Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Wewe unaona lakini ni kipofu.sasa unaona mafuriko ya maji na unajua mji mzima umejaa magofu yaliyobomolewa sasa unaulizaje tope linatoka wapi?Hiki ndicho nachokiona sasa aljazeera
Taarifa za israel kukwama kwenye tope unazipata wapi?
Hamas hii kwao ni fursa ya kuuwa IDF wengi zaidi na kupiga viberiti hayo magari na hizo tanks.Yeye huko hataki kujua yeye na picha tu😂
Miundombinu inaharibiwa na vikosi vya Israel vilivyovamiwa kwa kutumia tingatinga. Sasa Mungu kaleta mvua sasa ni mtihani kwao vifaru magari ya jeshi hayatembeiWewe unaona lakini ni kipofu.sasa unaona mafuriko ya maji na unajua mji mzima umejaa magofu yaliyobomolewa sasa unaulizaje tope linatoka wapi?
Mungu fundi sana kaamua kuwakomesha. 🤣Miundombinu inaharibiwa na vikosi vya Israel vilivyovamiwa kwa kutumia tingatinga. Sasa Mungu kaleta mvua sasa ni mtihani kwao vifaru magari ya jeshi hayatembei
View: https://x.com/qudsnen/status/1735228217496150173?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Na ndio nachokiona.Habari za kwamba gaza kuna mafuriko kutokana na mvua kubwa unazo?
Mkuu hiki kifaru kipo wapi?Kwell Mungu fundi bahati mbaya wanamgambo wa Israel wengi mashoga sasa kama hapa Hamas lazima ale kichwa kinachofurahisha Hamas wanawapora Silaha wakiishawauwa.
Sio picha tu hata habari ya israel kukwama kwa tope ni ya uongoYeye huko hataki kujua yeye na picha tu😂
Si unasema uamini habari zangu kisha unaniliza tena😀Mkuu hiki kifaru kipo wapi?
Hizi taarifa unazipata wapi?
Nionyeshe taarifa ya israel kukwama kwenye tope mbona kijana anayebeba mtoto akiwa amekufa anamtoa kwenye maji mbona wanaonyesha?Wewe unaona lakini ni kipofu.sasa unaona mafuriko ya maji na unajua mji mzima umejaa magofu yaliyobomolewa sasa unaulizaje tope linatoka wapi?
Hukukosea Kujizombisha, maana unayoyaandika hapo ni uzombi mtupu. Sasa mimi nikasirishwe na nini hapo?Hizo hasira tulia dawa iingie hiyo picha ya kijifariji ivulilieni hamna namna.
Hivi mkuu reporters waliojaa wa aljazeera wanashindwa kulipoti hii taarifa?Si unasema uamini habari zangu kisha unaniliza tena😀
View: https://x.com/nadira_ali12/status/1734924570073895354?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe jamaa kweli ni nanga.Si unasema uamini habari zangu kisha unaniliza tena😀
View: https://x.com/nadira_ali12/status/1734924570073895354?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Subiri hamas wanaendelea na operation taarifa ya idadi ya vifo na magari yaliyoharibiwa itatolewa baadae.Na ndio nachokiona.
Ninamuuliza hivi habari za israel kukamwa kwenye tope kazitoa wapi?
Mbona nipo aljazeera hapa sioni hizo taarifa, mbona habari za mvua na mamia ya wakazi kuwa displaced wanazitoa, yeye hizo habari za israel kukwama kwa tope kazitoa wapi? Si umeona point yangu?
Mkuu,Wanalia hovyo huko, nimecheka Waisrael ya Chanika hata mvua kunyesha Gaza wanataka
Source🤣