mangichogo
JF-Expert Member
- Oct 30, 2023
- 837
- 1,482
Wewe jamaa ni mtu wa ligi za kipuuzi. Yaani hapa ni sawa na mtu kusema Yesu kristo alikuala chakula na alikwenda choo, alafu unataka uonyeshwe wapi palipoandikwa Yesu alikwenda choo na unaweka ligi kuwa yesu hakwenda choo kwasababu hujaona hilo andikoMkuu sijakataa,
Tazama nilichomuambia huyo jamaa
Mkuu mangichogo,Wewe jamaa ni mtu wa ligi za kipuuzi. Yaani hapa ni sawa na mtu kusema Yesu kristo alikuala chakula na alikwenda choo, alafu unataka uonyeshwe wapi palipoandikwa Yesu alikwenda choo na unaweka ligi kuwa yesu hakwenda choo kwasababu hujaona hilo andiko
Mie nimekufuatilia mwanzo mwisho nimekuelewa vzr sana na umejenga hoja nzuri tuMkuu mangichogo,
Nafikiri ungesoma hoja yangu, hakuna aliyerudi kunijibu.
Alichoandika ndugu Ritz na taarifa iliyotolewa ni vitu viwili tofauti
Wewe hoja yako ni ipi kuniita nina ligi za kipuuzi?
Mkuu nashukuru,Mie nimekufuatilia mwanzo mwisho nimekuelewa vzr sana na umejenga hoja nzuri tu
Sawa sawa , Mkuu unajua jamaa yeye ni Hamas full , ni kama yule Mk254 yeye ni idf full , yaani wanataka wanachosema wao ndio kiwe hivyoMkuu nashukuru,
Hoja ya Ritz ilikuwa hivi๐
Ukweli ni kwamba suluhu hili liliombwa na Israel kutoka Marekani kwa dharura ili iweze Kuwaondoa wanajeshi wake na magari kutoka kwenye matope yaliyoangukia leo katika mitaa ya Gaza, ambapo walipata hasara kubwa huko. magari na maisha...
Makumi ya magari na mamia ya wanajeshi wa Kizayuni wamezingirwa ndani ya barabara za Gaza na hawawezi kurudi nyuma kutokana na mashambulizi ya
Nikamuuliza hizo taarifa umezipata wapi? Akatuma link ya aljazeera, naomba usome kilichoandikwa mule na maneno hayo ya kwake hapo juu uone uongo mtupu alionadika.
Huyo MK254 na huyu wana matatizo ya udin, huwezi furahia watu wanakufa wewe unasema ety ni wapigania uhuru!Sawa sawa , Mkuu unajua jamaa yeye ni Hamas full , ni kama yule Mk254 yeye ni idf full , yaani wanataka wanachosema wao ndio kiwe hivyo
Toka dunia iumbwe Israel hajawahi kupoteza wanajeshi wengi kwenye vita kama Gaza kaeneo kadogo sana kama Kimara.God Bless IsraelView attachment 2842609
Mie huwa nawasoma.kisha nabaki najiuliza hawa wanafaidika na nn na hii vita? Mwisho unasoma unapita tu ,maana kila mmoja anaamini anachokiaminiHuyo MK254 na huyu wana matatizo ya udin, huwezi furahia watu wanakufa wewe unasema ety ni wapigania uhuru!
Mfano sasahiv ndugu yangu tresor mandala nakuja kukuchokoza ninaua mke wako na mtoto wako mmoja nakimbia nae, halafu ninafahamu kabisa kwangu unapafahamu na kipindi nafanya hivyo mimi Mke wangu sijamwambia wala watoto wangu, halafu nikitoka hapo naenda kujificha
unaona jinsi gani nilivyo mpumbavu!
Sina tatizo majeshi yangeamua kupigana ona wale watoto wanaokufa mkuu, embu tazama mwenyewe aljazeera.
Propaganda tupu, picha za AI
Pray for our soldier"Hivi kidon siwasikii sikuizi vipi kitengo kimefutwa!!!?"Hii ndiyo Gaza๐๐ฝ
Na za Palestina utatuambia tunagawanya kwa 100!๐ The israeli army spokesperson:
116 IOF soldiers have been killed & 648 have been wounded during fighting in Gaza since the ground offensive.
Hizo namba zao za kisiasa hapo unazidisha mara 3.