the Democratic Front:* Our fighters engaged in multiple clashes from point zero with the Zionist occupation forces penetrating east of Khan Yunis and west of Sheikh Radwan, resulting in numerous confirmed injuries among the enemy ranks.
 

Attachments

  • IMG_8097.jpeg
    50.6 KB · Views: 2
The destiny of our captives and the Israeli soldiers is limited to two scenarios:

1. Either they face death through Israeli airstrikes and futile attempts to free them.

2. Or they return to engaging in indirect negotiations with us under the framework of a comprehensive ceasefire.

Even if all the world's forces unite, they won't secure the release of a single living captive without adhering to our conditions.

Spokesperson for Saraya al-Quds, Abu Hamza.
 

Attachments

  • IMG_8099.jpeg
    47.2 KB · Views: 2
🔻 Vikosi vya Al-Qassam huko Jenin: Wapiganaji wetu, pamoja na vikundi vingine vya upinzani katika kambi ya Jenin, walifanikiwa kulenga magari ya kijeshi ya Israel yaliyokuwa yakivamia kwa vifaa vya vilipuzi vilivyotengenezwa kienyeji, na kusababisha majeraha yaliyothibitishwa kati ya vikosi vya uvamizi.

Tunathibitisha kwamba kambi ya Jenin itasalia kuwa mwiba kwa uvamizi, bila kuvunjika na vurugu na uhalifu wake. Tutalipiza kisasi kwa wafia imani huko Jenin na Gaza, na vita vyetu vinaendelea hadi tutakapomfukuza mkaaji kutoka katika ardhi yetu.
 

Attachments

  • IMG_8100.jpeg
    41.1 KB · Views: 2
Hii picha mnavyopenda ku trendisha, kila mkii trendisha mnahakikisha inaonyesha tarehe ya siku moja nyuma.
Kwanza Gaza hakuna wanajeshi wa Israel, maana wameshakufa wote, sema HAMAS inaficha ukweli ionekane Palestine inaonewa
 
Sorry, come again.
Can't hear you in between all the noise of your babies crying.
 

Attachments

  • IMG_8101.jpeg
    45 KB · Views: 3
Hii picha mnavyopenda ku trendisha, kila mkii trendisha mnahakikisha inaonyesha tarehe ya siku moja nyuma.
Kwanza Gaza hakuna wanajeshi wa Israel, maana wameshakufa wote, sema HAMAS inaficha ukweli ionekane Palestine inaonewa
Hizo hasira tulia dawa iingie hiyo picha ya kijifariji ivulilieni hamna namna.
 
😂😂😂 Doh!

Mkuu umeamua kuweka mambo hadharani hadi aibu naona mimi utadhani ndiyo nimeileta hii picha.
Mbona mmekomalia picha ,picha haina mahusiano na habari ya mleta mada kaweka picha kama kibwagizo tu.
Kuhusu kukwama kwasasa mvua zina nyesha huko gaza hivyo suala la vifaa vizito vya kijeshi kuzama kwenye matope si jambo la ajabu.
 
Kwa hali ya mvua ambayo imenyesha hapo Gaza juzi na jana na hali ya uharibufu wa tope la cement kutokana na kuangusha majumba hovyo IDF wamejitengenezea kaburi lao wao wenyewe. Unapitishaje kifaru kwenye zege Mungu fundi sanaa 🤣
 
🛑 Al-Qassam (Hamas)

• Ililenga mizinga 2 ya Merkava huko Beit Lahia kaskazini mwa Ukanda wa Gaza kwa roketi za "Al-Yassin 105".

• Ililenga tingatinga la kijeshi la Kizayuni la D9 kwa roketi ya "Al-Yassin 105" huko Tal Al-Zaatar, kaskazini mwa Ukanda wa Gaza.
 

Attachments

  • IMG_8102.jpeg
    30.5 KB · Views: 4
Kwa hali ya mvua ambayo imenyesha hapo Gaza juzi na jana na hali ya uharibufu wa tope la cement kutokana na kuangusha majumba hovyo IDF wamejitengenezea kaburi lao wao wenyewe. Unapitishaje kifaru kwenye zege Mungu fundi sanaa 🤣
Kwell Mungu fundi bahati mbaya wanamgambo wa Israel wengi mashoga sasa kama hapa Hamas lazima ale kichwa kinachofurahisha Hamas wanawapora Silaha wakiishawauwa.
 

Attachments

  • twidown.mp4
    915.4 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…